Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

This was expected, sijui ni kwanini wasaidizi wa kikwete huwa hawamshauri mapema
 
Ivi sisi ni non aligned!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kama hupendi sawa but ndo habari nyeti zilizotufikia.


Marekani wamemwambia profesa kuwa ni wakati sasa inabidi aamue kama ni east au west. Hii ni baada ya Russia kuonyesha nia ya kuanza uhusiano wa kiuchumi na Tanzania,nia ambayo inafuatiwa na ujio wa rais wa Russia kama prof hatakataa.
Waziri wa fedha wa marekani mbali na
mambo mengine alileta ujumbe mahususi kwa la profeseri kuwa mahusiano yoyote na Russia katika kipindi hiki cha cold war reborn, ni nia ya moja kwa moja ya kupinga vikwazo (sanction) mbalimbali vilivyowekwa kwa Russia na jumuiya ya kimataifa.


Ikumbukwe USA walichukizwa sana na ile mikataba 16 kati ya profesa na CHINA na wakalichukulia kama ni uchonganishi wa kiuchumi.

To worsen matters, shinikizo la uingereza kwa rafiki zao marekani kuhusu kujitoa katika misaada ya kibajeti limeshika kasi, moja ya mambo yaliyojadiliwa katika ujumbe huo mahususi ni ultimatum zilizotolewa na marekani kwa profesa kuhakikisha anashughulikia wezi wa escrow or else .

Inasemekana mambo si mazuri na ndugu zetu USA na hii inamfanya mkuu kufanya safari ya kiintelligensia USA ili apate muda wa kutosha kurekebisha mambo

Note: Tetesi hiinimepenyezewa na mmagogoni mmoja baada ya kumuhoji kuhusu taarifa ya safari ya mkuu ya 20 days

Asante Mungu. Sasa tutaona mwisho wa VDM na sisiem
 
Hakuna kiongozi wa kuifanya Tz ikaheshimika labda kuanzia 2015 nae anatakiwa awe na mcmamo hapana yake iwe hapana but km ni hapana huku anatabasamu tutaendelea mke wa waume zaidi ya mmoja mbsya zaidi unaginganisha wanaume ambao hawapendani ni shida Mungu aingilie kati kwa kutipatia kiongozi mwenye mcmamo.
 
Hahahahahaaaaa huyu tayari namalizana nae, sijawahi kumtusi mtu ila huwa tunashindana kwa hoja tu

Mpotezee mkuu hana hoja. Siku zote mtu akikosa hoja anakimbilia matusi
 
sisi sera yetu ni kutofungamana na upande wowote kwahiyo kama marekani akiona nguo imebana aivue asepe mapema kabisa sisi hatuchaguliwi rafiki.

Kwanini mbapenda kujifurahisha,,,! Unoengea upuuz hii rePROFESERY akikuckia atakufanyia mbaya sana,,,!
 
Hali ni mbaya eti eeeeeeh!!!!!.Ila njaa zingine bwana!!,CCM mmezidisha umalaya, hivi mnataka muolewe na wanaume wangapi?,Sasa mmeona matokeo ya kupenda pesa za wanaume yalivyo mabaya?.Marekani na UINGEREZA wanataka kujitoa kwenye hiyo ndoa.Cjui itakuwaje jamani???.
usihofu duniani wanaume ni wengi sana,huyo mrusi tu ninaamini anakuja kutoa posa,maana mchina keshatuzalisha watoto wasiyoeleweka, anyway nitashangaa sana iwapo tutachaguliwa rafiki, natamani Mugabe aje awe Rais wetu au awe mshauri mkuu wa presidaa.
 
(Gsu ) hyo sera unayosema tunaifuata mbona kwenye katba inayopendekezwa haipo?
 
Amerika should offer a much better deal; not interfear with our soverinity we are a very poor nation we need strategic patners
 
Jamani hebu nisaidieni... baba Riz amepewa uprof na chuo gani huko china? leo wakati anahutubia huko dodoma TBC wameendelea kumwita Doctor, sasa kama ni prof. na TBC bado wanamwita Doctor hilo sio kosa la jinai aisee?

mkuu kwanza hilo jina "profeseri kikwete" ukiita mbele za watu ni kama umetukana au unamsanifu prof jk ndio maana hata chombo cha uma wanaogopa kumwita.
Yaani hata yeye mwenyewe anaona aibu kujipigia debe kuitwa profeseri wa kichina ilhali wenzake waliingia madarasani ili kupata hizo title.
 
mkuu wajerumani hawapendi unafiki kabisa so hatutawezana nao, sifa ya viongozi wa Tanzania ni unafiki na wizi

Ni kweli kabisa wajerumani wako strait hatuwawezi hawapendi wala hawajazoea magumashi si unaona ishu ya strabag ilivoingizwa mambo ya kiswahili tu wakasepa sasa wame subcontract kwa wadosi,too shame tanganyika
 
east daima,nani aende west ,unapewa condom kisha masharti kibao.

Mbona sasa haendi huko East for 20 days!!? Tusidanganyane ...................... mambo bado yako West for many years to come!! At least for our generation!!
 
sisi sera yetu ni kutofungamana na upande wowote kwahiyo kama marekani akiona nguo imebana aivue asepe mapema kabisa sisi hatuchaguliwi rafiki.
jk ana~uimara wa kulizungumza hilo?I knew earlier! na nilisha lizungumza humu jf kitambo/kwa kuchanganya east na west ni rahisi nchi yetu kugeuka kama DRC
 
Back
Top Bottom