Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Hayo yako tu.Mie na kaka yangu huwezi kutugombanisha hata siku moja

Wii achana nae huyo mwanamke....karoho kanataka kumtoka akiona mimi na kaka yako tumezama kwenye dimbwi la mahaba...
 
Habari wana JF

Katika pita pita zangu nimekutana na haya wanaume wengi wanalalamikiwa na wanawake au mabinti kuwa tabia zifuatazo zinawakera kwa kuwa nina mapenzi na rafiki zangu JF hasa MMU kama unatatizo kati ya haya baadhi nitakayotaja jirekebishe ni upendo wangu tu kwenu.


  • Kutokubali majukumu , mwanaume umeamua kuwa na mpenzi kuwa responsible na take care of your famili kama ukibahatika kupata mtoto. kwa wadada ukiona mwanaume hayupo responsible ukiwa nae jua hadi kitandani ni mvivu wa kutupa ndio wa kwanza kulalama mmh ujui kukata kiuno. Kukiss ujui akilalamika hivyo kaa kimya uone kama anaweza kazi..... utasikia wanawake wanachuna tutaachaje kuchuna wakati kutoa kwa hiyari amtaki mjifunze.

  • Kujinunisha hovyo hovyo hivi mwanaume unasusa ili iweje ... he he susa wenzio wala.
  • Kuwa mchoyo.. unakuta mwanaume ni mchoyo kiasi kwamba hata kuhudumiana ni tatizo... mwanume pesa yako vitu vyako ni tatizo sasa maana ya mimi kuwa mpenzio au mwili mmoja ni ipi kama unaniwekea demacation kwenye vitu vyako... yani hawa hadi kutoa mawazo ni kazi anaona utafaidi...
  • Mwanume mbahili yani hadi anaumwa au unaumwa kutoa hela ya kutosheleza matibabu hato ... yani sasa huyu wimbo wake wa kila siku utasikia sina hela.. hivi kutokuwa na hela ni sifa au ni uvivu basi tuone unafanya jambo la maana upuuzi mtupu
  • Mwanume kuendekeza pombe na marafiki yani unatoa kipao mbele rafiki zako kuliko mpenzio ukiona hivyo ujue huna future nzuri.... baadhi ya maandiko yanasema "ajifanyie rafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe though rafiki anweza kuwa kama ndugu" tafakari.
  • Wivu uliopitiliza hapa wengi ni 25 na 30 sana hawa ndio tatizo utasikia baby tuma picha ... tuma picha unatuma bado tena tuma picha ... hivi niwaulize mnatengenezea movie hizo picha ni nini tatizo?...

muhimu: jitahidini kutafuta pesa kwa bidii na kufanya mazoezi ya viungo. siku njema rafiki

katika hali ya kawaida mwanaume mwenye tabia hizo mara nyingi hukataliwa na wanawake. Ukiona mwanaume mwenye tabia hizo yuko na mwanamke kwenye uhusiano wa muda mrefu, jua fika kwamba mwanamke ndiye anayelazimishia uhusiano. Kosa ni la hao wanawake.
 
hapo kwa pombe umenigusa miss chagga kuna jamaa yangu anakazi nzuru tu ila ndo hivo anajali marafiki sana yaan ni bata kwa kwenda mbele.....kutoa ofa kwa marafiki hata asio wajua kwake sio ishu yaani nikiwa naye nakereka nawajibika kuwanunulia pombe jamaa nisio wajua hata tukikutana hatuwez salimiana sembuse kukumbukana.......
Nimekuwa namshauri tufanye bznar lakini wapi pesa anazitafuta kweli ila zinaishia kwa kitmoto, bia na michepuko kiasi kwamba hata mshahara haumtoshi....
Yalinikuta wajameni mkewe alinipiga stop ya kwenda kwake yaani usije kwangu kabisa akiamini mimi ndo nampoteza muwewe...ndo hivo hajui mimi ni mpiganaji natafuta dolari kushoto kulia.
 
Last edited by a moderator:
katika hali ya kawaida mwanaume mwenye tabia hizo mara nyingi hukataliwa na wanawake. Ukiona mwanaume mwenye tabia hizo yuko na mwanamke kwenye uhusiano wa muda mrefu, jua fika kwamba mwanamke ndiye anayelazimishia uhusiano. Kosa ni la hao wanawake.

Ila kwa kizaz hich cha dot com naona wamezidi sana
 
hapo kwa pombe umenigusa miss chagga kuna jamaa yangu anakazi nzuru tu ila ndo hivo anajali marafiki sana yaan ni bata kwa kwenda mbele.....kutoa ofa kwa marafiki hata asio wajua kwake sio ishu yaani nikiwa naye nakereka nawajibika kuwanunulia pombe jamaa nisio wajua hata tukikutana hatuwez salimiana sembuse kukumbukana.......
Nimekuwa namshauri tufanye bznar lakini wapi pesa anazitafuta kweli ila zinaishia kwa kitmoto, bia na michepuko kiasi kwamba hata mshahara haumtoshi....
Yalinikuta wajameni mkewe alinipiga stop ya kwenda kwake yaani usije kwangu kabisa akiamini mimi ndo nampoteza muwewe...ndo hivo hajui mimi ni mpiganaji natafuta dolari kushoto kulia.

Ni tatizo kwa kweli starehe iwe kwa kias na familia isipate shida .
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom