Walishindwa vipi kumkamata?
Kama ni kweli, alikuwa amekwiva sana kwenye uhalifu.Only that he died young, kuna moja ya story kwamba walienda kuiba benki kwa kuzuga kwamba wako wanaact movie, so wanatafuta location ya kufanyea scen ya Bank Robbery, kumbe ndo wameenda kuiba kweli.
Filamu iliigizqa na Leonardo DicaprioMaelezo picha namba 3 tafadhali
Prettyboy Floyd
John DelingerBabyface Nelson
Km ilivyoelezewa na Mussolin kipengele namba 7 hawa ndo majambazi waliosumbua enzi hizo ambao dikteta huyo wa FBI alitumia intelejensia ya hali ya juu kuwasaka kimyakimya na kufanikiwa kuwamaliza
Huyo mzee hakuwa mtu wa mchezomchezo hata akina Osama bin Laden wangekuwepo ndani ya USA angewazima mapema kabisa
Hili swali nimejiuliza sana, je kama walikuwa Wapenzi wa siri hawakuwahi kupata mtoto? Au wote walikuwa wagumba.
Hii inawezekana mkuu.Bi Hellen angepata Mimba nani angekua secretary wa John? Ili mtu mwingine asiingie kwenye position ni lazima Bi Hellen asishike mimba ili awe kazini mda wote.
Ameshafariki Dunia. Amefariki na siri zake. Ni watu wachache sana Duniani wanaweza kufanya hivyo, na watu wa kariba ya Bi Hellen hawazaliwi hovyohovyo.Ni dikteta katika fani yake.
Bi Hellen Gandy bado yupo au?
Aksante na ubarikiwe.Shukrani mkuu kwa simulizi
Pamoja mkuu.Uzi mtamu umenisaidia kitu
Ni kweliAmeshafariki Dunia. Amefariki na siri zake. Ni watu wachache sana Duniani wanaweza kufanya hivyo, na watu wa kariba ya Bi Hellen hawazaliwi hovyohovyo.
Asante kwa picha murua kabisa, Edgar Hoover hakuwa mtu wa masihara hasa linapokuja suala la uhalifu.Prettyboy Floyd
John DelingerBabyface Nelson
Km ilivyoelezewa na Mussolin kipengele namba 7 hawa ndo majambazi waliosumbua enzi hizo ambao dikteta huyo wa FBI alitumia intelejensia ya hali ya juu kuwasaka kimyakimya na kufanikiwa kuwamaliza
Huyo mzee hakuwa mtu wa mchezomchezo hata akina Osama bin Laden wangekuwepo ndani ya USA angewazima mapema kabisa
Umdhibiti vipi? Wakati siri zao chafu alizifahamu.Daaaa.....ina maana walishindwa hata kumdhibiti kwa kutumia wakubwa wa Jeshi la wananchi wa marekani.