Mambo matatu muhimu ambayo Tundu Lissu hayafahamu

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlie karibu na Tundu Lissu mumfahamishe :-

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua JPM ni kujiweka mbali na kuingia ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu​
Kipengele Na. 1 ni muhimu sana Lissu kukifahamu.

Binafsi leo sijafurahishwa na namna ambavyo Lissu amemsema Magufuli.

Kisiasa amepiga hesabu mbaya mno
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlie karibu na Tundu Lissu mumfahamishe :-

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua JPM ni kujiweka mbali na kuingia ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu​
Kwa watumishi wa serikali umesema uongo kwa kuwa kipindi chake chote alisimamisha mafao ya kisheria waliyokuwa wanastahili kwa ubabe wake tu, mfanyakazi gani atampenda
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Watetezi wa Magufuli mngekuwa mna hoja za msingi kuhusu kukubalika kwake iwapo angeheshimu uchaguzi. Tulitaka aheshimu uchaguzi ili ifahamike kwa uhakika kuhusu kukubalika kwake, sio mnasema alikuwa anakubalika sana lakini akashindwa kuheshimu uchaguzi ili tuone kwa uhakika kiwango cha kukubalika kwake.
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Hoja siyo mtu fulani kuingia ikulu.
Tunahitaji ustawi wa nchi kwa kukosoana kwa facts na logic.
Hoja ni kwamba je Lisu kasema ukweli?
Kama kweli au siyo kweli, hatua zichukuliwe kuzuia isitokee tena kama ni kweli na hatua zichukuliwe dhidi ya Lisu kama ni uongo.
Mabishano ya ushabiki wa kipuuzi yasipewe nafasi hapa.
 
Watetezi wa Magufuli mngekuwa mna hoja za msingi kuhusu kukubalika kwake iwapo angeheshimu uchaguzi. Tulitaka aheshimu uchaguzi ili ifahamike kwa uhakika kuhusu kukubalika kwake, sio mnasema alikuwa anakubalika sana lakini akashindwa kuheshimu uchaguzi ili tuone kwa uhakika kiwango cha kukubalika kwake.
Magufuli alikuwa si mtenda haki
 
Tundu lisu anafaa kuwa Rais 2035 baada ya Rais Wetu Mh .Dr. Samia. Ila tunamuomba achunge sana Kutukana Mwanamageuzi Shujaa na mtoto wa kiafrika Dr. John P. Magufuli huyu hakufa hafii bali Amezaliwa umpya kwenye mioyo ya Watanzania. Falsafa zake zitatumika kufashion Dunia, Dunia zima imetumia Falsafa zake kupangana Corona
 
Haya ni mambo matatu ambayo mlio karibu na Tundu Lissu mumfahamishe;

1. Ukitoa Waalimu baadhi ya watumishi wa Serikali Watanzania wengi bado wanaamini na wanakubali falsafa ya Hayati Magufuli. Hivyo kumchafua Hayati Magufuli ni kujiweka mbali na kuingia Ikulu.

2. Kamwe hawezi ingia Ikulu kwa Kupitia CHADEMA chini ya Mwenyekiti Mbowe, hata Mbowe analielewa hili hivyo ni bora amuachie chama mbowe preferably aende NCCR MAGEUZI.

3. Watu wasiojulikana walikuwepo toka kipindi cha Mwalimu Nyerere na wapo kwa ajili ya kuhakikisha watawala wanatawala bila shida na hakuna awamu ambayo hawakufanya matukio na hata sasa wanafanya.

Ni hayo tu.
Bado umegotea mwaka 1992 mkuu.
Deep state yenyewe imeshachoshwa na CCM, sasa hivi wameshafanikiwa kuwazoesha ushindi kwa ticket ya CCM, siyo raised in CCM.
Hata viongozi wakuu waliofuatana hivi sasa hawakuwa raised in CCM wala hawakuwa wa CCM bali kwa tiketi ya CCM.

Hata rais wa sasa na makamu wake na Spika wa bunge siyo raised in CCM bali ni kwa ticket ya CCM.
That means CCM inaachwa hatua kwa hatua.
 
Kipengele Na. 1 ni muhimu sana Lissu kukifahamu.

Binafsi leo sijafurahishwa na namna ambavyo Lissu amemsema Magufuli.

Kisiasa amepiga hesabu mbaya mno
Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Back
Top Bottom