Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Nimeipenda embu njoo bobo
Japo post ya muda wacha nichangie,kwanza hakuna binadamu kazaliwa ana hormones za kike wala kiume yote ni mapepo majini wachafu ummu subiani,mtoto anapokuwa mdogo hana madhambi malaika humlinda husubiri pale ka baleghe sasa ndo hujipenyeza kwa mtoto,na majini hawa ndio huwatia ashki matamanio teenager haswa ile kuota unafanya mapenzi unachafua shuka haswa kwa wanaume,na haya majinni ya ummu subiani ya na jinsia 2 ya kike na kiume,humpa kijana matamanio kwenye ndoto kama kufanya mapenzi na wanaume wenzie au wanawake wenzie, iwapo hana imani ucha Mungu ndo anapotea, hapa sasa wazazi tuwasomeshe watoto maswala ya imani, dawa yake ikikutokea hali hio ni kukemeaa kuikataa kabisa hali hio inaenda mpaka inaiisha ila ukichukulia poa inaanza ndotoni waona raha mwisho unatamani ufanye kweli na wanakupa mvuto wa kuvutia watu wa kukufanyia au kuwafanyia uchafu huo,majini wana mambo mengi sana wapo kama sie binadamu wapo wema na wabaya na binadamu wengi sana wana majini bila wao kujua sababu majini wanapenda sana binadamu mpaka lifestyle ya kiubinadamu kama kufanya mapenzi kula mavazi etc,na kuna watu wana bahati anaweza kuwa na jinn(tena wala huwezi jua maana hawapandi) ana kipaji cha mpira basi mtu atapiga ball balaa, mtu ana jinn mfanyabiasha atafanya biashara utakuta akifanya mambo mengine hayaendi,kadhalika upishi fashion hata mambo ya dini unakuta jinn mtu wa imani flani mfano muslim jinn anapenda kusali kusoma Quran automatically binadamu atakae kuwa nae atapenda mambo hayo anakataa machafu,wapo pia majini wa wizi mtu anakuwa mwizi hashikiki wapo majini wa umalaya mtu anafanya umalaya balaaa hapo utashangaa mtaani wanamsema binti malaya anabadili wanaume hashikiki wazazi wenyewe wamechoka wanaacha dunia imfunze ni hawajui tu ni roho chafu ina control mind ya mtoto wao sio yeye,yapo majini malevi nbwa yakikuvaa ni kulewa tu pombe huachi,muhimu wewe mwenyewe uikatae hio hali upambane na nafsi yako mwisho shetani hushindwa tu maana Mwenyeezi Mungu haibadili nafsi ya mtu ambae mwenyewe hajaamua kubadilika,unapambana na roho chafu muombe msaada Mungu, pia punyeto ni mapepo maana jinn ana njia 3 za kufanya mapenzi kwa mwanadamu ya kwanza ndotoni ya 2 kwa hisia yaani kwa punyeto ya 3 kupitia mwanadamu kama jinn wa kike anamuingia mwanamke mume anagonga anajua anagonga mkewe kumbe anagonga 2 in 1 kama jinn wa kiume anamuingia mume mke anakata miuno kumbe anamkatia na jinn miuno 😁ndo maana kwa muslim wanaume wanaambiwa wasiingilie wake zao bila dua iwapo mimba ikitunga basi mtoto anakuwa ana DNA za kijinn muda mwingine unaona mtoto mkorofi kuna tabia humuelewi kumbe toto la jinn wengi wana gongewa sana wake zao na majini mpaka wanazalishwa bila wao kujua.

Tuombee watoto na kuwatolea sadaka.
 
