Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,389
- 95,844
Mie nina wazee wangu kadhaa walikaa pande mbovu enzi za magu ndio nikajua haya mambo kuwa ni muhimuKabisaa mkuu
Mie nina wazee wangu kadhaa walikaa pande mbovu enzi za magu ndio nikajua haya mambo kuwa ni muhimuKabisaa mkuu
Sasa PH layman anajuaje😅Wengine wana danganyana tu nmekua na case juzi ilkua PH...Accued wapo wa 5 kila wanacho ulizwa wana kataa wame kataa hadi majina yao .hadi records za siku iyo kwamba wame somewa wame kataa useless kabsa
Yana jibu kama ma zombie [emoji28][emoji28][emoji28]
Point safiSote ni wafungwa na wahalifu wa kesho.
Uzi mzuri unafundisha.
NB. Tunaomba wanasheria mpite hapa kugongelea misumari zaidi.
I think PH means Preliminary HearingSasa PH layman anajuaje[emoji28]
Jichanganye ukacheke mahakamani 🤣🤣😂😂😂 Nimecheka
Hiyo ya kujikuta milembe ndo hatari bff 🤣🤣🤣Jichanganye ukacheke mahakamani 🤣🤣
Tutakukuta selo
Kuna siku tumeenda charity muhimbili pale kitengo cha walemavu wa akiliHiyo ya kujikuta milembe ndo hatari bff 🤣🤣🤣
Vichaa na wagonjwa wale wa umeme mwingi ukitembelea wodi zao unaweza kucheka bila kutarajia 🤣🤣🤣Kuna siku tumeenda charity muhimbili pale kitengo cha walemavu wa akili
Basi tukapelekwa wodi moja imejaa wababa
Huyo baba mmoja akawa anaongea kwa nguvu eti
Dah yaani mke wangu Ana k...ma ngumu halafu anarudiarudia kwa nguvuuu
Nilijizuia kucheka nikashindwa 🤣🤣🤣🤣
Ni wakali Mno halafu Wana nguvu mara nyingi hawatembelewiVichaa na wagonjwa wale wa umeme mwingi ukitembelea wodi zao unaweza kucheka bila kutarajia 🤣🤣🤣
Halafu wakali hao unaweza kupigwa
HahahahahahaKuna siku tumeenda charity muhimbili pale kitengo cha walemavu wa akili
Basi tukapelekwa wodi moja imejaa wababa
Huyo baba mmoja akawa anaongea kwa nguvu eti
Dah yaani mke wangu Ana k...ma ngumu halafu anarudiarudia kwa nguvuuu
Nilijizuia kucheka nikashindwa 🤣🤣🤣🤣
Umeme mwingi ndio ugonjwa gani?Vichaa na wagonjwa wale wa umeme mwingi ukitembelea wodi zao unaweza kucheka bila kutarajia 🤣🤣🤣
Halafu wakali hao unaweza kupigwa
Kwema rafikiHahahahahaha
Nilishawahi pendwa pale mirembe na kichaa mmoja mdada ni pisi hatari , yani ilikua ni shida kila akiniona , nilikua napita kwa aibu siku zote mpaka nikamalizaga kilicho nipeleka pale.Vichaa na wagonjwa wale wa umeme mwingi ukitembelea wodi zao unaweza kucheka bila kutarajia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wakali hao unaweza kupigwa
Wanaweza kukuzabua makofi au kukunyonga huku unajiona 🤣🤣🤣Ni wakali Mno halafu Wana nguvu mara nyingi hawatembelewi
Kwema kabisa naona unashusha uzoefuKwema rafiki
Nimepaliwa......🤣🤣🤣 Mungu anakuona🤣Kuna siku tumeenda charity muhimbili pale kitengo cha walemavu wa akili
Basi tukapelekwa wodi moja imejaa wababa
Huyo baba mmoja akawa anaongea kwa nguvu eti
Dah yaani mke wangu Ana k...ma ngumu halafu anarudiarudia kwa nguvuuu
Nilijizuia kucheka nikashindwa 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Nimepaliwa......🤣🤣🤣 Mungu anakuona🤣
Ni wale wakawaka 🤣🤣🤣Umeme mwingi ndio ugonjwa gani?
Kuna page umechana min-me hebu irudishe 🤣🤣🤣Nilishawahi pendwa pale mirembe na kichaa mmoja mdada ni pisi hatari , yani ilikua ni shida kila akiniona , nilikua napita kwa aibu siku zote mpaka nikamalizaga kilicho nipeleka pale.