Mambo madogo yanaanza kua mkubwa kidogo kidogo

Mambo madogo yanaanza kua mkubwa kidogo kidogo

Wala si ajabu. Waislam walishakuwa/wanacho cha kwao Kibiti, Mkuranga na kule Mtwara kipo active kabisa
Cha muhimu serikali ifanyie kazi kila dokezo kama hili
Na wale wakata vichwa bado wapo mtaani na wengine wamekamatwa somalia huko
 
Ndo Padre kitime kakianzisha? Msije tu mkaanza tena kuja kujilizaliza mitandaoni.

Maana nyie nyumbu msio na akili mnachostahili ni kupigwa risasi tu.

Nyumbu siku zote ni chakula cha mamba na mtaendelea kuliwa.
Sawa sisi ni nyumbu nyie Mbwa wa mama kubweka hadi muangalie boss anasemaje.
 
Ndo Padre kitime kakianzisha? Msije tu mkaanza tena kuja kujilizaliza mitandaoni.

Maana nyie nyumbu msio na akili mnachostahili ni kupigwa risasi tu.

Nyumbu siku zote ni chakula cha mamba na mtaendelea kuliwa.
usiite binadamu wenzako unaotofautiana nao mawazo nyumbu, nyumbu wako mbugani wakifurahia maisha yao huko
 
Wala si ajabu. Waislam walishakuwa/wanacho cha kwao Kibiti, Mkuranga na kule Mtwara kipo active kabisa
Cha muhimu serikali ifanyie kazi kila dokezo kama hili
Hamna kitu hapa, Watanzania tuendelre kukala kwa amani kabisa bila wasi
 
TATIZO LA INJI HII NI **MAFISADI PAPA ,majizi ,ma cartel,mapiga dili,yana mtandao wa ufisadi .ndio hawa wanaoisumbua inji hii..na hawa ndio watakaoleta na wanaoleta MACHAFUKO na kusingizia UDINI ..masikini na watumishi wa umma ikiwepo mahakama,maaskari na wanatumika tu..na DINI inatumika tu...

mafisadi yanatamani nji hii isitawalike iwe kama KONGO DRC ili waendelee kuiba bila kelel
 
TATIZO LA INJI HII NI **MAFISADI PAPA ,majizi ,ma cartel,mapiga dili,yana mtandao wa ufisadi .ndio hawa wanaoisumbua inji hii..na hawa ndio watakaoleta na wanaoleta MACHAFUKO na kusingizia UDINI ..masikini na watumishi wa umma ikiwepo mahakama,maaskari na wanatumika tu..na DINI inatumika tu...

mafisadi yanatamani nji hii isitawalike iwe kama KONGO DRC ili waendelee kuiba bila kelel
mafisadi na mapapa ya ufusadi mapiga dili ndiyo yatakayoleta machafuko na kuanzisha vikindi vya machafuko na vikundi vya kidini au kusingizia udini ambao wanaulazimisha uwepo ili hali hakuna udini.
 
Kama ndyo kweli hivi,ngoja nihamishie biashara yangu nchi nyingine.
Wanasiasa na machawa wameiharibu nchi😭😭
 
MAFISADI ,majizi,macartel,mapiga dili,yapo tayari kuleta machafuko ,hata kuanzisha vikundi vya machafuko,kuliko kuachia madaraka na kuachia ulaji wao,yapo tayari kuichafua inji kama KONGO na kusingizia UDINI
 
Back
Top Bottom