Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Amante, asante kwa kuliona hilo pia. Kuna characters ukioa hakika utajuta. Pesa ni muhimu lakini isiwe kigezo cha kupenda/kuishi na mtu.

If you find yourself caving into irrational demands, just remember that the upkeep she is demanding is a choice, a choice for how she wants to live, but that doesn't mean that you have to play along. If she isn't willing and able to provide the things she demands for herself, it isn't necessarily best to provide them for her.
Chapa lapa fasta!
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama ni tendo la kufanyana maneno kama NIMEMLA, NIMEMGONGA, NIMELALA yanatoka wapi?
Haya ni maneno yasiyo rasmi, hayakufaa kutumika na mimi binafsi siyatumii ni udhalilishaji kwa namna moja ama nyingine...ndio maana hatuna neno NIMEKUJAMIII tunatumia TUMEJAMIIANA.
 
ha ha ha ha ha jamani michakachue maana ... jamani my aim ni kuwa muwe responsible jamna that all... sasa kama unaweza kutoa hela huku unanituia that good too
miss chagga , Unaweza kunipa hela kama tukiwa wapenzi? kwa lengo la kusaidiana? Kama NDIO , huoni hizo sababu ulizotoa inabidi tuwajibike wote?
 
Last edited by a moderator:
Haya ni maneno yasiyo rasmi, hayakufaa kutumika na mimi binafsi siyatumii ni udhalilishaji kwa namna moja ama nyingine...ndio maana hatuna neno NIMEKUJAMIII tunatumia TUMEJAMIIANA.

Hahahah....lakini unajua kuwa hilo tendo lina effect tofauti kwa mwanaume na mwanamke?
 
Mkuu...kwemaaa???

Ok, napenda kujuzwa, hivi tunapeana au wewe unanipa ? hivi mimi peke yangu ndio naenjoy au sote? nijibu hapa....
Mbona mimi huwa mswitie akiwa na genye ananiomba nkampoze? je namimi nimchaji? nina maswali meengi sana kuhusu mnavyotuchukulia.

Turudi kwenye topic, hayo ulosema hayatakiwi kwa both side (ke & me) sababu wote mnapendana na sio mimi (me) ndio nakupenda wewe tu.

mkuu mimi mzima sana umepotelea wapi? nimekumiss sana
sasa mkuu maswali yako mazuri sana ila mkuu sasa pale unapoitajika kusaidia toa msaada siyo kuwa mchoyo.. now days rafiki uwezi amini wanaume wengi wmejisahahu kwa kweli... awajali na hawana mwelekeo pia ni tatizo ..
 
Sipendi mwanaume ambaye hajui wajibu wake mpaka aambiwe... Mf. Kutwa kucha anataka mchat lakinu vocha hatumi, Anaona unapendeza hajui hata bei ya lotion, nguo wala namba ya viatu....

Wanaume wapendezeshe wenzu wenu...

Kaolewe na Bank basi...
 
Asante mamy....kila mtu ana vipaumbele vyake kiukweli...mimi siko interested kiivyo na wale wanaodhani bila wao mjini huishi. Kodi ya nyumba anataka alipe yeye...hela ya umeme yeye chakula yeye....yan unakuwa umeshikwa hapo huwezi hata kufurukuta atataka akuendeshe kama mtoto wake vile..[/QUOT
Godoro kakununulia sofa kanunulia mapazia kanunulia tv na vyote ulivyonavyo ----------- siku kikinuka aghhh mbona utalala chini
Haipendezi hii mpenzi anangalu na wewe uwe na power na vitu vyako kwahiyo cost sharing inahusika
 
Asante mamy....kila mtu ana vipaumbele vyake kiukweli...mimi siko interested kiivyo na wale wanaodhani bila wao mjini huishi. Kodi ya nyumba anataka alipe yeye...hela ya umeme yeye chakula yeye....yan unakuwa umeshikwa hapo huwezi hata kufurukuta atataka akuendeshe kama mtoto wake vile..[/QUOT
Godoro kakununulia sofa kanunulia mapazia kanunulia tv na vyote ulivyonavyo ----------- siku kikinuka aghhh mbona utalala chini
Haipendezi hii mpenzi anangalu na wewe uwe na power na vitu vyako kwahiyo cost sharing inahusika

Kweli kabisa....kuna wanaume visirani siku likiamua kujinunisha na wewe moyo hautulii maana hapo sawasawa upo kwenye nyumba yake tu. Lkn kama kodi unalipa mwenyewe kitanda umenunua mwenyewe likinuna unasema go to hell...! Siku akijisikia kucheka atarudi na maisha yangu yanaendelea kama kawaidaa....
 
