Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

kwani kuna kampuni yoyote russia hapa kama *gazprom* lkn pia western haipaswi kuwa na hofu kama putin anakuja kutembelea tanzania kwa raha zake/
 
hii ni habari ya kufikirika, hakuna ukweli ndani yake, marekani ipo huru kudeal na yeyote yule, that is known and respected by other sovereign states, we are also free to meet, talk, deal or not deal with any one as a free and sovereign state, that should be respected by other free sovereign states, USA is and has been our good and trusted partners for a very long time, that is undisputed fact and it will remain like that for years.
 
Sijui kama Rais kwa sasa anajua anachokifanya kwa Taifa letu, ila tu maji yalishamwagika na yatazoleka mwakani, mwakani kazi itakuwa moja tu kwa sisi wenye tunaojitambua vizuri.

I think our DHAIFU is now totally confused because of his government's financial mismanagement that has bankrupted the state; hakuna madawa mahospitalini na sijui hata fedha za mishahara zitatoka wapi!!

Dhaifu amechanganyikiwa kiasi kwamba hana kumbukumbu tena ya vitu vinavyoendelea nchini; ona pale anaposema yeye asingependa yamkute yale yaliyomkuta Jaji Warioba , amesahau kuwa yeye mwenyewe akiwa na ulinzi wa dola aliwahi kupopolewa na mawe kule Chunya!
 
hii ni habari ya kufikirika, hakuna ukweli ndani yake, marekani ipo huru kudeal na yeyote yule, that is known and respected by other sovereign states, we are also free to meet, talk, deal or not deal with any one as a free and sovereign state, that should be respected by other free sovereign states, USA is and has been our good and trusted partners for a very long time, that is undisputed fact and it will remain like that for years.
If you had really known what does global economic warfare and economic area of influence mean you wouldn't have commented like this. Ukisemacho kitabaki kwenye vitabu na kusemwa kwenye majukwaa ya kisiasa but in a real sense maingiliano yapo na mifano ni mingi tu.
 
ingekuwa mwalimu ndio prez wakati huu angewaonyesha dole la kati!


Mwalimu aliweza kuwaonesha hawa jamaa DOLE la kati kwasababu alikuwa LIJARI wa fikra na sio hawa wa leo WANGESE; hawana ubavu wa kuonesha dole la kati, ama sivyo hizo suti wanazovaa watazikosa!!!
 
hii ni habari ya kufikirika, hakuna ukweli ndani yake, marekani ipo huru kudeal na yeyote yule, that is known and respected by other sovereign states, we are also free to meet, talk, deal or not deal with any one as a free and sovereign state, that should be respected by other free sovereign states, USA is and has been our good and trusted partners for a very long time, that is undisputed fact and it will remain like that for years.

Its shame that you have failed to figure out how America despises sovereignty, when matter of their economic interest and security are at stake.
 
Tatizo la West wao tayari wana ideology moja kubwa ambayo wanaiamini.
"No permanent friend but permanent welfare"
Kwa hiyo lazima tuelewe kuwa kila palipo na interest kwao wataleta urafiki wa mda na mambo yakiharibika urafiki unakufa zinabaki chuki na uhafidhina.
Hata profesa ajikombe vipi huko West, hawezi kuhakiksha kuwepo kwa permanent welfare kwa watu wa west.
Hata siku moja. Sana sana ajiandae kuishi kwa stress na pressure tu pindi amalizapo ngwe yake.
Ana wakati mgumu sana kuiandaa future yake kwa kipindi cha mwaka mmoja huu uliobaki ilhali anaiacha nchi pabaya
 
Si kweli hata kidogo wala asingeweza, kama alikuwa kidume kwa nini aliondoka madarakani? Kwa uhakika aliondoka ili kuficha aibu ya sera zake kufa kifo cha mende.

1. Hayo unayodai ni mengine tofauti na topiki. Kwa hili lililopo unahitaji kurejea tu historia ya jinsi alivyovunja uhusiano na mataifa ya magharibi pale walipotaka kutupangia marafiki. Hilo lipo wazi.
2. Hilo lingine la kung'atuka nadhani ni la busara zaidi. Wewe ulitaka aweje? kama mugabe?
 
sisi sera yetu ni kutofungamana na upande wowote kwahiyo kama marekani akiona nguo imebana aivue asepe mapema kabisa sisi hatuchaguliwi rafiki.

Tatizo ni pale tutakapotaka kwenda mapumzikoni,tutakwenda wapi,Rassia kwa Putin? Huko hakuna viwanja vya kula bata kama kule tunakotaka kunyea kambi.
 
