Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

Mambo si shwari tena Tanzania vs USA

Sijui kama Rais kwa sasa anajua anachokifanya kwa Taifa letu, ila tu maji yalishamwagika na yatazoleka mwakani, mwakani kazi itakuwa moja tu kwa sisi wenye tunaojitambua vizuri.

Ngoja nikwambie kitu Raisi katika nchi hafanyi maamuzi tu hivi hivi wanaamua na kutenda wengine yeye ni mtangazaji tu
 
sisi sera yetu ni kutofungamana na upande wowote kwahiyo kama marekani akiona nguo imebana aivue asepe mapema kabisa sisi hatuchaguliwi rafiki.

Really? tuna hiyo jeuri kweli? yaani tunaishi kwa tuzungusha bakuli halafu tuwe na jeuri hiyo?? Unadhani waliosema umasikini ni utumwa walikosea??
 
Really? tuna hiyo jeuri kweli? yaani tunaishi kwa tuzungusha bakuli halafu tuwe na jeuri hiyo?? Unadhani waliosema umasikini ni utumwa walikosea??

huyo gsu anahorojoka hata principle za NAM huenda hazijui,kusem hufungaman na upande wowote pia imetafsiriwa ni ishara ya umaskin unataka uombe kotekote
 
Last edited by a moderator:
''as a senator from United States, I beleave that my country, and other nations have an obligation and self-interest in being full patners with Kenya and with Africa''. (OBAMA, AUGUST 28, 2006. UNIVERSITY OF NAIROBI, KENYA).

Kikwete aitazame vizuri foreign policy ya USA, asijipendekeze kwenye domo la mamba. La profferi wewe jifanye vasco dagama ila haya unayoyafanya yatamgharimu rais ajae!
 
Nyeti zaidi ni kuwa RUSSIA inatupatia grant ya $20 BILLION


Hakuna masharti wala nini

hapo mnasemaje?

Free lunch?? No way! Hivi ukitaka kuvua samaki mnono kwenye ndoano unaweka nini?
 
Nchi yetu haiwezi ku-afford mivutano hii.kama tumeamua kuwa upande wa China na Rusia basi watusaidie kupata TECHNOLOGIA kubwa ili tuwe na uhakika wa kujitegemea.lakini pia tusiwape wawekezaji kila kitu na kwa miaka mingi.

hivi uhusiano wa China na Tanzania umeanza leo?na je China amesaidiwa na nani mpaka leo anafanya fresh kwenye teknolojia?????,China alisomesha vijana wake akanunua na ku-improve technology same to India nadhan hata Malaysia,South Korea,HongKong na Singapore then Japan,all those countries were almost similar with us(Tanzania )by 1960s-1970s(kwa baadh),leo hii tunaenda kubembeleza misaada Vietnam ambao kwa Masharik ya Mbali wanachekwa tu kiuchum si ajabu mwakan tutaanza kuwaomba misaada
 
huyo gsu anahorojoka hata principle za NAM huenda hazijui,kusem hufungaman na upande wowote pia imetafsiriwa ni ishara ya umaskin unataka uombe kotekote

sio tu ishara ya umasikini pia ni uoga wa kufanya maamuzi, kwan viongoz walishindwa wamkubalie nani na wamkatalie nani! Yaan ni sawa na mwanamke amegonganisha mabwana halafa anasema yeye hajui mpenzi wake ni nani kati ya hao na yeyote atakae mtaka yeye yupo tayari.

Siiungi mkono NAM!
 
Last edited by a moderator:
''as a senator from United States, I beleave that my country, and other nations have an obligation and self-interest in being full patners with Kenya and with Africa''. (OBAMA, AUGUST 28, 2006. UNIVERSITY OF NAIROBI, KENYA).

Kikwete aitazame vizuri foreign policy ya USA, asijipendekeze kwenye domo la mamba. La profferi wewe jifanye vasco dagama ila haya unayoyafanya yatamgharimu rais ajae!

me mwenzenu nna mashaka sana na USA,siwaamini kabisa,nachohisi si miaka mingi watatugombanisha na tutatwangana yaan nawawazia -vely kweli,kwa sababu nna mifano ya Iraq na Libya ambapo Sadam na Gaddaf walikua marafiki
 
hivi uhusiano wa China na Tanzania umeanza leo?na je China amesaidiwa na nani mpaka leo anafanya fresh kwenye teknolojia?????,China alisomesha vijana wake akanunua na ku-improve technology same to India nadhan hata Malaysia,South Korea,HongKong na Singapore then Japan,all those countries were almost similar with us(Tanzania )by 1960s-1970s(kwa baadh),leo hii tunaenda kubembeleza misaada Vietnam ambao kwa Masharik ya Mbali wanachekwa tu kiuchum si ajabu mwakan tutaanza kuwaomba misaada

viongozi wa tanzania ni wavivu wa kufikiri.
 
Nyeti zaidi ni kuwa RUSSIA inatupatia grant ya $20 BILLION


Hakuna masharti wala nini

Unazijua $20 billion? Hizo ni sawa na Tsh trilioni 34, budget nzima ya tz kwa muda wa kwaka na nusu.

Mtegemea cha ndugu hufa maskini.Heshima ndani ya nyumba haiji kwa misaada hata siku moja.Utaishia kugongewa
 
me mwenzenu nna mashaka sana na USA,siwaamini kabisa,nachohisi si miaka mingi watatugombanisha na tutatwangana yaan nawawazia -vely kweli,kwa sababu nna mifano ya Iraq na Libya ambapo Sadam na Gaddaf walikua marafiki

USA wapo wazi kwenye sera zao ila viongozi wetu wanapenda kujipendekeza. Namkumbuka proffesa mmoja ktk chuo cha STEMMUCO, aliwahi kusema vita ya tatu ya dunia itatokea na chanzo itakuwa ni bahari ya hindi na tanzania atakuwa chanzo cha mgogoro huo. Na mataifa yatakayohusika ni CHINA na USA.

Tanzania sijui wanamatatizo gani, wanajua fika kuwa RUSSIA na USA hawapikiki chungu kimoja na kila anaekupa misaada anamasharti yake hivi unadhani tutaweza kutimiza masharti ya pande zote bila kuwagonganisha hawa jamaa!?

NAOGOPA SANA.
 
Hata kama utaitwa uzushi na wanna Lumumba ambao wanakuja lakini lazima tujiulize kwa nini anazuru sana Marekani pengine kuliko hata Msoga?

hahaaaaa
ulaya ulaya bwana kuna raha yake hata per diem zinatofauti
 
Haya yote yamewezekana chini ya chama cha mapinduzi, wameshindwa kusimamia rasilimali za nchi hatimaye wanaishia kuomba. Ccm wangekuwa na akili leo hii tungewaambia US the midle finger suits them well.
 
utakuwa unatudanganya wewe kisa USAID kaondoa fund katika badhi ya miradi ya kimarekani ndo umetengeneza hii issue,wabongo tunapenda kuishi kinadharia sana sio kihalisia
 
Urafiki wa USA na Rwanda umerejea .......subiri kidogo.....Kenya na USA huhitaji miwani ........Ethiopia inafahamika msimamo wao ........kila nikizungusha kichwa nawaona USA wakishindwa vita hii ya kiuchumi dhidi ya Russia na China kwa Taifa nono kama Tanzania .....watachofanya .......wanajua vita ya wenyewe kwa wenyewe ni ngumu kidogo na inahitaji muda kwa hapa nyumbani........nini kitushikishe adabu ........ni uchokozi wa taifa jirani lolote ili twende vitani kichwa kichwa ......then .......taifa hilo kuungwa mkono na Kenya,Rwanda na Ethiopia (Hapo mnajua nani atakuwa nyuma yao) ........kuanzia hapo itatengenezwa Kongo ya pili ......tena Kongo bikra kabisaaaaaa.............I believe we have one of the best intelligence institution in Africa ........ tena inabidi iwe bora kuliko ile ya Mwalimu lol ..........otherwise ...........:cool2: .....bila kusahau nchi nyingi marafiki kwa Russia na China .....zikivurugwa kivita ....hawa "marafiki" ni mabingwa wa kukuunga mkono kwa matamko .......
 
Back
Top Bottom