Hivi udikteta unautambua vyema mkuu?Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .
Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.
Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Wao wamefunzwa na Mbowe hoja ni kutukana,subiri utapokea zawadi ya matusi sasa hivi.Misukule ya mzee Mbowe ni laana ya nchi
Ila kumtetea huyu mama inatakiwa uwe na unafiki na kujitoa fahamu kwa hali ya juu sana.5. Tozo
6. Mfumuko wa bei wa kutisha kwenye bidhaa mbalimbali
7. Hela kuadimika mtaani.
8. Bei ya mafuta kupaa kila mwezi.
9. Kufanya ziara nyingi za nje kuliko zile za ndani huku akiambatana na kundi kubwa la useless people.
10. Kuteua na kutengua kila baada ya muda mfupi. Kuna watu anawatengua, baada ya muda anawarejesha tena! Yaani ni vurugu mwanzo mwisho.
kwa ujumla hakuna binadamu alie mkamilifu na haiwezekani kiongozi mahiri na madhubuti akapendwa na wanainchi wote 🐒Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .
Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.
Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Na wakifa wao??? Au wazuri hawafi???hata ingekuwa ni wewe usinge weza... hii nchi ngumu sana... hivi kwa mtu mwenye akili timamu unadhani jinsi watu wanavyo fanywa wajinga ni hali ya kawaida hii kweli...?
kama mchakato wa kumpata mgombea wowote ndani ya nchi hii ungekuwa wa kidemokrasia wananchi wakawa ndio wenye nguvu na nchi yao... hayo uliyo andika yangewezekana... ila kwa hali inavyooneka kuna kikundi cha majambazi ambacho ndicho kinacho panga nani awe nani kwenye nchi hii...!
hilo kundi ni hatari sana lipo teyari kufanya chochote linapo kuja swala la kulinda maslahi yao... nyie wana nchi hata mkifa hayo ni matatizo yenu wala haya tuhusu... 😭😭😭😭😭
Hivi udikteta unautambua vyema mkuu?
Kwanza Demokrasia imeshamiri kuliko wakati waowote nchini,
Kuuzwa Bandari na ardhi ya Wanasai wewe unaona sawa tu?? Hayo mazuri aliyoyafanya kuliko Jpm yameshindwa nini kuondoa Wala rushwa, mikopo umiza nchi, na kukwepa mchakato wa katiba? Sasa kumbe hayo mazuri ya Samia ni yepi? Au kwa sababu ulilenga kumtaja mzalendo Makonda?Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .
Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.
Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Uko sawa,na nikwambie ukweli tuu hatutakuja kuwapa sheria na katiba mpya inayowafaa kwenye kisahani,tutaweka katiba yenye ulinzi kwetu,jipangeni si lelemama na tunajua nyie ni laini tu endeleeni kulalama kama mbuzi anamwezwa na chatuTanzania haijawahi kuwa na demokrasia ya kweli. Ambacho huwa kinatokea, ni wakati fulani kuwa na hali ya unafuu, na wakati mwingine hali kuwa mbaya zaidi.
Huwezi kuwa na demokrasia wakati una katiba na sheria za kidikteta.
Doh!1. Hilo la Katiba limekaa vibaya kwa sababu njia pekee ambayo Wasaliti wetu watamshangilia ni kushindwa CCM. Njia pekee kumridhisha mtu kama Maria Sarungi ni kuona Rais wa upinzani sijui mbowe sijui tundulissu. It is tails you lose, heads I win.
2. La pili kuhusu Makonda ana known abilities, noted achirvements na strong following. Ni tafauti na tundulissu CHADEMA wamemngangania huku wakijua ni.liability.
3. Hilo la majambazi wa kulaumiwa ni majambazi, hakuna atakayekujua wewe ni malaika.
4. La kukopa ni la kitaalamu lishaelezwa na kuelezwa, bora sie tuzingatie matokeo: Watalii wamepanda, tuna amani Nji nzima, tuna SGR, na Nyerere Dam, na flyovers na lami na shpital hadi Kusini na Sumbawanga. Zamani hatukuona sana kwa vile zote zilikuwa zinaenda Kaskazini na Waziri Mkuu au wa Fedha au Viwanda au Elimu. Tulimsikia Msuya juzi akitoa neno.
Na wakifa wao??? Au wazuri hawafi???
Kwani mikopo inakuuathiri Nini mkuu. Nenda nchi zilizoendelea uone zinadiwa kiasi gani. Maendeleo ni technique mkuu. Ni Bora Samia anakopa na mnajua, je jpm aliyekuwa anakopa kimya kimya tena mikopo ya ghari sana mpaka GAG ndo akamuumbua.Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .
Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.
Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
SSH ni jambazi mbaya kuliko magufuli!Ukilinganisha na mtangulizi wake, rais Samia amefanya mengi mazuri yanayoliunganisha taifa. Lkn kuna mambo 4 tu ambayo yanafifisha nyota ya rais Samia ktk uongozi .
Mambo hayo 4 ni:-
1. Kukwepa mchakato wa kupata katiba mpya na hatimaye tume huru ya uchaguzi.
2. Kulea rushwa na ubadhirifu.
3. Kuendekeza mikopo toka nje kama njia kuu ya kuendeleza nchi.
4. Kuwakumbatia wahalifu kama Makonda.
Unyoofu wa mambo haya 4 ndiyo msingi wa uongozi bora. Mama kashindwa kuzichanga vema karata zake, na sasa anaonekana kuwa dikteta aliyevalia koti la demokrasia
Akitaka aache Legacy ya kukumbukwa angalau alete katiba mpya. Hicho ndo kikubwa zaidi