Mambo 4 yanayoangusha uongozi wa Rais Samia

G4N

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
1,548
3,856
Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .

Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.

Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
 
Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .

Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.

Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
2 na 4 tu ndiyo na-buy, tena 2 naiboresha, kwenye rushwa naweka 'wala rushwa'.

Ova
 
Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .

Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.

Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Hilo la kwanza atakuja kuandika Kitabu Cha majuto kama wenzake akina Mwinyi na Mkapa.

Kwa sasa anaona linamlinda ila naadae ataona ni jinsi gani hakulitendea haki Taifa na wakati
 
Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .

Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.

Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
1. Hilo la Katiba limekaa vibaya kwa sababu njia pekee ambayo Wasaliti wetu watamshangilia ni kushindwa CCM. Njia pekee kumridhisha mtu kama Maria Sarungi ni kuona Rais wa upinzani sijui mbowe sijui tundulissu. It is tails you lose, heads I win.

2. La pili kuhusu Makonda ana known abilities, noted achirvements na strong following. Ni tafauti na tundulissu CHADEMA wamemngangania huku wakijua ni.liability.
3. Hilo la majambazi wa kulaumiwa ni majambazi, hakuna atakayekujua wewe ni malaika.
4. La kukopa ni la kitaalamu lishaelezwa na kuelezwa, bora sie tuzingatie matokeo: Watalii wamepanda, tuna amani Nji nzima, tuna SGR, na Nyerere Dam, na flyovers na lami na shpital hadi Kusini na Sumbawanga. Zamani hatukuona sana kwa vile zote zilikuwa zinaenda Kaskazini na Waziri Mkuu au wa Fedha au Viwanda au Elimu. Tulimsikia Msuya juzi akitoa neno.
 
Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .

Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.

Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Atavuna anachopanda
 
hata ingekuwa ni wewe usinge weza... hii nchi ngumu sana... hivi kwa mtu mwenye akili timamu unadhani jinsi watu wanavyo fanywa wajinga ni hali ya kawaida hii kweli...?

kama mchakato wa kumpata mgombea wowote ndani ya nchi hii ungekuwa wa kidemokrasia wananchi wakawa ndio wenye nguvu na nchi yao... hayo uliyo andika yangewezekana... ila kwa hali inavyooneka kuna kikundi cha majambazi ambacho ndicho kinacho panga nani awe nani kwenye nchi hii...!

hilo kundi ni hatari sana lipo teyari kufanya chochote linapo kuja swala la kulinda maslahi yao... nyie wana nchi hata mkifa hayo ni matatizo yenu wala haya tuhusu... 😭😭😭😭😭​
 
Nawaza tu hii kauli ya mtangulizi wake Magufuli unaweza kukuta hadi Samia atamaliza muda wake na kuingia mwengine ila bado tutaendelea kusikia mtangulizi Magufuli.
 
5. Tozo
6. Mfumuko wa bei wa kutisha kwenye bidhaa mbalimbali
7. Hela kuadimika mtaani.
8. Bei ya mafuta kupaa kila mwezi.
9. Kufanya ziara nyingi za nje kuliko zile za ndani huku akiambatana na kundi kubwa la useless people.
10. Kuteua na kutengua kila baada ya muda mfupi. Kuna watu anawatengua, baada ya muda anawarejesha tena! Yaani ni vurugu mwanzo mwisho.
 
Kwahiyo b… tumekubaliana kwenye namba 4?
Kwa wanaokumbatiwa kikweli huyo aliyetajwa ndiye asiye na madhara kabisa, sema yeye anaponzwa na umaarufu wake.

Nilipookea namba 4 bila kuweka marekebisho, kwa sababu kati yake kuna neno 'kama', so aliyetajwa kawakilisha kundi.

Nasisitiza wako wanaokumbatiwa wanaitia hasara kubwa nchi, hadi wanagawa tu hela kwa watoto wa Bongo Flava.

Ova
 
Atavuna anachopanda
Ngoja nifafanue nilivyo elewa mimi.
Kwamba mavuno yanakuja kwa Mwenyekiti Mbowe kuwa msaada mkubwa kwa Bibi Tozo kukiwa na mpango wa kuunganisha nguvu na kupata serikali ya umoja. Mbowe aliuza roho yake na chama chake kwenye maridhiano na Samia.
 
1. Serikali inapenda sana Fedha. Hivyo yeyote mwenye Fedha anaweza ... Utamalizia.

2. MWANAMKE HATA AFANYEJE ATABAKI KUWA MWANAMKE TU. NIONYESHE MWANAMKE MWENYE ZAIDI YA 50 ALAFU AKAWA NA AKILI ZA MAAJABU.

3. USIMAMIZI MBOVU WA MAPATO NA MATUMIZI

4. UOGA, UCHOVU NA KUBWETEKA

5. KUTOKUJALI MAMBO YA MSINGI YENYE KUHATARISHA MAISHA YA WANANCHI.

6. KUPENDA KUTUKUZWA

7. ULEVI WA MADARAKA YA KULEVYA.

8. KUWA 'MESSENGER' WA 'HILO KUNDI LA WENYE MASLAHI'.

9. KUCHEKEA URAFIKI MBAYA ULIOANZA BAADA YA CHEO

10. KUTOKUONYESHA HASIRA KALI YA KUKERWA KWA MATUKIO YA KUMTISHIA.

IMANI BILA MATENDO NI KAZI BURE. TUJITAHIDI TUWE WAZIMA TUSIUGUE TU.

AHSANTENI.
 
Back
Top Bottom