8)Dolla 300Milioni unaijua lakini? Au ya Zimbabwe?
Yaani MTU mmoja apewe bilioni 600 na zaidi akatibiwe?
Hizi story watu wanalishana kwenye vikao vya ghahawa zinasambaa nchi nzima.
Misri, Tunisia, Libya, Mali. Hao viongozi wao wameondolewa na maandamano ya kumpinga raisi wao. Walioondoka kabla ya kisanga hakijawa kikubwa walipona na nchi zao hazikupata madhara, walioshupaza shingo zao wamekufa wakipambana na nchi kuparaganyika
Nchi za kidikteta ni vigumu kubalance story kupata habari hasi za nchi. Mf Rwanda. We unadhani kifinyo wanachokipata wapinzani bongo nchi za Afrika wanakijua sana?