Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

We mwanaume umetokea sayari gani? Au umetokea Mars? By the way WEMA is subjective.... Unaweza kufanya mambo ukadhani ni wema kumbe mwenzio ndo anapata sababu ya kukudharau na kukuchoresha hadi kwa rafiki zake. U guys are so selfish. Mimi huwa nasema sitajisumbua kamwe kujaribu kumfurahisha mwanaume....I will be gud for myself sio kujisacrifice kwaajili ya mtu.
Mkuu badili msimamo............

Inabidi umsome mtu ni wa aina gani ili uweze kuamua kuwa nae au la, ila kama nawewe unaenda kwake kwa lengo la kimaslahi kwa kweli utaishia kuumizwa na kutokwa povu kila siku.

wadada wengi wa mijini ndio visababishi vya majanga wanayoyaface kwenye mahusiano. Kuna mahali huwa mnakosea bila nyinyi kujua na kusukumwa na external force mnazoziendekeza.

Baadhi ya sababu ni hizi:

1. Tamaa
2. Kutokuwa muhalisia
3. Kuwa available any time ( cheap- nakupigia simu nakuita unakuja bila kutoa excuse yoyote)
4. Kutokua na mawazo tofauti na ngono, jenga urafiki sio kila tukikutana hakuana maongezi zaidi ya ngono.
5. wivu usokua na msingi.
............
..........
 
Mkuu badili msimamo............

Inabidi umsome mtu ni wa aina gani ili uweze kuamua kuwa nae au la, ila kama nawewe unaenda kwake kwa lengo la kimaslahi kwa kweli utaishia kuumizwa na kutokwa povu kila siku.

wadada wengi wa mijini ndio visababishi vya majanga wanayoyaface kwenye mahusiano. Kuna mahali huwa mnakosea bila nyinyi kujua na kusukumwa na external force mnazoziendekeza.

Baadhi ya sababu ni hizi:

1. Tamaa
2. Kutokuwa muhalisia
3. Kuwa available any time ( cheap- nakupigia simu nakuita unakuja bila kutoa excuse yoyote)
4. Kutokua na mawazo tofauti na ngono, jenga urafiki sio kila tukikutana hakuana maongezi zaidi ya ngono.
5. wivu usokua na msingi.
............
..........

Asante kwa ushauri
 
sijaongelea pesa sana hapo mkuu kuna mengi ila najua pesa ndio itawakera wengi

pesa ni minor sana hapo kwenye hii mada ...tunataka wanaume wanaojitambua sio kulalamika like watoto.
kauli as mwanaume pia hawana,maamuzi hawawezi kufanya lolote
 
pesa ni minor sana hapo kwenye hii mada ...tunataka wanaume wanaojitambua sio kulalamika like watoto.
kauli as mwanaume pia hawana,maamuzi hawawezi kufanya lolote

ICHANA mimi nimewaona nikaona nipelekane nayohivyo hivyo pesa ni muhimu though
 
Wale wale tuu ambao wakipata mwanaume na daraja la matatzo yao wanamwamishiaaaa......
Ndo maaana kaur zao we nuna wenzio wara......
Jinga jinga.. .....
 
We mwanaume umetokea sayari gani? Au umetokea Mars? By the way WEMA is subjective.... Unaweza kufanya mambo ukadhani ni wema kumbe mwenzio ndo anapata sababu ya kukudharau na kukuchoresha hadi kwa rafiki zake. U guys are so selfish. Mimi huwa nasema sitajisumbua kamwe kujaribu kumfurahisha mwanaume....I will be gud for myself sio kujisacrifice kwaajili ya mtu.

Asante Twin...
 
Hahahahahaaa.... ICHANA umenivunja mbavu eti u wanna eat my pics..... Cha muhimu ni kufuata moyo wako best. Kama moyo wako unafurahi kumvulia pichu vua,kama unaona unafurahi kubana we bana tuuuu.... Ukisema umsikilize mwanaume ili umfurahishe hutofanikiwa na tena utaishia kuumia. Hahaaaa kule mtaa wa pili mbona we sikukuoana?

sikupotea ilikuwa namtafuta Vaislay kwenye kombe la dunia sijui alikaa upande gani...nitakuita kule mida mida..

back to topic
yaaan hzo mambo za kuvuana pichu kwa dunia hii hanipati atachoma mishaki ya panya,,,hizi sifa za extenl forces nooooo U-HB wake hautanisaidia,EMOLO or MGUU YA TOTO hatuko kwenye maonesho ndo niseme ntapata pesa,
maisha yamebadilika kila mtu anapenda good life na mwanaume mwenye kujituma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom