Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

...
-mama katoka, huku nyuma mtoto anajisaidia na baba anamwacha aungue na mikojo mpaka mamake arudi!

Kwakweli kama hili pia ni kero, mna kazi kuwapata/kuwabadili watu wenu!! Jiandaeni na compromise nyingi vinginevyo, yaleyaleee, ndoa za wiki3!!
 
Kwakweli kama hili pia ni kero, mna kazi kuwapata/kuwabadili watu wenu!! Jiandaeni na compromise nyingi vinginevyo, yaleyaleee, ndoa za wiki3!!

Unamwachaje mtoto na haja muda mrefu kisa eti ni kazi ya mamake? Huku ni kukosa huruma.
 
-kuoga na kuacha sabuni na dodoki chini wakati alivikuta kwenye holders
-kukojoa na kuacha mitone ya mikojo kwenye choo hasa vyoo vya kukalia
-kulala bila kupiga mswaki halafu alfajiri morning glory anataka denda, ptuuuuu
-kumaliza jusi yote kwenye friji bila kujali wengine watakunywa nini
-kula mapaja na vidari na kuachia watoto na mke shingo na mgongo wa kuku
- kurudi nyumbani saa 7 usiku akiwa amelewa na kesho yake saa 4 kwenda bar kuzimua na kupata supu huku nyumbani mke na watoto wakigombania viandazi na chai ya rangi, kisha kupitiliza huko huko na washkaji mpaka saa 7 tena jumamosi na jumapili. Hovyo kabisa!
-mama katoka, huku nyuma mtoto anajisaidia na baba anamwacha aungue na mikojo mpaka mamake arudi!

-kuacha taulo bichi kitandani
-kuacha soksi kwenye viatu
-kuacha magazeti ya wiki nzima kweny gari
-kukoroma
-kudhani nyumba nzima wanapenda kuangalia kipindi cha Drive It
-kumaliza pants na handkierchief zote hata kama umesafir utakuta zimeongezeka mpya tu zote chafu
enhenhenhenhe hadi raha!
 
Huu mwezi wa 6 hadi wa 7, Graduate wengi wako sokoni (kitaa) endelea na ka musimamo kako ka kuchuna. Kama hujalalamika hapa "Nimebiwa MPENZI" ; "Ohoo tafuteni wenu" nk . Hivi kwa nini usitafte zako?
 
Habari wana JF

Katika pita pita zangu nimekutana na haya wanaume wengi wanalalamikiwa na wanawake au mabinti kuwa tabia zifuatazo zinawakera kwa kuwa nina mapenzi na rafiki zangu JF hasa MMU kama unatatizo kati ya haya baadhi nitakayotaja jirekebishe ni upendo wangu tu kwenu.


  • Kutokubali majukumu , mwanaume umeamua kuwa na mpenzi kuwa responsible na take care of your famili kama ukibahatika kupata mtoto. kwa wadada ukiona mwanaume hayupo responsible ukiwa nae jua hadi kitandani ni mvivu wa kutupa ndio wa kwanza kulalama mmh ujui kukata kiuno. Kukiss ujui akilalamika hivyo kaa kimya uone kama anaweza kazi..... utasikia wanawake wanachuna tutaachaje kuchuna wakati kutoa kwa hiyari amtaki mjifunze.

  • Kujinunisha hovyo hovyo hivi mwanaume unasusa ili iweje ... he he susa wenzio wala.
  • Kuwa mchoyo.. unakuta mwanaume ni mchoyo kiasi kwamba hata kuhudumiana ni tatizo... mwanume pesa yako vitu vyako ni tatizo sasa maana ya mimi kuwa mpenzio au mwili mmoja ni ipi kama unaniwekea demacation kwenye vitu vyako... yani hawa hadi kutoa mawazo ni kazi anaona utafaidi...
  • Mwanume mbahili yani hadi anaumwa au unaumwa kutoa hela ya kutosheleza matibabu hato ... yani sasa huyu wimbo wake wa kila siku utasikia sina hela.. hivi kutokuwa na hela ni sifa au ni uvivu basi tuone unafanya jambo la maana upuuzi mtupu
  • Mwanume kuendekeza pombe na marafiki yani unatoa kipao mbele rafiki zako kuliko mpenzio ukiona hivyo ujue huna future nzuri.... baadhi ya maandiko yanasema "ajifanyie rafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe though rafiki anweza kuwa kama ndugu" tafakari.
  • Wivu uliopitiliza hapa wengi ni 25 na 30 sana hawa ndio tatizo utasikia baby tuma picha ... tuma picha unatuma bado tena tuma picha ... hivi niwaulize mnatengenezea movie hizo picha ni nini tatizo?...

