Mama Samia, jengo la BOT Mwanza tumepigwa

Mama Samia, jengo la BOT Mwanza tumepigwa

Bado haihalalishi matumizi ya fedha kubwa kuliko thamani yake,TULIENI kama hamkuiba mutadafishwa na timu ya uchunguzi,kwa sasa ni tuhuma za matumizi makubwa tu
Baba unafikiri benki kuu ni kama banda last kuku. Humo ndani kuna na vault (vyumba vya kuweka fedha ) sehemu za kuhifadhi dhahabu. Kutokana na hivyo kunahitajika ulinzi mkubwa sana. Hizo garama zake zote unazijua?

Acha kukariri mambo mkuu.
 
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.

Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
dogo kamilisha habari yako, habari bila picha haiwezi kamilika.
 
Shida sio jengo vipo vifaa vilivyo fungwa ndani manake unakuta kunachumba kimefungwa hata ukipiga bomu hikifunguki..
 
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.

Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
Kila jengo lina specifications zake, jengo la Benki tena Benki Kuu......!!!!!!
Labda ungelileta walau estimates kitu ambacho huna uwezo nacho kwa kuangalia kwa macho /Picha.
Lakini kumbuka kuna issues nyingi za kufanya kabla ya kujenga tofari /zege, mfano hapo palikuwepo na Zahanati ya Mama na Mtoto /Kliniki unajua iko wapi na ilijengwa na nani?
Ebu tuanzie hapo kwanza.....
 
Tunaunda kamati ichunguze ubadhirifu na kamati nayo inafanya matumizi mabaya halafu tunaunda kamati nyingine ili kuchunguza kamati iliyochunguza ubadhirifu, cycle inaendelea.

Rais kama ana taarifa za kina za upigaji awajibishe wahusika tu,

Asiogope Mtu na kujivua lawama Kwa kuunda kamati.

Sio rahisi sana kuwa na clean file ukiwa katika nafasi kama hiyo.
 
Tunaunda kamati ichunguze ubadhirifu na kamati nayo inafanya matumizi mabaya halafu tunaunda kamati nyingine ili kuchunguza kamati iliyochunguza ubadhirifu, cycle inaendelea.

Rais kama ana taarifa za kina za upigaji awajibishe wahusika tu,

Asiogope Mtu na kujivua lawama Kwa kuunda kamati.

Sio rahisi sana kuwa na clean file ukiwa katika nafasi kama hiyo.
Nchi hii inaendeshwa sana kwa majungu, hata hujui lipi la kweli na lipi ni fitna.
 
Acha ujinga hapo juu kuna floor 7 na basement floor 3 sasa hapo wapi kuna Eneo kubwa?

Kwani kuwa chini ndio justification ya bil.44.5?
Kubishana na wewe ni sawa na kupoteza muda nakushauri nenda kawadai serikali chenji iliyobaki kwenye ujenzi wa hiyo bank.
 
Mjinga sana wewe sasa ulimuweka wewe aunulitaka akuseme wewe au wewe ndo Mke mwenza wake? Alisema na akamshukur jpm sasa wewe kama unawashwa washwa utazimika
Mamako alitaka atoe mimba yako nikamkataza,sikujua kama mbegu zangu zingezalisha mtoto juha kama wewe.....jingaz.
 
Njoo na BoQ yako afu ilinganishe na hio ya BoT

Nondo tu ya hapo Benki Kuu unafkr ni kama za Kariakoo?.
tatizo watu tunapenda kuongea sana
Ww ndio mhusika nini ktk kupiga mpunga🤣😂😜 mbona mkali hivyo 😜! Unamaanisha nondo ziliagizwa kutoka 'heaven' maana siyo kama zinazouzwa k'koo🤣😂🤣! Hapa nazidi kuvutiwa na uchunguzi wa kina! 44 bil ni nyingi sana kwa kajengo hako I see! Bahati yenu Dr. JPM amepdndwa zaidi na Muumba 9therwise hiiiiiíiiiiiiiiii😜! Mngezitapika! Na tungelipua bomu kulipima jengo ustamilivu😜!
 
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.

Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
Jengo la 44 bilioni,tumepigwa sana sana sana.iundwe tume huru kulichunguza.
 
Ww ndio mhusika nini ktk kupiga mpunga🤣😂😜 mbona mkali hivyo 😜! Unamaanisha nondo ziliagizwa kutoka 'heaven' maana siyo kama zinazouzwa k'koo🤣😂🤣! Hapa nazidi kuvutiwa na uchunguzi wa kina! 44 bil ni nyingi sana kwa kajengo hako I see! Bahati yenu Dr. JPM amepdndwa zaidi na Muumba 9therwise hiiiiiíiiiiiiiiii😜! Mngezitapika! Na tungelipua bomu kulipima jengo ustamilivu😜!
Hahah 🤣hamna Mkuu hata sio mhusika
Ila naamini Benki Kuu wana viwango vyao
Na Mwanza ni centre ya Kanda ya Ziwa
Pesa yote inatunzwa hapo
 
Back
Top Bottom