Mambo tata kuhusu NASA na safari ya mwezini: Ni kweli Neil Armstrong alisilimu baada ya kusikia Adhana mwezini?

Kwenye pesa Si mwenzako anaweza kutengeza chochote ili ukiamini.

Hii issue ya USA kutua mars bado unatia ukakasi mwingi.
Wamarekani hawakutua mwezini mkuu,ule ulikuwa utapeli wa kimataifa.Ule uongo ulikuwa staged kwenye jangwa moja la Marekani liitwalo Mojave.Marekani ina majangwa makubwa manne.What does this imply,Ina maana kwamba assertion kwamba Armstrong alisilimu baada ya kusikia adhana mwezini ni uongo ule ule wa Ibilisi.

Hata hivyo anayejua chanzo cha dini ya Uislamu hashangazwi na uongo huu.
 
Kuna sehemu nitakuuliza kama hewa hakuna sauti itafikaje na wote wanatumia redio maalumu.
Kwa kuwa teknolojia kipindi hicho iliyokuwa inaweza kufika anga ya juu zaidi SW(short wave) kimawasiliano
View attachment 1707298
View attachment 1707299

Na kumbuka SW ilikuwa inamuingiliano wa redio zilizokuwa zinatumika kwa wale mnao kumbuka SW labda kidogo AM.inawezekana katika mawasiliano signal zikaingilia za redio iliyopo nchi ambazo mda fulani kupiga adhana na kumfanya kuuliza labda wakati akitafuta muelekeo wa mawasiliano
100%
 
Wamarekani hawakutua mwezini mkuu,ule ulikuwa utapeli wa kimataifa.Ule uongo ulikuwa staged kwenye jangwa moja la Marekani liitwalo Mojave.Marekani ina majangwa makubwa manne.What does this imply,Ina maana kwamba assertion kwamba Armstrong alisilimu baada ya kusikia adhana mwezini ni uongo ule ule wa Ibilisi.

Hata hivyo anayejua chanzo cha dini ya Uislamu hashangazwi na uongo huu.
Mmmmh!
 
Wamarekani hawakutua mwezini mkuu,ule ulikuwa utapeli wa kimataifa.Ule uongo ulikuwa staged kwenye jangwa moja la Marekani liitwalo Mojave.Marekani ina majangwa makubwa manne.What does this imply,Ina maana kwamba assertion kwamba Armstrong alisilimu baada ya kusikia adhana mwezini ni uongo ule ule wa Ibilisi.

Hata hivyo anayejua chanzo cha dini ya Uislamu hashangazwi na uongo huu.
Wewe kilaza James Webb Space Telescope(JWST) inaenda kuwa stationed Lagrange 2, km milioni 1.5 toka duniani, mwezini ni km laki 3.8 tu toka duniani.
 
HAYA NDIYO MAMBO TATA KUHUSU NEIL ARMSTRONG NA SAFARI YA MWEZINI

Jana nlifanikiwa kuangalia video , baada ya shirika la anga la MAREKANI, NASA kufanikisha kupeleka chombo cha utafiti katika sayari nyekundu (MARS)

Chombo hicho kilichopewa jina la Perseverance Rover ambapo kiliondoka Duniani July 2020 na kusafiri kwa miezi 7 na Chombo hicho ndicho Chombo kikubwa katika vilivyowahi kukanyaga sayari ya MARS.

View attachment 1706996

Kongole kwa NASA , kwa kufanikisha ilo tukipata jambo hilo ambalo pia linaitaji UZI wake ....baada ya kutoka kuwaangalia ndipo nikapata msukumo wa kuangalia mission nyingine tofauti tofauti za Space, ambazo baadhi ya hizo,zikanisukuma kuandika nlichoandika..ilhali kinajulikana na Wengi.

Wasalaam

Pamoja na kumbukumbu ya miaka mingi kupita na mmoja wa watu mashuhuri katika mpango wa utafutaji nafasi za wanadamu kuwa mashuhurii, inatupa kigezo cha kuchunguza tena mafumbo haya mapana kwa kadri nafasi zetu zinavyoruhusu ,baada ya kupitia historia ambayo sisi wote tunaijua leo kama Tukio Apollo 11.