muhimu: jitahidini kutafuta pesa kwa bidii na kufanya mazoezi ya viungo. siku njema rafiki

leo umeamua mama ila kasomo kazuri
 
Unamwachaje mtoto na haja muda mrefu kisa eti ni kazi ya mamake? Huku ni kukosa huruma.

Huyo mtoto kama bado ni wa kujisaidia kwenye nguo, ilikuaje mamie akamwacha? Mkiachia kina baba, wawapo wakubwa, ndo hizi lawama wenzi wao wanazileta JF (Mungu aibariki wajukuu zetu waikute-in whatever form 🙂).
 
-kuoga na kuacha sabuni na dodoki chini wakati alivikuta kwenye holders
-kukojoa na kuacha mitone ya mikojo kwenye choo hasa vyoo vya kukalia
-kulala bila kupiga mswaki halafu alfajiri morning glory anataka denda, ptuuuuu
-kumaliza jusi yote kwenye friji bila kujali wengine watakunywa nini
-kula mapaja na vidari na kuachia watoto na mke shingo na mgongo wa kuku
- kurudi nyumbani saa 7 usiku akiwa amelewa na kesho yake saa 4 kwenda bar kuzimua na kupata supu huku nyumbani mke na watoto wakigombania viandazi na chai ya rangi, kisha kupitiliza huko huko na washkaji mpaka saa 7 tena jumamosi na jumapili. Hovyo kabisa!
-mama katoka, huku nyuma mtoto anajisaidia na baba anamwacha aungue na mikojo mpaka mamake arudi!
Hahahahahahahahah Aiseee
 
[h=2]Mwanamke Ishi Kwa Uwezo Wako[/h]
Wanawake wakati mwingine unaweza sababisha matatizo, majaribu na hata magonjwa ya moyo kwa mume na familia kwa ujumla. Wanawake tunapenda kupendeza, kuishi mahali pazuri, kula vizuri na kuonekana vizuri. Mambo haya sio dhambi ila hakikisha yanaendana na hali halisi ya maisha na kipato chenu. Kuna wanaume wana madeni kila benki, ofisini, marafiki n.k. kutokana na wake zao kulazimisha maisha ambayo ni juu sana na uwezo wao.
Mwanamke unatakiwa kujua jinsi ya kuipangilia nyumba yako na kuishi ndani ya uwezo wenu. Maisha ya kuiga na kutaka kuonekana uko juu hayatakufikisha mbali, utaibomoa nyumba yako kwa mikono yako mwenyewe. Kubali hali uliyonayo kisha fanya kazi kwa bidii ili kuiboresha na kufikia ndoto zako. Acha kulazimisha na kumpa mumeo pressure zisizo na msingi.
 
Kuna mtu anaandaliwa mazingira ya kupigwa mzinga mkubwa hapa

Mkuu hapa umeona mbali sana na tunaoandaliwa mizinga tupo wengi yaani hii mada imewapa nguvu kweli, heko kwa mtoa mada.....ila mie wimbo wangu upo palepale sin....e....l...a. kila siku mimi2
 
Huyu NANDERA mbona sijamfaham?

Kaizer hujanifahamu? sijakuelewa. Unamaanisha hujanielewa au? Kama hujanielewa ni kwamba nilikuwa naongezea machache kwenye list ya miss chagga ya kero za wanaume. Mimi niite za wenzi.
 
Back
Top Bottom