Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Some of the comments make very excellent points. Thank you.
But u miss chagga & Co. have negative perception on Men! And on less serious note, Men: be aware of these girls!
 
Last edited by a moderator:
jiananume la kununa nuna ni ushamba na mjinga pia mtu kakukosea mwambie... huna furaha sema leo sina furaha bosi kanitukana ili mimi nijue nakutreat vipi? umekuja umejinunisha unataka mimi nikusidiaje ... ukisema umekasirika kwa 1,2,3 na unatamani ufanyiwe nini naweza toa msaada... si umekuja umenuna mimi nikushike kiuno kumbe unahitaji kushikwa nywele muwe mnaongea...

Hahahaha, unamshika kiuno kumbe anataka kushikwa nywele.Hahahahahaha.Message delivered.
 
- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera!

Hahahaha....umetiiisha mwanadada
 
[QUO TE=snowhite;10019276]- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera![/QUOTE]

Dada yangu mwanaume wa style hiyo utakuwa umemuokota bar, katika hatua zenu za urafiki/uchumba mpaka ndoa hukupata muda wa kumchunguza? Hata kumtembelea nyumbani kwake? Au mlikuwa mnakutana gest house?
 
..nafanya hivyo kwa sababu anakuja getto kwangu huku ameshavua skin tight, anakata mauno....teh!!! Lakini kama angejitunza wala sina mda wa kumlala mtu kabla ya kumuoa.

Hahaha...uongo uliokomaa huu. Sio wewe kila muda bebi njoo bwana nimekumiss....mkienda mtoko unafanya kila hila ukalale na mtoto wa watu geto wakati hata kwao hukujui
 
Some of the comments make very excellent points. Thank you.
But u miss chagga & Co. have negative perception on Men! And on less serious note, Men: be aware of these girls!

Amante, asante kwa kuliona hilo pia. Kuna characters ukioa hakika utajuta. Pesa ni muhimu lakini isiwe kigezo cha kupenda/kuishi na mtu.
 
Last edited by a moderator:
Na kama huko tayari kuhudumia mbona walala nae kama mkeo?
Mkuu...

Usiseme nalala nae kama mke kumbuka yeye ni mtu mzima pia, nayeye analala na mimi kama mume wake. sema tunalala kama wana ndoa sababu sote kwa hiari yetu na makubaliano yenye ridhaa zetu sote tumeamua.

hivyo hapa tunahudumiana ndio maisha kusaidiana na sio kuchunana! sababu tunapendana na sio nakupenda peke yangu. wewe pia unanipenda. ingekua wewe ni mtoto au mgonjwa wa akili ningekuhudumia sababu hukuamua kwa akili yako huru kulalala na mimi.....
sawa mkuu Khantwe ???
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu ana bahati yake unaweza kumpata mtoaji wee ukikohoa tuu bby chukua hizi nenda hospital ,Lakini mwingine sasa hadi bajaji unajikodia yeye anakodoa macho tuu lakini yote heri maisha yanasonga.Kila mtu anavigezo vyake wewe anaweza akawa bahili au anavisirani lakini mambo mengine yote yakawa poa weakness zake nyingine zikamezwa na mazuri yake.

Asante mamy....kila mtu ana vipaumbele vyake kiukweli...mimi siko interested kiivyo na wale wanaodhani bila wao mjini huishi. Kodi ya nyumba anataka alipe yeye...hela ya umeme yeye chakula yeye....yan unakuwa umeshikwa hapo huwezi hata kufurukuta atataka akuendeshe kama mtoto wake vile..
 
Mkuu...kwemaaa???

Ok, napenda kujuzwa, hivi tunapeana au wewe unanipa ? hivi mimi peke yangu ndio naenjoy au sote? nijibu hapa....
Mbona mimi huwa mswitie akiwa na genye ananiomba nkampoze? je namimi nimchaji? nina maswali meengi sana kuhusu mnavyotuchukulia.

Turudi kwenye topic, hayo ulosema hayatakiwi kwa both side (ke & me) sababu wote mnapendana na sio mimi (me) ndio nakupenda wewe tu.

Hawa viumbe wengine wa ajabu sana mkuu! Ndio maana nilimuuliza Kwan papuchi unauza?
 
Hapo hapo binti akiwa na msimamo wake mnashangaa mnaleeta hadi uzi huku eti shake well sasa hivi unasema nini Eli79

Usijaribu kutaka kumridhisha mwanaume....just follow ur heart maana ukifanya hili wao wanataka lile....they are unpredictable....ukiwafuata utakonda kichwa
 
Hawa viumbe wengine wa ajabu sana mkuu! Ndio maana nilimuuliza Kwan papuchi unauza?
Kama ananipa paupichi kama msaada kwanini anataka awe peke yake? kwanini analia na kulalama nnapochepuka?? Na kwanini ananiongopea kua naye ananipenda alama ya upendo iko wapi hapa? Ananipenda au anapenda pesa zangu? Hapa akumbuke huu usemi wa msanii fulani wa bongo fleva "Ntakutumia kama unavyotumia hela zangu".
 
Kujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga

Hawa wavulana wa hv mnawapata wapi!!!!!!!????
 
Mkuu...

Usiseme nalala nae kama mke kumbuka yeye ni mtu mzima pia, nayeye analala na mimi kama mume wake. sema tunalala kama wana ndoa sababu sote kwa hiari yetu na makubaliano yenye ridhaa zetu sote tumeamua.

hivyo hapa tunahudumiana ndio maisha kusaidiana na sio kuchunana! sababu tunapendana na sio nakupenda peke yangu. wewe pia unanipenda. ingekua wewe ni mtoto au mgonjwa wa akili ningekuhudumia sababu hukuamua kwa akili yako huru kulalala na mimi.....
sawa mkuu Khantwe ???

Sasa kama ni tendo la kufanyana maneno kama NIMEMLA, NIMEMGONGA, NIMELALA yanatoka wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kama ananipa paupichi kama msaada kwanini anataka awe peke yake? kwanini analia na kulalama nnapochepuka?? Na kwanini ananiongopea kua naye ananipenda alama ya upendo iko wapi hapa? Ananipenda au anapenda pesa zangu? Hapa akumbuke huu usemi wa msanii fulani wa bongo fleva "Ntakutumia kama unavyotumia hela zangu".

ha ha ha ha ha jamani michakachue maana ... jamani my aim ni kuwa muwe responsible jamna that all... sasa kama unaweza kutoa hela huku unanituia that good too
 
Hawa wavulana wa hv mnawapata wapi!!!!!!!????
Zorrande huyu ni mwanaume ana miaka 37 .Kuna watu hata awe na miaka 60 kuna tabia wanakuwa nazo kiasi kwamba ile hadhi ya uanaume inakua haipo sana
 
Back
Top Bottom