Japo post ya muda wacha nichangie,kwanza hakuna binadamu kazaliwa ana hormones za kike wala kiume yote ni mapepo majini wachafu ummu subiani,mtoto anapokuwa mdogo hana madhambi malaika humlinda husubiri pale ka baleghe sasa ndo hujipenyeza kwa mtoto,na majini hawa ndio huwatia ashki matamanio teenager haswa ile kuota unafanya mapenzi unachafua shuka haswa kwa wanaume,na haya majinni ya ummu subiani ya na jinsia 2 ya kike na kiume,humpa kijana matamanio kwenye ndoto kama kufanya mapenzi na wanaume wenzie au wanawake wenzie, iwapo hana imani ucha Mungu ndo anapotea, hapa sasa wazazi tuwasomeshe watoto maswala ya imani, dawa yake ikikutokea hali hio ni kukemeaa kuikataa kabisa hali hio inaenda mpaka inaiisha ila ukichukulia poa inaanza ndotoni waona raha mwisho unatamani ufanye kweli na wanakupa mvuto wa kuvutia watu wa kukufanyia au kuwafanyia uchafu huo,majini wana mambo mengi sana wapo kama sie binadamu wapo wema na wabaya na binadamu wengi sana wana majini bila wao kujua sababu majini wanapenda sana binadamu mpaka lifestyle ya kiubinadamu kama kufanya mapenzi kula mavazi etc,na kuna watu wana bahati anaweza kuwa na jinn(tena wala huwezi jua maana hawapandi) ana kipaji cha mpira basi mtu atapiga ball balaa, mtu ana jinn mfanyabiasha atafanya biashara utakuta akifanya mambo mengine hayaendi,kadhalika upishi fashion hata mambo ya dini unakuta jinn mtu wa imani flani mfano muslim jinn anapenda kusali kusoma Quran automatically binadamu atakae kuwa nae atapenda mambo hayo anakataa machafu,wapo pia majini wa wizi mtu anakuwa mwizi hashikiki wapo majini wa umalaya mtu anafanya umalaya balaaa hapo utashangaa mtaani wanamsema binti malaya anabadili wanaume hashikiki wazazi wenyewe wamechoka wanaacha dunia imfunze ni hawajui tu ni roho chafu ina control mind ya mtoto wao sio yeye,yapo majini malevi nbwa yakikuvaa ni kulewa tu pombe huachi,muhimu wewe mwenyewe uikatae hio hali upambane na nafsi yako mwisho shetani hushindwa tu maana Mwenyeezi Mungu haibadili nafsi ya mtu ambae mwenyewe hajaamua kubadilika,unapambana na roho chafu muombe msaada Mungu, pia punyeto ni mapepo maana jinn ana njia 3 za kufanya mapenzi kwa mwanadamu ya kwanza ndotoni ya 2 kwa hisia yaani kwa punyeto ya 3 kupitia mwanadamu kama jinn wa kike anamuingia mwanamke mume anagonga anajua anagonga mkewe kumbe anagonga 2 in 1 kama jinn wa kiume anamuingia mume mke anakata miuno kumbe anamkatia na jinn miuno ndo maana kwa muslim wanaume wanaambiwa wasiingilie wake zao bila dua iwapo mimba ikitunga basi mtoto anakuwa ana DNA za kijinn muda mwingine unaona mtoto mkorofi kuna tabia humuelewi kumbe toto la jinn wengi wana gongewa sana wake zao na majini mpaka wanazalishwa bila wao kujua.

Tuombee watoto na kuwatolea sadaka.
Kwa mujibu wa maelezo yako ni kua majini wanawatawala binaadam kiasi kwamba kila kipaji ni jini, kila tabia ni jini, mfano wakina Ronaldo na Messi wana majini,

Nyie ndio wale hata mkiumwa Malaria mnakimbilia kujiagua
 
Kwa mujibu wa maelezo yako ni kua majini wanawatawala binaadam kiasi kwamba kila kipaji ni jini, kila tabia ni jini, mfano wakina Ronaldo na Messi wana majini,

Nyie ndio wale hata mkiumwa Malaria mnakimbilia kujiagua
Sijasema kila tabia kipaji ni jinn japo wengi bila wao kujua mpaka utakufa utajiona ni wewe Mie kubishana siwezi sana hIla Google kitu kinaitwa Qareen utapata hint kidogo
 
Qareen is among shayateen, and we know that shayateen are a kind of Jinns.
Every person has his own qareen (satan) since the time of his birth, that keeps leading him to astray, and stays inside him just like blood flows in the entire body.

When a human dies normal death his qareen becomes free because his job is done by the death of the human who he was assigned to. Where he goes after the human dies nobody knows, however when people do black magic rituals in an attempt to summon the soul of the deceased then what they see is not actually that person’s soul but his/her qareen that looks exactly like that person.

When qareen of the deceased person shows up, he has the same looks and voice as the deceased person. That makes people, who summoned, mistakenly think that they are interacting with a soul, i.e. it further leads them to strengthen their false beliefs and encourages them to do more black magic.