Sasa hili noma ni sooo!!!!!
Sasa safari ya marekani tena , kunani?

Tunakwenda kuweka mambo sawa,vinginevyo tutakuwa tunakwenda Klemlin kupumzika,tatizo hakuna swagga kama za pande ile tuliyoizoea lol!
 
Kwa hiyo safari ya Thursday Prof. anaenda kumbembeleza darling (USA)akubali kuwa na mwenzie (Russia), au anakwenda kumshawishi kuwa apuuzie uvumi, bado mpenzi ni yeye (USA) wengine kama wapo ni fake
 
Uongozi ni talanta na sio uswahiba! huwezi kuwa rafiki na taifa kama la marekani na uingereza ukaishia pazuri! haya ngoja tuone mtinange huu utakuwaje!

Tungeimarisha uhusiano na majirani badala ya kuzunguka aimlessly ulimwengu mzima kama kuku aliyekatwa kichwa. Hivi Tanzania tunafanya biashara gani na Vietnam? Rais wa Kenya ambaye nchi yake ni mmoja wa trading partner wetu wakubwa hajafanya state visit hapa tangua achaguliwe. Badala yake kiongozi wetu anaona anapendwa sana na wakubwa. Kama anapendwa sana mbona sasa wamekata misaada? Hawa wakubwa hawana rafiki wa kudumu
 
kama hupendi sawa but ndo habari nyeti zilizotufikia.


Marekani wamemwambia profesa kuwa ni wakati sasa inabidi aamue kama ni east au west. Hii ni baada ya Russia kuonyesha nia ya kuanza uhusiano wa kiuchumi na Tanzania,nia ambayo inafuatiwa na ujio wa rais wa Russia kama prof hatakataa.
Waziri wa fedha wa marekani mbali na
mambo mengine alileta ujumbe mahususi kwa la profeseri kuwa mahusiano yoyote na Russia katika kipindi hiki cha cold war reborn, ni nia ya moja kwa moja ya kupinga vikwazo (sanction) mbalimbali vilivyowekwa kwa Russia na jumuiya ya kimataifa.


Ikumbukwe USA walichukizwa sana na ile mikataba 16 kati ya profesa na CHINA na wakalichukulia kama ni uchonganishi wa kiuchumi.

To worsen matters, shinikizo la uingereza kwa rafiki zao marekani kuhusu kujitoa katika misaada ya kibajeti limeshika kasi, moja ya mambo yaliyojadiliwa katika ujumbe huo mahususi ni ultimatum zilizotolewa na marekani kwa profesa kuhakikisha anashughulikia wezi wa escrow or else .

Inasemekana mambo si mazuri na ndugu zetu USA na hii inamfanya mkuu kufanya safari ya kiintelligensia USA ili apate muda wa kutosha kurekebisha mambo

Note: Tetesi hiinimepenyezewa na mmagogoni mmoja baada ya kumuhoji kuhusu taarifa ya safari ya mkuu ya 20 days
toka lini marekani ndugu zetu marekani hawana undugu na mtu yoyote wao ni maslahi yao kwanza angalia walivyomgeuka sadam na mbaya zaidi marekani wanaamini mafuta yote duniani ni ya kwao
 
Hii nayo si habari tena....yaani Kikwete ashughulikie Escrow account wakati yeye na watu wake ndiyo wahusika wakubwa? Kikwete ndiyo mwizi/jambawazi mkuu hapa nchini hii wala haina ubishano.
 
Tungeimarisha uhusiano na majirani badala ya kuzunguka aimlessly ulimwengu mzima kama kuku aliyekatwa kichwa. Hivi Tanzania tunafanya biashara gani na Vietnam? Rais wa Kenya ambaye nchi yake ni mmoja wa trading partner wetu wakubwa hajafanya state visit hapa tangua achaguliwe. Badala yake kiongozi wetu anaona anapendwa sana na wakubwa. Kama anapendwa sana mbona sasa wamekata misaada? Hawa wakubwa hawana rafiki wa kudumu

future of africa ni intra-africa trade. america and europe use trade and aid to control other countries. trade relationships with america and europe can be very unstable depending on their geopolitical interests. you saw what happened to uganda when they tried to pass gay laws. vitisho vya aid cuts. america and europe are very uncomfortable when a country stops being dependent on them. inasemekana its one of the reasons nigeria wanapigwa na well-funded terrorists. nigeria is the only country in west africa that is practically debt free. france and america cannot easily control them economically.
 
Back
Top Bottom