..samahani kwanza, wewe ni me au ke?Mkuu kama ni hivyo afadhari sasa ninaweza kupumua angalau kidogo. Bado mkuu sijakupata kidogo una maana gani wazazi wakiwa watu wazima? Mkuu bado ninakosa tena maana ya kusema kwa mtu ambaye si mke wala mchumba!! Jaribu kunyosha kidogo ili nipate kupumua zaidi!!
Work hard my dear oja nyepes hizi
wapo wanaume wenzio humu wanatoa hizo huduma kwa watoto wao. Sababu ziko nyingi sana za mama kumuacha mwanae mdogo. Wengi wenye mtazamo wako hupeleka watoto kwa dada zao au mama zao wawalelee watoto mama zao wakiwaacha.
Wajifunze sanaleo umeamua mama ila kasomo kazuri
sababu ya hayo ni:
1.unakuta mwanamke anaomba hela kila kukicha na sio chini ya laki hasemi anatumia nini....!!!!!!!
2.ni ukweli hali ya maisha ni ngumu ndo maana wengi tunawaacha wanetu kwa bibi zao!!!
3.kwenye 6*6 kama una kasoro ni vizuri nikuambie kuliko kukaa na kinyongo!!!
4.ukiona nimenuna ujue haufundishiki na nishampata mwenzio kimya kimya!!!:yo:
ndo nini kuni -cc? sidanganyiki. Em nitimue mimi. Mmachame mimi kusutwa sijawahi na sitaki. We baki nao hao hao mi ngoja niendelee na safari. Na uwafowadie hii wajue kabisa kuwa nimefuta kauli yangu mheshimiwa. Kwah!
Wajifunze sana
Why would you dare do that? Ama ufafanue kidogo. Unanzaje anzaje kumpendaje usiemuamini? In my mind, that's a recipe for disaster.
That's my hasband...luv u honey
..samahani kwanza, wewe ni me au ke?
Ninachosema hapa ni kumhudumia mdada ambaye sina future nae, siwezi kufanya hivyo kwa vile ni matumizi mabaya ya fedha. Akiwa mchumba hapo sawa. Umenipata sasa??
..samahani kwanza, wewe ni me au ke?
Ninachosema hapa ni kumhudumia mdada ambaye sina future nae, siwezi kufanya hivyo kwa vile ni matumizi mabaya ya fedha. Akiwa mchumba hapo sawa. Umenipata sasa??
mummy...
kwanini hujanitambulisha kwa baba yangu lakini!