Tatizo nchi yetu ipo uchi kwa hawa jamaa wa west , usidhani waingereza na wamarekani sio corrupt , pengine ni corrupt kuliko viongozi watanzania tofauti tu corruption zao zinafanyika kwa manufaa ya nchi zao na viongozi wanafaidika kupitia wabia wao wa biashara , sisi viongozi wanapiga alafu nchi haifidiki lolote , angalia contracts za BAE na saudi arabia jinsi tony blair alivyoizima , kitendo cha sisi kutegemea misaada kinauma sana , kwani hizi nchi zinatumia kama fimbo ya kufanya tuwasikilize , waingereza ndio wanaongoza kwa uwekezaji Tanzania hata kama hela zao zimepigwa kuna kitu zaidi mi nafikiri ambacho wanakitaka hivi ndivyo nchi za magharibi zinavyofanya kazi ila kama ni corruption kusema ukweli hamna nchi corrupt kama hizi za magharibi , ni kama vile foreign policy ya ufaransa kuendelea kuwa na influence kwenye zile nchi walizotawala , angalia nchi zote wafaransa walizotawala africa shida zilizopitia-congo/ivory coast/congo brazaville/gabon/ nk......ni lazima tujipange kujitegemea wenyewe hawa watu hawana nia ya kutusaidia wala kupigania sijui rushwa afrika au Tanzania kuna kitu wanataka na hii ndio weapon yao