Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

7752c0b1640e6b2c4ba0d7f6f795568e.jpg
a3eb477a11ef9d052d6e89555ca2f5c3.jpg
d5f39f781cbe0babbf3f6a2ac8161457.jpg
4296226c82bd3f9a351d8d791ca31ee2.jpg
Hapo kqenye namba 5 inadaiwa ili kuficha siri ya bwana mkubwa JFK kutoka na mlimbwende huyo ikabidi wamuue kimyakimya
Asante mkuu Bitoz kwa nyongeza
 
Only that he died young, kuna moja ya story kwamba walienda kuiba benki kwa kuzuga kwamba wako wanaact movie, so wanatafuta location ya kufanyea scen ya Bank Robbery, kumbe ndo wameenda kuiba kweli.
Kama ni kweli, alikuwa amekwiva sana kwenye uhalifu.
 
d3e1d3d24b9f4749617d2aea62031a1a.jpg
Prettyboy Floyd
ed1bb1ba6ca3d856498fbfe3553a1ee5.jpg
John Delinger
012fbf733c3a533d1a9cd7d71a215102.jpg
Babyface Nelson
8d0e1fb9dfdefcf33ab53e3a86f2a6b5.jpg
b95e3ea049d2e84ed86c636950d85a86.jpg

Km ilivyoelezewa na Mussolin kipengele namba 7 hawa ndo majambazi waliosumbua enzi hizo ambao dikteta huyo wa FBI alitumia intelejensia ya hali ya juu kuwasaka kimyakimya na kufanikiwa kuwamaliza

Huyo mzee hakuwa mtu wa mchezomchezo hata akina Osama bin Laden wangekuwepo ndani ya USA angewazima mapema kabisa
 
d3e1d3d24b9f4749617d2aea62031a1a.jpg
Prettyboy Floyd
ed1bb1ba6ca3d856498fbfe3553a1ee5.jpg
John Delinger
012fbf733c3a533d1a9cd7d71a215102.jpg
Babyface Nelson
8d0e1fb9dfdefcf33ab53e3a86f2a6b5.jpg
b95e3ea049d2e84ed86c636950d85a86.jpg

Km ilivyoelezewa na Mussolin kipengele namba 7 hawa ndo majambazi waliosumbua enzi hizo ambao dikteta huyo wa FBI alitumia intelejensia ya hali ya juu kuwasaka kimyakimya na kufanikiwa kuwamaliza

Huyo mzee hakuwa mtu wa mchezomchezo hata akina Osama bin Laden wangekuwepo ndani ya USA angewazima mapema kabisa


Umenifurahisha sana
 
d3e1d3d24b9f4749617d2aea62031a1a.jpg
Prettyboy Floyd
ed1bb1ba6ca3d856498fbfe3553a1ee5.jpg
John Delinger
012fbf733c3a533d1a9cd7d71a215102.jpg
Babyface Nelson
8d0e1fb9dfdefcf33ab53e3a86f2a6b5.jpg
b95e3ea049d2e84ed86c636950d85a86.jpg

Km ilivyoelezewa na Mussolin kipengele namba 7 hawa ndo majambazi waliosumbua enzi hizo ambao dikteta huyo wa FBI alitumia intelejensia ya hali ya juu kuwasaka kimyakimya na kufanikiwa kuwamaliza

Huyo mzee hakuwa mtu wa mchezomchezo hata akina Osama bin Laden wangekuwepo ndani ya USA angewazima mapema kabisa
Asante kwa picha murua kabisa, Edgar Hoover hakuwa mtu wa masihara hasa linapokuja suala la uhalifu.
 
Daaaa.....ina maana walishindwa hata kumdhibiti kwa kutumia wakubwa wa Jeshi la wananchi wa marekani.
Umdhibiti vipi? Wakati siri zao chafu alizifahamu.

Ukitaka mtu akutese wewe mruhusu ajue siri zako muhimu.

Halafu ndani ya Senate alikuwa anaungwa mkono na Maseneta walio wengi. Kwakifupi alikuwa kashajitengenezea mizizi kila kona.
 
Back
Top Bottom