Mambo matano ya kutia moyo kwenye tukio la muuaji Hamza

Kanickitisha mno huyu kijana wa kisomali,,,ni mudogo sana dahh. Mungu ampunguzie adhabu yakaburi.


Walioondokewa na askari polic, mlinzi na watu 6 waliojeruhiwa Mungu awape subila.
 
Watu wanawaponda police force lakini utashangaa janaume zimaaa hata likinyoshewa kidole na mwenzie limeshatinga CRO kufungua taarifa.

Mxeweèuw
 
Kitengo cha Askari KIDOLE
kiboreshwe!
 
Naona sifa ninyingi mno.
Jamaa alitoka tangu salender Bridge kwa mwendo wa polepole, exposed au openly mpaka kufika Ubalozi wa ufaransa.

Huko ali piga mapolisi watatu na kuwapokonya silaha mbili za AK47 ambazo askari wa doria hupewa.

Muda wote hakuna aliye mfikiya na huku alikuwa akipiga risasi juu.
Askari aliyekuwa akilinda Bank ndiye baadaye akakabiliana naye.
Mashuhuda wanasema tokeo zima karibu saa.
hakupiga raia alikuwa anasaka askari. Mashuhuda na kwa mujibu wa video clips alitoka mwenyewe baada kuishiwa risasi.
Na bado alichukuwa kama dakika mbili tatu ndipo polisi wakampiga.
Hii pia inaonyesha polisi wetu hawana shabaha.
Pia ina onyesha kulikuwa hakuna Coordination ya polisi au hakuna kamanda.

tumshukuru Mungu kuwa hakuna raia au watu wengi walo kufa.
Tuwaombe duwa Askari hawo walokufa na RIP na majeruhu wapone haraka.

Angepatikana yuhai ,ushahidi wakutosha ungekuwepo. Sasa amekufa na ushahidi umekufa. yalobaki ni maneno ya watu na yana weza kuwa kweli au ya kupanga.

Serikali iepuka kuwapa walinzi hizi silaha kubwa.
Askari wawepo stand by huko ofisi kuu.
Kuwe na makamanda tayari kuchukuwa majukumu pindipi simu ikipigwa tuu.
Kuwe na sharia ya kupisha Gari ya polisi inayo kimbilia kwenye tukio.
Kuwe na kommunication na mapolisi wote.
 
a very good point
 
Hiyo Crisis Response Team ni Efficient kiasi gani?Wanao uadilifu, weledi/vifaa na utaalam wa kutosha?Je,huwa wanajitathmini kuona mafanikio yao(Evaluation)? Inaonekana wanaua zaidi badala ya kukamata wahalifu.
Tutumie matukio ya aina hii kutathmini utenda kazi wapi.
 
Sawa
 
Hao sita jamaa hajawajeruhi, yeye target yake ilikuwa ni askari tu. Askari wale wote wamefyatua marisasi mengi kwa mtu mmoja na walichemka badala yake wakawadhuru watu, hadi walivyobahatisha kumpiga.
 
Piga chini IGP,RSO,DCI kwanza...hao wanabidi wawe chini ya ulinzi kuanzia sasa. Hakuna maana polisi inakua makini kwenya kuwakamata wanasiasa mfano wanao hitaji Katiba Mpya tena armless huku walishindwa kufanyakazi dhidi uhalifu kama huu
Mkuu yaani ushasema armless alafu unategemea waende na viroba vya bunduki wakawatandike risasi huku wakijificha kwenye kona?

My brain is burning trying to make sense out of this.
 
Hao sita jamaa hajawajeruhi, yeye target yake ilikuwa ni askari tu. Askari wale wote wamefyatua marisasi mengi kwa mtu mmoja na walichemka badala yake wakawadhuru watu, hadi walivyobahatisha kumpiga.
Ungekuwa wewe ungeweza kumpata kwa risasi moja?
 
Hisia zako za kisiasa zisikufanye uwe na akili fupi....
Hizi ni hisia za kisiasa?👇Polisi kutumikia chama badala ya wananchi ni hisia za kisiasa?Unaelewa wananchi wanapata hasara gani na kubwa kiasi gani kwa Polisi kutumikia chama badala ya wananchi?
Your browser is not able to display this video.
 
Ungekuwa wewe ungeweza kumpata kwa risasi moja?
Kama nikiwa trained nashindwa nini? Au nini maana ya course wanazoenda kila mara?

Dar, Mwaka flani kuna mdada alipigwa risasi ikapita sikioni lakini tuliambiwa ile risasi ilipigwa juu kutawanya watu, sasa jiulize hiyo risasi ilirudi kutoka juu kabla ya kufika chini ikamfata yule binti aliyekufa na kupita sikio moja kutokea jingine?

Kwa kifupi ni kuwa walikuwa wanashoot kubahatisha. Yule man japo wamemuua lakini hajadhuru mtu zaidi ya kuwaua.

Na hizo SMG ni nzito ndugu, ukipiga kama huna stamina unadondoka. Ndo maana mara nyingi wanapiga goti moja chini ili kupata balance. Sasa amini unachoamini
 
Acha ujinga. 6. Muuaji hakuwa gaidi na alikuwa na bifu na polisi na ndiyo maana hakushambulia raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…