Matukio ya kihistoria katika uchunguzi wa binadamu na ugunduzi wa kisayansi mara nyingi unaweza kunasa mawazo ya mwanadamu kwa namna tofauti, ya kwamba mambo kadhaa hufunikwa katika wingu la fumbo ambalo tafsiri za kushangaza hatimaye huibuka.

Safari ya mwezini ya Neil Armstrong ya Julai 1969 haikucha kuwa na mafumbo Mengi

View attachment 1706997

Tangu mchakato wa Apollo 11 na wanaanga watatu kwenda mwezini na kufanikiwa kurudi tena kwenye jamii baada ya safari yao , baada ya utulivu ikaonekana kuwa imetoa dimbwi lenye rutuba kwa kueneza hadithi nyingi juu ya jumbe tofauti za watu ,kutoka kuwa wajinga hadi kuwa wajanja wa kudadavua mambo

Kuna waliodokeza kuwa SAFARI ilitengenezwa hapa hapa duniani na NASA hawakufanikiwa kutua mwezini miaka ile
ili kuitisha Urusi na kuishtua Dunia ikatengenezwa Igizo la mission ya mwezini...kifupi yako mengi sana

Kutokana na wigo huu wacha tuchunguze Fununu zingine za kuvutia zaidi.

Je! Neil Armstrong alisilimu?

Kwanza kulikuwa na hadithi ya Neil kuwa muislamu. Muda mfupi baada ya wanaanga wa kwanza wa Safari wa mwezi kurudi Duniani ndipo hadithi ikaibuka kwamba Neil Armstrong alikuwa Mwislamu.

Kulingana na hadithi hiyo, wakati wote wakiwa angani Aldrin na Armstrong walikuwa wamesikia sauti ambayo baadaye Armstrong aligundua ilikuwa ni 'Adhana' (wito wa Waislam kwajili ya Swala). Baada ya kufika Duniani na kufanya Tour mbalimbali , miongoni mwa nchi hizo misri nayo ilikuwepo huko ndiko alikopata kusikia sauti hiyo kwa mara nyingine tena na kufuatilia zaidi kwa undani kuihusu

Uvumi huo uliendelea kuwa juu na inasemwa baada ya kujua ni nini maana ya maneno hayo, Armstrong alisilimu. Ingawa chanzo cha hadithi hii hakijulikani habari hiyo ilipatikana zaidi kwenye kurasa za magazeti huko Misri, Indonesia, na Malaysia.

Lakini vipi kulikuwa na ukweli katika hadithi hiyo??

Baadhi ya taarifa zinasema

Nanukuu

When Armstrong and company walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. Only later, after returning to earth, did they realize that it was actually the Adhan"

Majibu ya neil ndiyo yaliyoleta utata zaidi

Armstrong was heard to remark: "I have seen a few mosques with powerful speaker systems, but wow, somebody down here certainly turned on the power on that day!’”


Haya majibu yalifunga mijadala Mingi , Sana kuwaacha watu katika mshangao zaidi aliwaza nini kujibu hivyo hakuna Ajuaye

Vyema tunaweza kupata kidokezo katika majibu ya Armstrong katika sehemu ya pili ya habari hii , Kwa kipindi cha muda mwanadamu huyu wa kwanza kukanyaga Mwezini aliwasiliana na mashirika fulani ya kidini, serikali, na watu binafsi wakimwalika kushiriki katika shughuli za Kiislamu.

Ingawa alisisitiza hamu yake ya kutomkosea mtu yeyote au kudharau dini yoyote alishauri kwamba habari za yeye kuwa muislamu hazikuwa sahihi na kwamba mtu yeyote anayeuliza maswali zaidi kuwa adabu lakini kwa uthabiti aliwaambia kwamba hakuwa na uzoefu wa kubadilika wala haikuwa kapanga kushiriki katika shughuli zozote za kidini.

Wakati Neil Armstrong alipoendelea kujikuta akipata taarifaa za uvumi wake kuenea zaidi ,katika mielekeo kama hiyo asiyoitaka, akahisi ni muhimu kuwa na mkutano wa simu na waandishi wa habari huko Cairo ambao walimsikia akisema kwamba yeye sio Mwislamu. Hadi leo wengine wanasemekana kuamini kwamba kukana kwake hadharani juu ya suala hilo kulikuwa chini ya shinikizo kali kutoka kwa serikali ya MAREKANI.

View attachment 1707000

Lakini je katika hali ya kawaida

TUNAWEZA KUSIKIA SAUTI MWEZINI??

Hapana, haiwezekani kwenye mwezi kwa mawimbi ya sauti kusafiri.

Kwa kuwa hakuna hewa kwenye mwezi, haiwezekani mawimbi ya sauti kusafiri.

Lazima utumie redio au kitu kama hicho kwa mawimbi ya sauti yaweze kwenda kwenda

HATUWEZI JUA PIA MAANA MUNGU SIO KAWAIDA LOLOTE ANAWEZA FANYA PIA

View attachment 1706999

Je! Neil Armstrong na wanaanga wa Apollo 11 waliona chombo cha anga cha sayari ya kigeni??

Kana kwamba safari ya kwanza ya kutua binadamu kwenda kwa kitu kingine cha nje katika Mfumo wa Jua haikuwa ya kufurahisha vya kutosha, habari zingine baadaye iligundulika kuwa wanaanga wa Apollo 11 walikuwa wameshuhudia UFOs zingine angani.

View attachment 1707001

Ilisemekana kwamba waliona kitu kimoja kisichojulikana kilichoruka sambamba nao na kililingana na kasi ya chombo cha angani cha Columbia, Wanaanga wale walijaribu kukizingatia wakati wa safari ya Trans-lunar, lakini kilipotea kabla ya picha yoyote kupigwa.

Ili kuthibitisha labda inawezekana ilikuwa sehemu ya roketi nyingine ambayo ilikuwa kwenye uzinduzi rocket ya Saturn V ambayo nayo ilikuwa inasapport misheni hiyo, wanaanga walituma Ujumbe kujaribu kujua umbali unaokadiriwa kati ya roketi hiyo na Chombo chao

Jibu kutoka Houston lilithibitisha kwa wanaanga kwamba baada ya kutengana nacho njiani,isingewezekana kwao kuona sehemu yoyote ya roketi hiyo ya Columbia iliyokuwa kwenye uzinduzi wakati huo.

Baada ya kuruka sambamba na chombo hicho cha kigeni angani kwa dakika chache chombo kile chenye kung'aa mwishowe kiliwapotea nyuma, na wanaanga kamaliza safari yao yote kuelekea Mwezini bila kukiona tena

View attachment 1707002

Ingawa hakuna mtu atakayeweza kusema kwa uhakika wa asilimia mia moja kile kitu kilichoongozana kwa muda mfupi na ndege ya Wanaanga kilikuwa ni nini??, wanaanga wa Apollo 11 walifikia hitimisho kwamba kitu hicho ni moja ya kontena chombo chao ambayo kasi ya kukimbia hapo awali ilikuwa imeiwezesha kwenda sawa na chombo

Swali ni Kweli Habari hizi chache zinaweza kuwa na Ukweli ndani????

Kama ni Uongo Kwanini zililetwa kwa manufaa gani???

DaVinci XV
UONGO HAKUWAHI KUWA NA DINI YOYOTe SiO UKRISTO WALA UISLAM

Screenshot_20211231-192702~2.png
 
HAYA NDIYO MAMBO TATA KUHUSU NEIL ARMSTRONG NA SAFARI YA MWEZINI

Jana nlifanikiwa kuangalia video , baada ya shirika la anga la MAREKANI, NASA kufanikisha kupeleka chombo cha utafiti katika sayari nyekundu (MARS)

Chombo hicho kilichopewa jina la Perseverance Rover ambapo kiliondoka Duniani July 2020 na kusafiri kwa miezi 7 na Chombo hicho ndicho Chombo kikubwa katika vilivyowahi kukanyaga sayari ya MARS.

View attachment 1706996

Kongole kwa NASA , kwa kufanikisha ilo tukipata jambo hilo ambalo pia linaitaji UZI wake ....baada ya kutoka kuwaangalia ndipo nikapata msukumo wa kuangalia mission nyingine tofauti tofauti za Space, ambazo baadhi ya hizo,zikanisukuma kuandika nlichoandika..ilhali kinajulikana na Wengi.

Wasalaam

Pamoja na kumbukumbu ya miaka mingi kupita na mmoja wa watu mashuhuri katika mpango wa utafutaji nafasi za wanadamu kuwa mashuhurii, inatupa kigezo cha kuchunguza tena mafumbo haya mapana kwa kadri nafasi zetu zinavyoruhusu ,baada ya kupitia historia ambayo sisi wote tunaijua leo kama Tukio Apollo 11.

Matukio ya kihistoria katika uchunguzi wa binadamu na ugunduzi wa kisayansi mara nyingi unaweza kunasa mawazo ya mwanadamu kwa namna tofauti, ya kwamba mambo kadhaa hufunikwa katika wingu la fumbo ambalo tafsiri za kushangaza hatimaye huibuka.

Safari ya mwezini ya Neil Armstrong ya Julai 1969 haikucha kuwa na mafumbo Mengi

View attachment 1706997

Tangu mchakato wa Apollo 11 na wanaanga watatu kwenda mwezini na kufanikiwa kurudi tena kwenye jamii baada ya safari yao , baada ya utulivu ikaonekana kuwa imetoa dimbwi lenye rutuba kwa kueneza hadithi nyingi juu ya jumbe tofauti za watu ,kutoka kuwa wajinga hadi kuwa wajanja wa kudadavua mambo

Kuna waliodokeza kuwa SAFARI ilitengenezwa hapa hapa duniani na NASA hawakufanikiwa kutua mwezini miaka ile
ili kuitisha Urusi na kuishtua Dunia ikatengenezwa Igizo la mission ya mwezini...kifupi yako mengi sana

Kutokana na wigo huu wacha tuchunguze Fununu zingine za kuvutia zaidi.

Je! Neil Armstrong alisilimu?

Kwanza kulikuwa na hadithi ya Neil kuwa muislamu. Muda mfupi baada ya wanaanga wa kwanza wa Safari wa mwezi kurudi Duniani ndipo hadithi ikaibuka kwamba Neil Armstrong alikuwa Mwislamu.

Kulingana na hadithi hiyo, wakati wote wakiwa angani Aldrin na Armstrong walikuwa wamesikia sauti ambayo baadaye Armstrong aligundua ilikuwa ni 'Adhana' (wito wa Waislam kwajili ya Swala). Baada ya kufika Duniani na kufanya Tour mbalimbali , miongoni mwa nchi hizo misri nayo ilikuwepo huko ndiko alikopata kusikia sauti hiyo kwa mara nyingine tena na kufuatilia zaidi kwa undani kuihusu

Uvumi huo uliendelea kuwa juu na inasemwa baada ya kujua ni nini maana ya maneno hayo, Armstrong alisilimu. Ingawa chanzo cha hadithi hii hakijulikani habari hiyo ilipatikana zaidi kwenye kurasa za magazeti huko Misri, Indonesia, na Malaysia.

Lakini vipi kulikuwa na ukweli katika hadithi hiyo??

Baadhi ya taarifa zinasema

Nanukuu

When Armstrong and company walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. Only later, after returning to earth, did they realize that it was actually the Adhan"

Majibu ya neil ndiyo yaliyoleta utata zaidi

Armstrong was heard to remark: "I have seen a few mosques with powerful speaker systems, but wow, somebody down here certainly turned on the power on that day!’”


Haya majibu yalifunga mijadala Mingi , Sana kuwaacha watu katika mshangao zaidi aliwaza nini kujibu hivyo hakuna Ajuaye

Vyema tunaweza kupata kidokezo katika majibu ya Armstrong katika sehemu ya pili ya habari hii , Kwa kipindi cha muda mwanadamu huyu wa kwanza kukanyaga Mwezini aliwasiliana na mashirika fulani ya kidini, serikali, na watu binafsi wakimwalika kushiriki katika shughuli za Kiislamu.

Ingawa alisisitiza hamu yake ya kutomkosea mtu yeyote au kudharau dini yoyote alishauri kwamba habari za yeye kuwa muislamu hazikuwa sahihi na kwamba mtu yeyote anayeuliza maswali zaidi kuwa adabu lakini kwa uthabiti aliwaambia kwamba hakuwa na uzoefu wa kubadilika wala haikuwa kapanga kushiriki katika shughuli zozote za kidini.

