Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

Mambo 10 utafundishwa ukiwa mahabusu

omba tu usiwe na kesi na mtu ana influence ya hela au cheo
haki inapindishwa
Jamaa yg aliwaka baada ya kuambiwa file limepotea , weeee mshtakiwa alivokua fala akatoka nje na kujitapata ametoa rushwa file limepotea wahuni wakamlekodi , uthibisho ukapelekwa kwa hakimu jamaa kidogo ale wiki mbili , likatafutwa file likaonekana jamaa akapigwa mwaka mmoja na fine juu
 
Point namba 10 na namba 7 zilinipa point tatu mapema mno...nikiwa na umri wa miaka 18 tu huku mpinzani wangu akiwa na umri wa miaka 45

Hiyo siku natoka mahakamani jopo la watu linanifata nyuma naenda kukabiziwa mali za baba yangu.naziskia sauti nyuma yangu zikisema huyu mtoto ana uzoefu na mahakama au amesoma sheria.

Naikumbuka sana hiyo siku.mpaka leo vitabu vya sheria ndo vitabu pendwa kwangu.
Muda wa kusoma udaku ,sijui mwijaku mange , huku akili inalala siku yakikukuta ndio unaanza kujifunga mwenyewe, Kuna jamaa alitutaperi kiwanja , katuuzia maghumashi , Sasa anaulizwa Hawa unawafahamu akanibu ndio , akaulizwa unawafahamuje , ohooo niliwaudhia kiwanja , akaulizwa wenzio wanasema ulichowaudhia ni utaperi kwamba mwenye we eneo kaja kuwapokonya kwa hio uliwataperi , .ohooo mimi walinipa milioni mbili TU sio nne , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukashinda kiulainiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom