Angekua mzuri najua usingetaka hata ushaur π ila kama anazo pesa za kutosha kukuhonga wee mtrombe tu kwa tahadhari... Kama hana pesa mwambie akatafute wazee wenzake aliokula nao ujana...
Mtoto wa kiume unamwambia mwanamke "Siwezi!"... Wewe kula kwanza utimize uanamme wako uone kama yaliyomo yamo au kama ana mkono mwepesi (mpunga), inawezekana unapiga teke sahani la dhahabu!! Ukiona hana kila kitu piga chini litakuwa sio lishangazi hilo bali libibi
Mtoto wa kiume unamwambia mwanamke "Siwezi!"... Wewe kula kwanza utimize uanamme wako uone kama yaliyomo yamo au kama ana mkono mwepesi (mpunga), inawezekana unapiga teke sahani la dhahabu!! Ukiona hana kila kitu piga chini litakuwa sio lishangazi hilo bali libibi