ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,727
- 28,281
Ww nawe utakuwa mthe..... kweliMeko kaiba pesa hii
Ww nawe utakuwa mthe..... kweliMeko kaiba pesa hii
Tupe mchanganua wako hilo jengo, limegharimu tofali ngapi na za gharama gani, sementi, bati,mbao, dirisha, vioo na mengineyo mengi Ndugu mtaalamu.Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44
Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi..
View attachment 1817321
Hakuna siri ya wawili, lakini yatajulikana tuIngawa nimemuelewa Luoga alipoongelea masuala ya vyumba vya underground.
Siamini hilo jengo likipigwa bomu kama kuna kitu kitabaki! Gavana asituokote kwa kuhalalisha yasiyohalalika! 44 bil ni fyueza ndefu sana hiyo kwa jengo moja tu isee!Watanzania sisi kila kitu tunajifanya ujuwaji. Hivi inaamana ni kweli hujuwi jengo kama la benki tena KUU huwa lina standard zake?
JKSamia aliwekwa na Nani
Umeona bomu tuu.kwanini hukuwaza majambazi?Siamini hilo jengo likipigwa bomu kama kuna kitu kitabaki! Gavana asituokote kwa kuhalalisha yasiyohalalika! 44 bil ni fyueza ndefu sana hiyo kwa jengo moja tu isee!
Jengo la BOT sio kama hospitalNimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44
Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi..
View attachment 1817321
Wengi wanajua kama nyumba zaoWatanzania sisi kila kitu tunajifanya ujuwaji. Hivi inaamana ni kweli hujuwi jengo kama la benki tena KUU huwa lina standard zake?
Kama weweWw nawe utakuwa mthe..... kweli
Ngoja nikawatafute wale jamaa wa de guzman labda tunaweza fanya the biggest bank robbery in tz historyEneo kubwa la hiyo benki ipo chini ya ardhi huku juu ni kama hewa tu chiniya ardhi ndio kuna kila kitu nazan umeelewa.
Jiwe alitaka kutoka na Hussein MwinyiYeye mwenyewe alisema jiwe ndie aliemchagua, wewe hayo ya wazee umeyatoa wapi? Unajua maana ya first hand information?
Wewe ni shidaNimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.
Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
Unahujua hukuta wa bihoti weweJengo la BOT sio kama hospital
Unajua kuna mitambo hipi ya kuifadhia pesa ?
Unahujua ukuta wa BOT wewe?
Kwa standard za majengo ya BOT,bila shaka hiyo gharama ni sahh,hata Kama walipiga ni kdogo Sana,majengo ya BOT ,Yana standard zake sio Kama haya magorofa ya kawaida ,Yale Yana standard zake mkuu,kujenga chumba kimoja tu kwa standard zao,umejenga nyumba ya vyumba vinne masters,sebule kubwa,stop,na jiko,fensi,na uwanja mkubwa wanyumba.sio kitoto zile mijengo.Sema lile jengo ni kalii ila bil 44 tumepigwa mchana kweupee