miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
hii ni point zuri ila nataka kujua kwa nini wanaume ni wepesi sana kujisahau kwenye hayo mapenziHizo effects inategemea na mnavyochukuliana na mnavyojaliana, Khantwe ukiwa mwema na muaminifu kwangu sitaweza kukuacha ukiumia au ukiteseka. TUTASAIDIANA na KUPENDANA na sio KUKUSAIDIA na KUKUPENDA hapa mambo yatakua yamebalance na kila mmoja atafurahia mahusiano.
Ok! maam...jibu ni NDIO mkuu na hizi sababu zinatuhusu wote .. kilichopelekea kuandika huu uzi ni kuona namna wanaume baadhi yao wa sasa wanazdi kujisahahu nakutupia hata mzigo zaidi kwa mwanamke na kuendekeza mambo yasiyokuwa na tija...... wanawake nao wanalao ila kwa sasa acha niwaambie vijana wenzangu waache kujificha kwenye mwavuli wa HAKI SAWA.... rafiki yangu ni tatizo kwa kweli kukutana na kijana tokea mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka anaimba nyimbo zile zile tu ni tatizo... hivi inakuwaje mtoto w kiume unagubu to me namwona may be anakaelement cha ushoga i feel bad to say this
Ila aangalie inawezekana akarudi akakuta nyumba imejaa. Majuto ni mjukuu
Sawa ila hakuna aliye sawa kila mtu ana mapungufu yake na maisha ni kuvumiliana kama unaona lipo juu ya uwezo wako ni bora kuquit
Wanaume ni wachache sana.
Wengi wanalalamika tuuuu hadi kero
Wanakimbia majukumu yao
utasikia baby tuma picha ...
tuma picha unatuma bado tena
tuma picha ... hivi niwaulize
mnatengenezea movie hizo
picha ni nini tatizo?...######
ni shida nadhan kama ni movie hata series zingetosha
sawa mamy ushauri mzuri tuHAHAHAHAHAAAAAAA.....
VIPI BIBIEE!!!! YAMEKUKUTA ETIEE! POLE SANA JIKAZE VUMILIA ULIE NAE NDIO YUKO HIVYO NA BORA UMEMJUA UKIJARIBU KUTAFUTA MPYA AMBAE UTATEGEMEA ATAFANYA UNAVOTAKA HAPO WANGU UTAUMIA MANA HUYO ATAKUJA NA STYLE ZAKE USIZO ZIJUA.. HIT AND RUN!!! MWISHOE NNDII..:mimba: ALAFU SHHHAAAA!!:llama:
kupewa papuchi anataka lakini kumhudumia hataki...
Ok! maam...
Ila mapenzi yenye kujengwa na urafiki ndani yake ni mapenzi BORA kabisa. Mkiwa marafiki hamuwezi kufanyiana hayo uloyataja.
Vijana wengi tunakurukuka na kutegemea benefits au kufananisha mahusiano yetu na ya watu fulani, hapo mambo lazima yataenda mrama tu.
Yaani anataka Kuendesha gari bila kulifanyia service!
Msome mtu wako vyema na jua anapenda nini na yeye akusome vyema tanianeni na mjenge mahusiano zaidi ya kugegedana, muwe mna share mambo ya nje ya mahusiano, kushauriana na mambo kama hayo ili umjengee mwenzako hali ya kutokuthamini au kukumbuka kwingine akiza na raha au shida. MAKE HIM TO REMEMBER YOU....hii ni point zuri ila nataka kujua kwa nini wanaume ni wepesi sana kujisahau kwenye hayo mapenzi
pesa nyingu sana maana season mbili kila wiki sasa ukijumlisha kwa mwaka mzima ni sh ngapi
Msome mtu wako vyema na jua anapenda nini na yeye akusome vyema tanianeni na mjenge mahusiano zaidi ya kugegedana, muwe mna share mambo ya nje ya mahusiano, kushauriana na mambo kama hayo ili umjengee mwenzako hali ya kutokuthamini au kukumbuka kwingine akiza na raha au shida. MAKE HIM TO REMEMBER YOU....
hamna lolote,papuch zipo ata za kununua,hazina tofauti na izo za kwenu...
Hahaaa...umenifurahisha kwa certificate...thanksni kweli kabisa na kusukumwa na msukumo wa nje kuliko wa ndani ni tatizo.... hope rafiki wewe haupo hivyo... embu tutoke kidogo umeenda kweye msiba wa baba yake mr .rocky
Utapisha njia wangapi? Elewa siku hazigandi na miaka ya mwanamke kupata mtoto inahesabika kama hukupata early menopause maana hata miaka 30 unaweza pata. Ingawa IVF ipo lakini ni ghali na donors akikusaidia yai lazima ale kichwa cha mmeo. Utayaweza?Sawa ila hakuna aliye sawa kila mtu ana mapungufu yake na maisha ni kuvumiliana kama unaona lipo juu ya uwezo wako ni bora kuquit
Unataka asinune ili ufanye yako, ukachepuke huko halafu uje unajichekeshachekesha kumbe una yako
Hahahaa , hapana siwezi kua hivyo, huwa najenga urafiki na mtu ili tuweze kufurahia relationship to the maximum. Yaani nina tabia ya kufanya jambo nafanya kwa ukamilifu ili nisijutie. Hahaaa umenipaisha sana mkuu japo nina mapungufu but sio hayo uloyataja.okey Mr dikembe i think few men like u ... be blessed my dear ... hope huna matatizo ya kununa, uchoyo na kuomba omba picha