Unawezaje kusema unampenda mtu halafu humjali??
Kuna watu ni bahili sana hata kwa mkewe aliyemweka ndani,kula nyama mpaka sikukuu lakini kwa hawara sasa anavyozimwaga usiseme.
Papuchi ina nguvu hata mama yako unaweza kumsahau.

hamna lolote,papuch zipo ata za kununua,hazina tofauti na izo za kwenu...
 
Some of the comments make very excellent points. Thank you.
But u miss chagga & Co. have negative perception on Men! And on less serious note, Men: be aware of these girls!
Marijan Rajabu aliimba kuwa kwenye watu kumi binadamu ni mmoja. Binadamu ni mtu ambaye anaweza kuishi kulingana na mazingira miss chagga niliyemfamu alipokuja huku Njinjo kunitembelea wiki mbili zilizopita ni binadamu maana samaki nchanga alitafuna bila matatizo, mtoto wa kichagga alikubali kuishi huku kwetu na nyumba zetu za makuti! Hivyo naona ni mwalimu mzuri tu anajitahidi kutuasa sie vijana tunaochipukia (muwazi kama Lara 1, si lazima awe kihivyo). Ingawa naona ameninanga, nitajitahidi kubadilika
 
Wanaume ni wachache sana.
Wengi wanalalamika tuuuu hadi kero
Wanakimbia majukumu yao
 
utasikia baby tuma picha ...
tuma picha unatuma bado tena
tuma picha ... hivi niwaulize
mnatengenezea movie hizo
picha ni nini tatizo?...######

ni shida nadhan kama ni movie hata series zingetosha
 
Kweli kabisa....kuna wanaume visirani siku likiamua kujinunisha na wewe moyo hautulii maana hapo sawasawa upo kwenye nyumba yake tu. Lkn kama kodi unalipa mwenyewe kitanda umenunua mwenyewe likinuna unasema go to hell...! Siku akijisikia kucheka atarudi na maisha yangu yanaendelea kama kawaidaa....
Ila aangalie inawezekana akarudi akakuta nyumba imejaa. Majuto ni mjukuu
 
miss chagga , Unaweza kunipa hela kama tukiwa wapenzi? kwa lengo la kusaidiana? Kama NDIO , huoni hizo sababu ulizotoa inabidi tuwajibike wote?

jibu ni NDIO mkuu na hizi sababu zinatuhusu wote .. kilichopelekea kuandika huu uzi ni kuona namna wanaume baadhi yao wa sasa wanazdi kujisahahu nakutupia hata mzigo zaidi kwa mwanamke na kuendekeza mambo yasiyokuwa na tija...... wanawake nao wanalao ila kwa sasa acha niwaambie vijana wenzangu waache kujificha kwenye mwavuli wa HAKI SAWA.... rafiki yangu ni tatizo kwa kweli kukutana na kijana tokea mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka anaimba nyimbo zile zile tu ni tatizo... hivi inakuwaje mtoto w kiume unagubu to me namwona may be anakaelement cha ushoga i feel bad to say this
 
Hahahah....lakini unajua kuwa hilo tendo lina effect tofauti kwa mwanaume na mwanamke?
Hizo effects inategemea na mnavyochukuliana na mnavyojaliana, Khantwe ukiwa mwema na muaminifu kwangu sitaweza kukuacha ukiumia au ukiteseka. TUTASAIDIANA na KUPENDANA na sio KUKUSAIDIA na KUKUPENDA hapa mambo yatakua yamebalance na kila mmoja atafurahia mahusiano.
 
Last edited by a moderator:
Asante mamy....kila mtu ana vipaumbele vyake kiukweli...mimi siko interested kiivyo na wale wanaodhani bila wao mjini huishi. Kodi ya nyumba anataka alipe yeye...hela ya umeme yeye chakula yeye....yan unakuwa umeshikwa hapo huwezi hata kufurukuta atataka akuendeshe kama mtoto wake vile..[/QUOT
Godoro kakununulia sofa kanunulia mapazia kanunulia tv na vyote ulivyonavyo ----------- siku kikinuka aghhh mbona utalala chini
Haipendezi hii mpenzi anangalu na wewe uwe na power na vitu vyako kwahiyo cost sharing inahusika
Zawadi ni zawadi huwa hairudishi ukiona mtu mnakosana anadai zawadi jua ana asili ya umaskini wa roho ingawa kimwili ni tajiri
 
Back
Top Bottom