super nova
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 1,478
- 1,099
humfunga yanga kila mara..
kutafunwa ni miongoni mwa kujihami...Hito namba 10 mkuu si tungekua hatutafunwi
Hivi kuna uwezekano simba akakimbia akimuona binadamu?kutafunwa ni miongoni mwa kujihami...
kama wewe unavokimbia ukimwona!
maadui mkikutana lazima mjihami
Sifa ya simba wa dar ni kumfunga yanga.Mbona simba wa dar hana sifa kama hizi?
AMEKOSEA,,,Chui mkubwa kuliko Simbaa..???? Au unaongelea mbwa wenu anaitwa simba..
mbona kuna clips nyingi zinaonesha tembo akifanywa kitoweo na simba?Umejitahidi ila namba 10 umepotea, tembo ndiye mnyama pekee ambaye hana mpinzani porini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaahHii habari imeghushi vyeti
Pia mwanadamu ana uwezo wa kum control mind yake na kumfanya atakavyo! Intelligence ya binadamu ni kiboko when it is utilized correctly!Mnyama yoyote humuogopa Binadamu in nature.huo ni uumbaji wa MUNGU,viumbe hai vyote humsujudu binadamu maana yeye ndo mwenye akili pana na anaeweza kupanga mashambulizi akishirikiana na binadamu wengine hata kumuua mnyama lakini si mnyama kupanga mashambulizi juu ya binadamu mpaka tu binadamu ajiingize kichwa kichwa na akishambuliwa na mnyama basi ujue mnyama huyo anajihami kufa na kupona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa duh..Chui mkubwa kuliko Simbaa..???? Au unaongelea mbwa wenu anaitwa simba..