Mama Samia, jengo la BOT Mwanza tumepigwa

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,969
1,393
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44. Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi.
===
Nimeambiwa kwamba shilingi bilioni 23.37 ni kwaajili ya ujenzi na shilingi bilioni 18.73 zimetumika kuweka mitambo na mifumo mbalimbali. Niitumie fursa hii kuipokenza Benki kuu kwa jengo hili zuri na la kisasa.

Mheshimiwa pamoja na sifa hizo ujenzi gharama kidogo imesisimua mishipa ya damu lakini hili tutalitazama jinsi tunavyokwenda kwa leo ni sherehe ya uzinduzi wa jengo. Fedha zimetumikaje, zimeendaje tutashikana huko.
 
Jengo lenyewe ndio hili?
images.jpg
 
Nimeona hapa Governor wa BOT akiwasilisha gharama ya ujenzi wa jengo la BOT Mwanza ambalo limegharimu Bil.44
Hapa tumepigwa kwa mtu wa kawaida hilo jengo limegharimu kati Bil.3 na hadi 5 nyingine tumepigwa wazi wazi..
View attachment 1817321
Eneo kubwa la hiyo benki ipo chini ya ardhi huku juu ni kama hewa tu chiniya ardhi ndio kuna kila kitu nazan umeelewa.
 
Mkuu umefanikiwa kuona BOQ au ni picha pekee umeona?
Kumbuka jengo la bank linaweza onekana simple kwa nje lkn gharama kubwa ikawa kwenye kuliimarisha na security kwa maana ya miundo mbinu yake.

Tusitarajie jengo na uimara wa jengo la BOT liwe kama Saluni ya Mama Kimbo.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom