Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

- The dataz is: Ilikuwa either mabadiliko au six and the gang to Opposition!...ha! ha! ha! ha! ha! six won! ha! ha! ha!....ooooooh! six the man unapoweza kumtukana mkulu na akakupa uwaziri anyways! ha! ha! ha!

......stay ....tuned...!


Field Marshall Es!

Six is just a man at front there are very serious people behind and Six has nothing to do with all these although he is the part of the game. Hao wazalendo walipofikia ni ngumu kuivunja equation yao wamekamata mpini vizuri sana. Kama Six was all alone kwanini walipomtishia wakati ule haku let it go? Kuna watu waliuzwa na wameamua kuwa wazalendo hawana haja tena na materials but to make a record in history I can read from their faces and they mean what they want. I only had one clue and after connecting dots on my own I came to realise whats the theory of the game. I repeat mafisadi wajisalimishe kama yule mmoja alivyopima nguvu nakujiona amepelea na kuamua kubwaga manyanga na kuomba msaada. Ajabu ni kwamba watu bado wana mwogopa huyo aliye bwaga manyanga na kumdharau yule hasa aliyekamata mpini. Six is just pushing on plan A to work and if it fails then refer B.
 
Bottom line hapa ni simple sana... This is the power of competitive behaviour... Because f CDM..CCM will be better, more efficient and so will the running of government.. And as a result, the level of scrutiny will tighten and in the end MTANZANIA ndio atakae pata manufaa ya ushindani wakisiasa... Hili ndio jambo ambalo wengi tumelitaka haswa na si upinzani kuchukua madaraka au ccm kubakia nayo.. Cha maana ni ile hali ya ushindani katika kutumikia watanzania itasaidia sana...
 
Habari za kiintelijensia kutoka dodoma zinasema lowasa katoswa rasmi nec,.na wnegine wanafuatia,.hii nyeti nimeipata kutoka kwa ccm member aliyomo ndani ya hichi kikao cha wanga

mkuu hapo kwenye red .. umemaliza kabisaaa
 
Simshangai jk, kwa kuvunja katiba inayoongoza wa2 milion 4 kama amewahi kuivunja katiba ya nchi kwa kutoa misamaha kwa WATUHUMIWA. Anao uzoefu wa kuzivunja katiba huyo!
 
JK hajavunja Kamati kuu na sekretarieti bali Kamati Kuu na Sekretarieti(wajumbe) wamejiuzulu............
 
Habari kutoka Dom zinasema kwamba JK kavunja Katiba ya CCM -- yaani hana madaraka/mamlaka ya kuivunja kamati Kuu na Sekretariat -- kwa maana Katiba ya chama iko kimya (silent) kuhusu suala hilo.

Pia kuna tetesi kwamba wale ambao JK alikuwa anadhamiria kuwatosa sasa wanapanga mikakati ya kuliibua suala hilo kuonyesha JK alikosea na wataalamu wa sheria katika chama hicho wanajaribu kufafanua mambo, lakini hali ni tete sana.

Hata hivyo wenye kuwa na uelewa kamili kuhusu suala hilo tunaomba atufafanulie.

Inavyoelekea chama hichi kimejiwekea misingi ya kutokufa!
hiki chama siyo Mungu na kitakufa tu... huu ni mwanzo na mwendelezo wa kifo chake blv me...
 
Labda wabadilishe katiba au waache kumuita WAZIRI MKUU MSTAAFU,
Maana Katiba inasema automatiki MAWAZIRI WAKUU WASTAAF waingia kwenye hizo kamati!
 
wacha uwongo nec haijavunjwa kwahiyo hawachagui wajumbe wa nec.
 
Rostam na Chenge je ??? Jamani tusidanganywe na hawa wachawi wa ccm ! Mapambano ndo tu yanaanza mpaka kifahamike. Total liberation ni 2015 !
 
Watanzania watu wa ajabu sana

Yaani kwenu this is the most important news of all?

You guys never cease to amaze me

watu wamekutana na chama chao kicha wanaamua who has to go and who has to stay kwenu hiyo big news?

Hivi kweli matatizo yote tuliyonayo kuanzia TRA, bandarini na uchafu ulikokithiri na matatizo ya elimu na afya yatatatulika baada ya kuondolewa watu wawili au baada ya kuvunjwa kamati kuu ya CCM?

???? R u serious?
1. Hili ni jukwaa la siasi kwa hiyo ishu ya uongozi wa Chama Tawala inahaki ya kujadiliwa kwa undani hapa
2. CCM ndio chama tawala na hivyo uongozi wa juu wa chama ni muhimu kwa kujua muelekeo wa chama
3. Chama tawala ndio kinaamua sera za serikali...kwa mfano; elimu, kodi, nk. Ivyo ni muhimu kujua muelekeo wa chama kwa kusudi la kujua msimamo na muelekeo wa serikali.
4. Unaweza kuanzisha thread yako inayozungumzia elimu, nk...utoe maoni yako huko. Alafu tutaona yatafika wapi bila kuwa na a backing of a party.
 
Rostam na Chenge je ??? Jamani tusidanganywe na hawa wachawi wa ccm ! Mapambano ndo tu yanaanza mpaka kifahamike. Total liberation ni 1215 !

Sasa wewe hiyo 1215 ndio nini? Kalenda gani unatumia
 
hizo intelligential zako hazitumii mbinu za kisasa; katika hali halisi kumtoa mtu ujumbe wa NEC kuna mlolongo mrefu labda mtu mwenyewe akubali kujihudhuru, jambo ambalo nina uhakika Lowasa hawezi kulihafiki. Katika kukwepa mlolongo huo ndio maana wajumbe wote wa kamati kuu walijihudhuru ili kuwaingiza walengwa kwenye mkumbo huo na hapo baadaye wao warejeshwe.
 
Tatizo nafikiri hatufati kanuni za uadishi wa paper, ni lazima uli reference mahala fulani ili ku -justfy unachoongelea. Nani alikuambieni Sita, mwakyembe wanapigania masilahi yako. Fuatilia kwa makini mwanzoni mwa sakata la Richmord sita akiwa spika wakati huo wakiwa kundi moja na akina RA. Hoja alijaribu sana kuizima na kusema ulongo ulongo. Sita ameanza kupigana baada ya ku defect kutokana na kuzidiwa ujanja.

Tatizo wewe unaongea kama watoto wa Gadafi kumhasi baba yao na eti nao wamuite dictator baba yao, hasa unapowataja akina Mwinyi. Na vijana wachache waliopo wala sio wakutolea mfano kwa sababu wazee wamewa-abducted.

Tanzania hakuna mzee anayepigania haki ya Tanzania ila ni majambazi wawili wanapigania walichokipora, sasa mmoja anaonekana kulemewa. Na wengine wako pembeni wakitamani kuingia mahali hapo nao waibe.
Unataka tuwe tunaanza na Title then abstract then ...results.......then conclusion unamalizia na Appendix, hayo ya scientific report hayapo hapa unachotakiwa wewe ni ku-hit kwenye point tu basi mambo ya citation wapi na wapi.
 
Back
Top Bottom