NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 651
- Thread starter
- #81
Ukiitwa usiku usiitike maana ni mashetani.
usitembee kinyumenyume utasababisha ndugu zako kufa.
ukiinamisha kichwa katikati ya miguu kama ni mtoto wa mwishokuzaliwa basi atazaliwa mwingine.
kuku wakigombana mnashikana vidole ili mpambano uendelee.
ugali ukiwa wa moto sana wakati wa kula basi alieupika ana wivu sana.
ukiwasha moto usipowaka haraka basi una tabia ya kujisaidia njiani
:teeth::teeth::teeth::teeth: