Amerika should offer a much better deal; not interfear with our soverinity we are a very poor nation we need strategic patners
Ni kweli kabisa wajerumani wako strait hatuwawezi hawapendi wala hawajazoea magumashi si unaona ishu ya strabag ilivoingizwa mambo ya kiswahili tu wakasepa sasa wame subcontract kwa wadosi,too shame tanganyika
Tanzania haina DIRA,Tanzania haieleweki inataka kua kama nani(nchi iliyoendelea) baadae!katiba ya 6 ndo kabisa hamna kitu mule.Kenya au Rwanda zingepata hizi chance za mahusiano na China tungetawaliwa na Kenya au Rwanda.
Na mapito tu wakati mwingine shida uleta maarifa maana itawafanya wawe wabunifu wa kuangalia vyanzo vipya vya mapato maana wao wanachojua ni kupanga kwa ku-copy na ku-paste alafu gap linalobaki wanakimbilia kwa wahisani
!! kama Rwanda ilivuka tetemeko la genocide na sasa inaunguruma kiuchumi kuliko Tanzania
USA wapo wazi kwenye sera zao ila viongozi wetu wanapenda kujipendekeza. Namkumbuka proffesa mmoja ktk chuo cha STEMMUCO, aliwahi kusema vita ya tatu ya dunia itatokea na chanzo itakuwa ni bahari ya hindi na tanzania atakuwa chanzo cha mgogoro huo. Na mataifa yatakayohusika ni CHINA na USA.
Tanzania sijui wanamatatizo gani, wanajua fika kuwa RUSSIA na USA hawapikiki chungu kimoja na kila anaekupa misaada anamasharti yake hivi unadhani tutaweza kutimiza masharti ya pande zote bila kuwagonganisha hawa jamaa!?
NAOGOPA SANA.
DON'T PLAY WITH U.S.A.... never CHEAT U.S.A...
U.S they can sabotage J.K or any PRESIDENT HARAKA SANA.....U.S.A ni danger...
Mm ningependekeza JK. aachane na mikataba ya CHINA...na PUTIN asikanyage hapa TZ.....na hiyo mikataba 16 aachane nayo sbb ITATUDHURU SANA...NA U.S.A wanaweza sababisha vita vya kwetu wenyewe kwa wenyewe...i.e CIVIL WARS, like ARAB SPRING...ni U.S.A who financed and main player of ARAB SPRING....so tuwe makini sana...!!!
Hata kama utaitwa uzushi na wanna Lumumba ambao wanakuja lakini lazima tujiulize kwa nini anazuru sana Marekani pengine kuliko hata Msoga?
Lisemwalo lipo kama halipo basi laja.
Chochote kwa wamarekani kinawezekana.
Tanzania kama nchi itavuka tu; the country will for sure outlive "the professor without a profession"!! kama Rwanda ilivuka tetemeko la genocide na sasa inaunguruma kiuchumi kuliko Tanzania ambayo its thieving leadership haijui jinsi ya kuwaletea wananchi wake maendeleo wakati wa amani sina uhakika kama watajua cha kufanya wakati wa vurumai kufuatia haya ya Jaji warioba majuzi!!
Kwamba ni coincidence au hizi avatar vipi bwanaAmerika should offer a much better deal; not interfear with our soverinity we are a very poor nation we need strategic patners
Duh!! Yaani you have made my day!!!!Huyu mtu kachoka hata kuchunga hataweza.