Mama Samia ayateka majimbo ya Rombo na Vunjo

Mama Samia ayateka majimbo ya Rombo na Vunjo

11951845_799998550118138_5263017517429018817_n.png
 
Tume hapa inasemaje na sheria zake...mgombea wakati huu wa kampeni kutembelea hospotali tena wodini....watumishi wa serikali...nurses, DR's na wagonjwa ku-keep attention na visit hii....mbona naona rafu za kijinga sana hizi.....
 
Tume hapa inasemaje na sheria zake...mgombea wakati huu wa kampeni kutembelea hospotali tena wodini....watumishi wa serikali...nurses, DR's na wagonjwa ku-keep attention na visit hii....mbona naona rafu za kijinga sana hizi.....
Hakuna rafu yeyote hiyo. Wenye ufahamu wanajua jinsi ya kufanya kampeni. Sio yule jamaa anaye panda dala dala ili watu wamuonee huruma.

Eti leo kaenda kununua nyanya kwenye Genge la Tandale. Alikuwa wapi miaka yote hii/
 
ha ha,mambo,huku anaenda kwa daladala,huyu anaenda kwa wamama wazazi....
ila suluhu inaonekana kazungukwa n wapiga kura serious na si wapiga debe wa daladala
 
Hakuna rafu yeyote hiyo. Wenye ufahamu wanajua jinsi ya kufanya kampeni. Sio yule jamaa anaye panda dala dala ili watu wamuonee huruma.

Eti leo kaenda kununua nyanya kwenye Genge la Tandale. Alikuwa wapi miaka yote hii/

ccm mmemuiga lowassa acheni unafki
 
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy: mwaka huu kazi ipo tutaona mengi safari hii
 
Hakuna rafu yeyote hiyo. Wenye ufahamu wanajua jinsi ya kufanya kampeni. Sio yule jamaa anaye panda dala dala ili watu wamuonee huruma.

Eti leo kaenda kununua nyanya kwenye Genge la Tandale. Alikuwa wapi miaka yote hii/

Huyo unayemsema wewe nae alikuwa wapi, zanzibar hajawahi onekana akitembelea akina mama mahospitalini, subiri mpe mmpe ka mtamuona, angekuwa na huruma hiyo angebaki kwa ndoa yake mpaka leo, unamjua mumewe wewe, kuonekana kwake kutwa kwenye maprado ya smz, kabla kuongea fikiri kwanza usiropoke ka raisi wako aliyepita
 
Hakuna rafu yeyote hiyo. Wenye ufahamu wanajua jinsi ya kufanya kampeni. Sio yule jamaa anaye panda dala dala ili watu wamuonee huruma.

Eti leo kaenda kununua nyanya kwenye Genge la Tandale. Alikuwa wapi miaka yote hii/

Na huyo alienda hospitali alikuwa wapi miaka yote hiyo tokea uhuru na dawa hawajapeleka hospitali?? Hii si laana!?
 
Huyo unayemsema wewe nae alikuwa wapi, zanzibar hajawahi onekana akitembelea akina mama mahospitalini, subiri mpe mmpe ka mtamuona, angekuwa na huruma hiyo angebaki kwa ndoa yake mpaka leo, unamjua mumewe wewe, kuonekana kwake kutwa kwenye maprado ya smz, kabla kuongea fikiri kwanza usiropoke ka raisi wako aliyepita

Kama Lowassa anasifiwa kwa kupanda daladala na kwenda Tandale kwao Diamond..mwacheni mama naye achukue like, msimbanie
 
Kama Lowassa anasifiwa kwa kupanda daladala na kwenda Tandale kwao Diamond..mwacheni mama naye achukue like, msimbanie

Yeye apande hatujakataa, apande hata baiskeli, sio kusema sio huyo anayepanda daladala, washafanya tz ni shamba la bibi hawa,
 
Back
Top Bottom