Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Nmetania tu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16] nisije kuandika kitu humu mkaona kichaa kimepanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kipndi hicho nilikua kwenye mazoezi kwa vitendo kwa kozi niliyokua nasomea.
Yote we sema tu sijui tuamini lipi
 
Pole mkuu.
Kwa hiyo usipotumia hiyo dawa ulikuwa unaonaje?

Mwaka 2018 tulikuwa semina na dada mmoja mzuri tu, sasa tukawa tumejitenga ule muda wa chakula. Nikaona muda wa chakula kabla ya kula anakunywa dawa fulani anasema anaweka sawa kichwa, ndio akawa ananichekesha anasema yeye anatumia dawa za akili japo aliongea kwa lugha fulani ya kufurahisha kuhusu kichwa chake.

Mimi binafsi niliona ananidanganya, ila nilikuja kuamini ndani wakati wa kutoa mada akijitolea mfano yeye mwenyewe na namna jamii inavyowachukulia mahali pa kazi kwamba anaweza kufanya kosa ambalo hata mwingine angetenda, ila yeye atachukuliwa tofauti kwamba katenda kwa ajili ya hali yake.
Ugonjwa wa akili ni janga ambalo hata ukipona huaminiki tena
 
Back
Top Bottom