Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mwanamme anayotoa hela kama ndiyo kigezo cha kudumisha penzi ndiyo tatizo kubwa kwangu
Unaweza ukapewa hela lakini kukawa na vitu vingi vinakosekana heshima, upendo na utulivu ndani ya nyumba au mahusiano Kwahiyo pesa sio kila kitu .
 
Mkuu...

Usiseme nalala nae kama mke kumbuka yeye ni mtu mzima pia, nayeye analala na mimi kama mume wake. sema tunalala kama wana ndoa sababu sote kwa hiari yetu na makubaliano yenye ridhaa zetu sote tumeamua.

hivyo hapa tunahudumiana ndio maisha kusaidiana na sio kuchunana! sababu tunapendana na sio nakupenda peke yangu. wewe pia unanipenda. ingekua wewe ni mtoto au mgonjwa wa akili ningekuhudumia sababu hukuamua kwa akili yako huru kulalala na mimi.....
sawa mkuu Khantwe ???

Ha ha ha ha jibu mujaraab kabisa hili mkuu,,,


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
Sasa kuna tofauti gani na ya kununua? Maana siku hizi Papuchi zinauzwa kwa two ways,,
Direct - Malaya
Indirect - MaSister Duu


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Hahahaha sio mchezo....tunaelekea pazuri
 
sasa kuna tofauti gani na ya kununua? Maana siku hizi papuchi zinauzwa kwa two ways,,
direct - malaya
indirect - masister duu


sent from my ipad air using jamiiforums mobile app

yani nimepata shida sana kuelewa mbona mmeshikilia pesa zaidi mengine ammuongelei mchoyo wewe
 
vipi mzee wa mia
Hujambo wewe? Naona busy sana. Huo ubusy uishie huko huko, isifike usiku wakati wa kulala ukiwa bado busy. Inapofika wakati wa kulala inabidi uwe free na unatakiwa kulala bila kizuizi chochote katika mwili wako. mia
 
Swty, I luv u!

Unakumbuka Leo Ni Mara ya ngapi Nakwambia nakupenda?

Wambie hivi, MAHABA BILA YA WIVU HAYO SI MAHABA ATII!

Cc: miss neddy mwallu

Asante swty....hata sikumbuki maana umeshaniambia mara kibao...I hope wameipata hiyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom