Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,799
- 4,195
Je ikiwa ni syndicate ya watu wachache kuwajengea hofu wengi!? Kujidhihirisha ukubwa na ubora kwa kuonekana kufanikisha yale yasiyowezekana!?US hawawezi kudanganya kuhusu kutua Mars au popote angani bila kubainiwa na Russia na China. Labda kama unaamini US wana pesa ya kuzihonga nchi hizo.
Huwa naupenda mfano wa Nuclear Tech.. jinsi inavyokuwa ya kikundi fulani tuu... Ukijaribu lazima usongwesongwe na madhila mpk ukome. Ukiwa mbishi kama Uchina unatoboa na ww unakaa mezani unaanza kucheza karata za kikubwa