Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,826
hata mimi ninajiuliza halafu sasa anasiku tatu tu hapa mjengoni...
hawa wenzetu hii kweli hawaiafiki kabisaa! mfano hawapendi kusalitiwa lakini wanapenda sana kusaliti
[/B]
Tena wanaamini ni haki yao kusaliti!!!
Mwanamke je! Hapendi nn?
jamaa ana id kama 100 hivi
Huyo mkongwe ni new id tu...zishaunganishwahata mimi ninajiuliza halafu sasa anasiku tatu tu hapa mjengoni...
Wanaume hatupendi Kujambiwa na wenzi wetu.
kujambiwa kwa maana ya kupumuliwa ama??
Ushuzi. Hasa wakati tunawananiliu.....
mmh naona kuna sehemu mbili hapo zinanihusu loh ngoja nifanye mpango wa kujirekebisha mapema nisije nikaachika
Basi mods wazidisha umakini aisee.wamezimerge id zake hiyo oipo na lugano 5
NAHISI OPERATION MERGING ID INAENDELEA
Basi mods wazidisha umakini aisee.