Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Mambo kumi yakuzingatia wakati upo sero ukijiandaa kesho kupanda mahakamani

1:Kama unahojiwa na Wakili Mahakamani usijibu bila kutafakari alichokuuliza

2: Wakili asikuogopeshe kwa ukali, anapokuuliza kwani ukali hulenga kuleta paniki na kukusahaulisha ulichopanga kusema

3: Usilazimishe kujibu kitu ambacho hukijui ni bora kusema sijui kuliko kulazimisha kujibu

4: Usipaniki kiasi cha kutoa neno lolote la kashfa, kejeli, au tusi mahakamani unaweza kuongeza kosa la kuidharau Mahakama

5: Kama hukuelewa vizuri kosa ulilosomewa ni bora kukaa kimya, kwakuwa ukikaa kimya unaandikiwa umekataa kosa

6: Kanuni ya sheria ni kuwa, ni kazi ya aliyekushitaki kuthibitisha kwa ushahidi kuwa umetenda kosa na si kazi yako kuthibitisha kuwa haujatenda kosa

7: Kama ulitenda kosa katika harakati za kujitetea usidhuriwe iambie mahakama kuwa ulitenda kosa ukijilinda (self defence) inaruhusiwa, hata kama uliua waweza kuachiwa

8: Kama ndugu yako hana akili timamu na ametenda kosa iambie mahakama. Hii ni kwasababu kutokuwa na utimamu wa akili ni kinga inabidi aachiwe lakini hatarudi nyumbani atapelekwa vituo vya wasio na akili

9: Inakubalika na ukaachiwa huru kusema kuwa sikuwa eneo la tukio wakati likitokea kama kweli haukuwapo

10: Kama wanaokushtaki wanashahidi na unamjua kuwa kuna kipindi aliwahi kuchangnyikiwa au kufanya tukio lolote la uhalifu kabla, ni nafasi nzuri kuhoji uwezo na uadilifu wake.

View attachment 2881352
Oh! Ele madah siday' naaleng' Hii mada ni nzuri sana - Asante mtoa mada Ubarikiwe sanna.
 
Mambo kumi yakuzingatia wakati upo sero ukijiandaa kesho kupanda mahakamani

1:Kama unahojiwa na Wakili Mahakamani usijibu bila kutafakari alichokuuliza

2: Wakili asikuogopeshe kwa ukali, anapokuuliza kwani ukali hulenga kuleta paniki na kukusahaulisha ulichopanga kusema

3: Usilazimishe kujibu kitu ambacho hukijui ni bora kusema sijui kuliko kulazimisha kujibu

4: Usipaniki kiasi cha kutoa neno lolote la kashfa, kejeli, au tusi mahakamani unaweza kuongeza kosa la kuidharau Mahakama

5: Kama hukuelewa vizuri kosa ulilosomewa ni bora kukaa kimya, kwakuwa ukikaa kimya unaandikiwa umekataa kosa

6: Kanuni ya sheria ni kuwa, ni kazi ya aliyekushitaki kuthibitisha kwa ushahidi kuwa umetenda kosa na si kazi yako kuthibitisha kuwa haujatenda kosa

7: Kama ulitenda kosa katika harakati za kujitetea usidhuriwe iambie mahakama kuwa ulitenda kosa ukijilinda (self defence) inaruhusiwa, hata kama uliua waweza kuachiwa

8: Kama ndugu yako hana akili timamu na ametenda kosa iambie mahakama. Hii ni kwasababu kutokuwa na utimamu wa akili ni kinga inabidi aachiwe lakini hatarudi nyumbani atapelekwa vituo vya wasio na akili

9: Inakubalika na ukaachiwa huru kusema kuwa sikuwa eneo la tukio wakati likitokea kama kweli haukuwapo

10: Kama wanaokushtaki wanashahidi na unamjua kuwa kuna kipindi aliwahi kuchangnyikiwa au kufanya tukio lolote la uhalifu kabla, ni nafasi nzuri kuhoji uwezo na uadilifu wake.

View attachment 2881352
Hiyo #5 naomba urudie kuifafanua.

Maana ninaelewa kuwa ukiulizwa swali mahakamani na ukanyamaza, inatafsiriwa ni "kukiri"!

Emu fafanua vizuri.

Pia hii picha ya kibanda ni nini, maana choo si choo, bafu si bafu, ni nini hasa kibanda hiko na kinafundisha nini katika andiko lako hili,
 
Hiyo namba 9 kama umetenda kosa halafu ndugu wakakutetea kama huna afya ya akili kumbe una akili unaweza kujikuta uko milembe unakutana na wasio na akili kweli hapo ndio utajua hujui.
Unadhani utetezi wa kughushi ni rahisi namna hiyo?

Hapo wanatakiwa kutoa documents genuine toka kwa daktari kuthibitisha.

Na iikionekana ama kugundulika kuwa ni ghushi, nao wanaunganishwa kwenye mkondo, wanaenda na maji.
 
siku zote najiulizaga mtu wa kwanza kugundua kwamba mtu ukimfungia sehemu na kumnyima uhuru ni adhabu kali, yeye alikuwa na akili timamu kweli? Siaminigi na sipatagi picha. Angenyongwa tu.
Wangeanza kwanza na mtu aliegundua kuwa kabichi ni Mboga, ndio afuate huyu aliegundua magereza.
 
Point namba 10 na namba 7 zilinipa point tatu mapema mno...nikiwa na umri wa miaka 18 tu huku mpinzani wangu akiwa na umri wa miaka 45

Hiyo siku natoka mahakamani jopo la watu linanifata nyuma naenda kukabiziwa mali za baba yangu.naziskia sauti nyuma yangu zikisema huyu mtoto ana uzoefu na mahakama au amesoma sheria.

Naikumbuka sana hiyo siku.mpaka leo vitabu vya sheria ndo vitabu pendwa kwangu.
 
Kuna siku tumeenda charity muhimbili pale kitengo cha walemavu wa akili
Basi tukapelekwa wodi moja imejaa wababa
Huyo baba mmoja akawa anaongea kwa nguvu eti
Dah yaani mke wangu Ana k...ma ngumu halafu anarudiarudia kwa nguvuuu
Nilijizuia kucheka nikashindwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah nimecheka sana mamamae
 
Hali hii ishawai kunikuta mahakamani mawakili wanavitisho sio poa lkn niliwakataaa walionishtaki
 
Back
Top Bottom