Hence, this tells us that qareen not only survives after a person’s death but he can take part in spreading further mischief on earth and can lead people to go astray.

I hope it helps.
 
Kifupi. Familia karibu zote TZ zina black sheep. It's our secret. We are ashamed and not proud of it. We will not condone or sympathize with you. You knew what you wanted and went for it.
You and the rest of your gay friends are a disgrace to humanity and absolutely shameful
 
Sijasema kila tabia kipaji ni jinn japo wengi bila wao kujua mpaka utakufa utajiona ni wewe Mie kubishana siwezi sana hIla Google kitu kinaitwa Qareen utapata hint kidogo
Nyie ndio mnatuharibia Dini tunaitwa wafuga majini, unawatetea utadhani ushawaona wakakupa na ugali,

Kwa hiyo siku hizi binaadam halindwi na Malaika tena bali anakua na jini Qareen hadi anavyokufa mambo ya Malaika mbele na nyuma, kulia na kushoto hayapo au huyo Qareen anaelewana na Malaika na wanagonga cheers kichwani kwako?
 
Nyie ndio mnatuharibia Dini tunaitwa wafuga majini, unawatetea utadhani ushawaona wakakupa na ugali,

Kwa hiyo siku hizi binaadam halindwi na Malaika tena bali anakua na jini Qareen hadi anavyokufa mambo ya Malaika mbele na nyuma, kulia na kushoto hayapo au huyo Qareen anaelewana na Malaika na wanagonga cheers kichwani kwako?
Ndo maana nasema sina kawaida ya kujibizana halafu usinilishe maneno ambayo sijasema wapi nimesema mtu analindwa na jinn sio Malaika????! na nyie ndo wakaririshwa dini hamuisomi ungesoma ungejua hata kisa cha Mtume Muhammad S. W. A alomsilimisha Jinn Qareen, Malaika kama Malaika wanakuwepo kila mmoja ana jukumu lake,msioende sana ubishani na upingaji ukisikia jambo lifatilie Elimu Elimu Elimu
 
Ndo maana nasema sina kawaida ya kujibizana halafu usinilishe maneno ambayo sijasema wapi nimesema mtu analindwa na jinn sio Malaika????! na nyie ndo wakaririshwa dini hamuisomi ungesoma ungejua hata kisa cha Mtume Muhammad S. W. A alomsilimisha Jinn Qareen, Malaika kama Malaika wanakuwepo kila mmoja ana jukumu lake,msioende sana ubishani na upingaji ukisikia jambo lifatilie Elimu Elimu Elimu
Kwa hiyo kama Mtume alimsilimisha Qareen, huyo unayemuongelea hapa ni nani?
Jibu hoja kwa hoja sio kukimbilia eti sijibizani ulipost ili iweje kama hutaki challenge?
 
HV mkuu unakafanikiwa lbda kutembea na mwanasiasa mfno mwigulu au bashe au heche au zito labda sas mfno na wew ukawaomba uwachakate je watakubali
Umeshawai muomba yule anaekuchakata nae umchakate au Ni wee tu unachakatwa muda wote
Kuna watu mna maswali ya ajabu sana
 
Huko juu umesema kila binaadam ana Qareen wake, kwa hiyo aliyesilimishwa na Mtume alikua ni Qareen wa Mtume? Je na Binaadam wengine wawasilimishe Maqareen wao?
Jibu yes ✅
Swali la 2 sio rahisi ila wapo wanao wasalimisha mambo hayo ya watakatifu wacha Mungu mtu mwenyewe muovu mchafu atasilimisha Qareen 😂halafu elimu Sasabe sio zamani elimu imejaa mitandaoni ukisikia mambo embu lichumbue mwenyewe soma upunguze maswali ambayo unaweza pata majibu na ziada. Just google okay.ukikosa majibu unatafuta hata ulamaa wakubwa sio ma sheikh ubwabwa wakupe ilmu.
 
Nyie ndio mnatuharibia Dini tunaitwa wafuga majini, unawatetea utadhani ushawaona wakakupa na ugali,

Kwa hiyo siku hizi binaadam halindwi na Malaika tena bali anakua na jini Qareen hadi anavyokufa mambo ya Malaika mbele na nyuma, kulia na kushoto hayapo au huyo Qareen anaelewana na Malaika na wanagonga cheers kichwani kwako?
jamani nachekaa sanaaa khaaah
 
Back
Top Bottom