Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Nitamwiba msukuma mbaya huyo
Hahahahah....however. Kaa mbali na my ngosha
Nitamwiba msukuma mbaya huyo
Hahahahah....however. Kaa mbali na my ngosha
Ukiangalia kwa makini thread yako inahusu hela na mapenzi embu isome bila biasMsichakachue topic yangu sijaongelea pesa tu..... kuna uchoyo. Ubinafs wivu ila najua kinawauma yanayowagusa amlengi...
umenifurahisha sana mmmmh siongezi nenoKujinunisha ,Uchoyo ,Ubahili ni shida unaweza kukuta mwanaume hata kukupigia simu hawezi yeye ni kutuma mamessage tu wee kila mara ukimpigia akikuta call yako anakutumia sms tena bby , love call me back jamnai hata kuweka crdt ya shillingi elfu moja ni shida . Kuna wanawake wanapambana kutafuta pesa lakini kuna muda mambo huwa yanakwama muda huo basi mpenzi au mume na wewe umplay karole kako hata kidogo bado shida hii ni kero kweli Miss Chagga
ni kweli kabisa ukiona bahili ujue umewekwa spair anacheki upepo unaelekea wapiHakuna mwanaume mbahili katika jambo lake.....!!!
Ukiangalia kwa makini thread yako inahusu hela na mapenzi embu isome bila bias
Mbona mapenzi hawaongelei wameshikilia hela tatizo mmekuwa bias ninyi
leo umeamka mapema sana
umenifurahisha sana mmmmh siongezi neno
wifi langu love you to the moon and back....
wifi langu love you to the moon and back....