Wakati Neil Armstrong alipoendelea kujikuta akipata taarifaa za uvumi wake kuenea zaidi ,katika mielekeo kama hiyo asiyoitaka, akahisi ni muhimu kuwa na mkutano wa simu na waandishi wa habari huko Cairo ambao walimsikia akisema kwamba yeye sio Mwislamu. Hadi leo wengine wanasemekana kuamini kwamba kukana kwake hadharani juu ya suala hilo kulikuwa chini ya shinikizo kali kutoka kwa serikali ya MAREKANI.

View attachment 1707000

Lakini je katika hali ya kawaida

TUNAWEZA KUSIKIA SAUTI MWEZINI??

Hapana, haiwezekani kwenye mwezi kwa mawimbi ya sauti kusafiri.

Kwa kuwa hakuna hewa kwenye mwezi, haiwezekani mawimbi ya sauti kusafiri.

Lazima utumie redio au kitu kama hicho kwa mawimbi ya sauti yaweze kwenda kwenda

HATUWEZI JUA PIA MAANA MUNGU SIO KAWAIDA LOLOTE ANAWEZA FANYA PIA

View attachment 1706999

Je! Neil Armstrong na wanaanga wa Apollo 11 waliona chombo cha anga cha sayari ya kigeni??

Kana kwamba safari ya kwanza ya kutua binadamu kwenda kwa kitu kingine cha nje katika Mfumo wa Jua haikuwa ya kufurahisha vya kutosha, habari zingine baadaye iligundulika kuwa wanaanga wa Apollo 11 walikuwa wameshuhudia UFOs zingine angani.

View attachment 1707001

Ilisemekana kwamba waliona kitu kimoja kisichojulikana kilichoruka sambamba nao na kililingana na kasi ya chombo cha angani cha Columbia, Wanaanga wale walijaribu kukizingatia wakati wa safari ya Trans-lunar, lakini kilipotea kabla ya picha yoyote kupigwa.

Ili kuthibitisha labda inawezekana ilikuwa sehemu ya roketi nyingine ambayo ilikuwa kwenye uzinduzi rocket ya Saturn V ambayo nayo ilikuwa inasapport misheni hiyo, wanaanga walituma Ujumbe kujaribu kujua umbali unaokadiriwa kati ya roketi hiyo na Chombo chao

Jibu kutoka Houston lilithibitisha kwa wanaanga kwamba baada ya kutengana nacho njiani,isingewezekana kwao kuona sehemu yoyote ya roketi hiyo ya Columbia iliyokuwa kwenye uzinduzi wakati huo.

Baada ya kuruka sambamba na chombo hicho cha kigeni angani kwa dakika chache chombo kile chenye kung'aa mwishowe kiliwapotea nyuma, na wanaanga kamaliza safari yao yote kuelekea Mwezini bila kukiona tena

View attachment 1707002

Ingawa hakuna mtu atakayeweza kusema kwa uhakika wa asilimia mia moja kile kitu kilichoongozana kwa muda mfupi na ndege ya Wanaanga kilikuwa ni nini??, wanaanga wa Apollo 11 walifikia hitimisho kwamba kitu hicho ni moja ya kontena chombo chao ambayo kasi ya kukimbia hapo awali ilikuwa imeiwezesha kwenda sawa na chombo

Swali ni Kweli Habari hizi chache zinaweza kuwa na Ukweli ndani????

Kama ni Uongo Kwanini zililetwa kwa manufaa gani???

DaVinci XV

@daVinciXV
 
Huwa nashangaa sana mtu kujikeep busy kuresearch madudu yakujiaminisha uongo kuwa ukweli ili mradi aonekane mfuatiliaji wa sayansi, badala ya kuumiza kichwa kutafuta ukweli.
Hakuna kiumbe kilichofika mwezini tafuteni maarifa nje ya box, sio kupumbazwa na media za NASA, haina tofauti na mtoto anayeamini cartoon the same kwa mtu mzima kuamini movie za Marvel studio (NASA).
 
Hawa jamaa walikuja walikanusha kuwa Armstrong hakufika mwezini.

Nilitamani kumpa Mtoto wangu Hilo jina la Armstrong lakini NIMEKUJA Kugundua jamaa waliudanganya Ulimwengu.


HAKUNA KIUMBE KIMEWAHI KUFIKA MWEZINI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom