Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kuangusha au kuhesabu coins usiku
1. Mtoto ananunuliwa hospitalini
2. Kufanya sex/ngono ni mambo ya ma balaa(ya kishetani)
3. Mtoto wa kiume hatakiwi jikoni atakuwa na tabia za kike
4. Mtoto wa Kiume haoti moto
NB: no. 3 & 4 nilisikia maeneo ya village kwetu nilikozaliwa.
no 4. Nilidadisi nikaambiwa na elders kuwa mwanaume sehemu ya kuzalisha/kiwanda mbegu za kiume iko nje ya mwili ambapo akiota moto hasa mkali itaadhiri uzao wake.
Tuendeleee mengine waliotudanganya ni nini?
Labda wewe Ndio Ulidanganywa Mimi/Sisi hatukuambiwa ujinga UO na Pili sikuwahi Kuuliza swali lolote na wala sikukaa Jikoni NImezaliwa House geli wapo tena watatu sasa sijui wewe Ulidangwa na nani Muweke wazi Mkuu Nafikiri hayo umeyasikia
Utakuwa wewe umezaliwa uswahilini/mijini ambapo ukweli daima hata kwa vitendo watoto wanaona sisi ni wa village. Unasema hukuwahi kuuliza swali mm navyojua watoto siku zote ni wadadisi wa mambo na wanapenda kujua vitu kutokuuliza swali kunaonyesha wewe zombie wa kifa mtu.
ukipita makaburini usiongee wala kugeuka nyuma
ukipewa muhindi unampa mkubwa akutengenezee njia ya kwenda kwenu(ukistuka umebaki mistari miwili tu)
1. 4. usinawe kabla ya wakubwa na usianze kula kabla ya wakubwa. afadhali siku hizi kila mtu na sahani yake.
mama mkwe wapi na wapi wakati wa utotoniUkimchungulia mama mkwe unaota kisekenene