george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,034
- Thread starter
- #121
Kichwa kikubwa na kidogoSikujua kama wanaume wana vichwa viwili. Ndio maana wanaendesha dunia
Kichwa kikubwa na kidogoSikujua kama wanaume wana vichwa viwili. Ndio maana wanaendesha dunia
🤣🤣🤣🤣Ungefika huko ungejuta
Usiombe yakukuteHapo sasa ndio unafungwa bila ya kujijua japo hauna kosa.
Unaweza fika nae gest akakuvuta sehemu za Siri au kukunyofoaToto lilikua ni zuri lile lina miguu ya bia hatari , limekwiva haswa, sema ndio hivyo mwezi nchanga.
Alikua akiniona tu nakatiza anachanganyikiwa kwa mayowe .
Mpka manesi na madr wa pale walikua wananitaniaga .
Umeona 🤣🤣🤣Hua wanajivunia cheti Cha mirembe
Hii ndio kweli yko kule ulivunga tuNilikua nafuata dawa moja inaitwa haloperidol( antipsychotics) kwa ajili ya kutuliza kichaa changu , mwezi ukiwa mpevu mambo si mambo.
Halafu anakupa kengele zako ule 🤣🤣🤣Unaweza fika nae gest akakuvuta sehemu za Siri au kukunyofoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]inakua sooooHalafu akakupa kengele zako ule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna jamaa alishapona ila Sasa akitaka demu anahonga ole wko umnyike k aisee anakufata na panga mbele ya mumeo , mbona utatoa na anataja pesa kubwa na kuanziasha vulumai Hadi utampa kwa aibuUmeona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nna jirani yangu aliwahi kuugua uchizi ila kapona, lakini akiamua kutukana anatukana na anakwambia nna file langu mirembe wee nijibu uone [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😄😄😄 mkuu joji aloisi vile visa vyako vinautata kuhusu gender yako mkuu.Hii ndio kweli yko kule ulivunga tu
🤣🤣🤣Unaweza fika nae gest akakuvuta sehemu za Siri au kukunyofoa
Kama ww tu kwenye vile visa vyako🤣🤣🤣🤣Yote we sema tu sijui tuamini lipi
Usafi unahusika vip kwenye utam mkuu?Ila usafi zero
Hahahaha si kikubwa umeshatoka.Hiyo namba 9 kama umetenda kosa halafu ndugu wakakutetea kama huna afya ya akili kumbe una akili unaweza kujikuta uko milembe unakutana na wasio na akili kweli hapo ndio utajua hujui.
🤣🤣🤣🤣🤣 Wee embu niache mwenzio mbavu zinaniuma!! Missy Gf Joannah Tayana-wog Ms eyes mmeiona hii comment 🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa alishapona ila Sasa akitaka demu anahonga ole wko umnyike k aisee anakufata na panga mbele ya mumeo , mbona utatoa na anataja pesa kubwa na kuanziasha vulumai Hadi utampa kwa aibu
Ahhh weee nimecheka 🤣🤣🤣 eti anakujia na panga🤣🤣🤣🤣🤣 Wee embu niache mwenzio mbavu zinaniuma!! Missy Gf Joannah Tayana-wog Ms eyes mmeiona hii comment 🤣🤣🤣🤣
Inaitwa UTATOA, HUTOI 🤣🤣🤣🤣Ahhh weee nimecheka 🤣🤣🤣 eti anakujia na panga
Heeee🤣🤣🤣🤣🤣hiyo inaitwa liwalo na liwe dadadeki🤣🤣🤣🤣🤣 Wee embu niache mwenzio mbavu zinaniuma!! Missy Gf Joannah Tayana-wog Ms eyes mmeiona hii comment 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Ndio utasikia sauti ya manfongo sikioniInaitwa UTATOA, HUTOI 🤣🤣🤣🤣
Huyo km alikupa laki anakudai million