Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

🤣🤣🤣 kwenye kichwa cha mgonjwa ampatie uponyaji
Hivi ikija kukutokea umetembelea wewe hiyo wodi ya wanaume halafu ghafula ukashikwa halafu ukashangaa kichwa kinacha wavu utajitikisa au unatulia Dr aje?🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hivi ikija kukutokea umetembelea wewe hiyo wodi ya wanaume halafu ghafula ukashikwa halafu ukashangaa kichwa kinacha wavu utajitikisa au unatulia Dr aje?🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Sasa wodi ya madume machizi ambayo hayajukatana na vipapa muda mrefu niende nikafanye nini na sio dr.?!! 🤣🤣🤣
 
Nilikua nafuata dawa moja inaitwa haloperidol( antipsychotics) kwa ajili ya kutuliza kichaa changu , mwezi ukiwa mpevu mambo si mambo.
Pole mkuu.
Kwa hiyo usipotumia hiyo dawa ulikuwa unaonaje?

Mwaka 2018 tulikuwa semina na dada mmoja mzuri tu, sasa tukawa tumejitenga ule muda wa chakula. Nikaona muda wa chakula kabla ya kula anakunywa dawa fulani anasema anaweka sawa kichwa, ndio akawa ananichekesha anasema yeye anatumia dawa za akili japo aliongea kwa lugha fulani ya kufurahisha kuhusu kichwa chake.

Mimi binafsi niliona ananidanganya, ila nilikuja kuamini ndani wakati wa kutoa mada akijitolea mfano yeye mwenyewe na namna jamii inavyowachukulia mahali pa kazi kwamba anaweza kufanya kosa ambalo hata mwingine angetenda, ila yeye atachukuliwa tofauti kwamba katenda kwa ajili ya hali yake.
 
Machizi ni machizi, yanaweza kufanya chochote na hayana makosa ooho 🤣🤣🤣
Ila wanaume huwa nao ni machizi hata hao ulio nao home. Maana machizi wa kike wanazalishwa lkn machizi ya kiume hayapati mzigo kwa mwanmke asiiye chizi🤨
 
Ila wanaume huwa nao ni machizi hata hao ulio nao home. Maana machizi wa kike wanazalishwa lkn machizi ya kiume hayapati mzigo kwa mwanmke asiiye chizi🤨
Home hakuna machizi. Wapo machizi yanabaka mtaani mbona
 
Hujafanikiwa kuweka hata

Pole mkuu.
Kwa hiyo usipotumia hiyo dawa ulikuwa unaonaje?

Mwaka 2018 tulikuwa semina na dada mmoja mzuri tu, sasa tukawa tumejitenga ule muda wa chakula. Nikaona muda wa chakula kabla ya kula anakunywa dawa fulani anasema anaweka sawa kichwa, ndio akawa ananichekesha anasema yeye anatumia dawa za akili japo aliongea kwa lugha fulani ya kufurahisha kuhusu kichwa chake.

Mimi binafsi niliona ananidanganya, ila nilikuja kuamini ndani wakati wa kutoa mada akijitolea mfano yeye mwenyewe na namna jamii inavyowachukulia mahali pa kazi kwamba anaweza kufanya kosa ambalo hata mwingine angetenda, ila yeye atachukuliwa tofauti kwamba katenda kwa ajili ya hali yake.
Nmetania tu mkuu😁😁😁 nisije kuandika kitu humu mkaona kichaa kimepanda🤣🤣🤣.

Kipndi hicho nilikua kwenye mazoezi kwa vitendo kwa kozi niliyokua nasomea.
 
Back
Top Bottom