Mama Samia ayateka majimbo ya Rombo na Vunjo

Mama Samia ayateka majimbo ya Rombo na Vunjo

Moshi ameenda kufanya nini wakati mnawatukana wachaga kila siku leo ndo mnajifanya watu wenu unafiki mtupu
 
Cha ajabu! UKAWA wakienda watazuiliwa na polisi! Subirini kidogo tutaona!!
 
Yeye apande hatujakataa, apande hata baiskeli, sio kusema sio huyo anayepanda daladala, washafanya tz ni shamba la bibi hawa,

Ha ha ha,
Sijui unaishi Tanzania gani?

Lowassa kabla hajahamia Chadema 28 July 2015 (hata mwezi haujaisha mzee).
Alikuwa analitifua hilo shamba la bibi yako vibaya sana aisee...

Afu na Sumaye naye..huyo Sumaye ndo alikuwa fungulia goli..kalitifua hiko shamba la bibi yako miaka 10 kama waziri mkuu wa Mkapa..na kabla ya hapo kama waziri wa kawaida miaka kadhaaa....tena jamaa ndo mmoja wa waliouza kila kitu kwenye shamba la bibi yako mpaka likabaki mabua...sasa kajipindua tu anaitwa Kamanda Sumaye ha ha ha ha...

Ndo maana Mkapa anatupa za uso..
Dah..nimecheka sana leo ha ha ha
Eti mgombea akipanda daladala na kuja kununua nyanya gengeni ndo anatufaaa...

Ha ha ha ha ha
 
Moshi ameenda kufanya nini wakati mnawatukana wachaga kila siku leo ndo mnajifanya watu wenu unafiki mtupu

Acha chuki za kikabila na kikanda ndugu yangu.
Mie bado mdogo nitamwita kaka yangu Gwajima au baba yangu Mkapa waseme na wewe
 
Ha ha ha,
Sijui unaishi Tanzania gani?

Lowassa kabla hajahamia Chadema 28 July 2015 (hata mwezi haujaisha mzee).
Alikuwa analitifua hilo shamba la bibi yako vibaya sana aisee...

Afu na Sumaye naye..huyo Sumaye ndo alikuwa fungulia goli..kalitifua hiko shamba la bibi yako miaka 10 kama waziri mkuu wa Mkapa..na kabla ya hapo kama waziri wa kawaida miaka kadhaaa....tena jamaa ndo mmoja wa waliouza kila kitu kwenye shamba la bibi yako mpaka likabaki mabua...sasa kajipindua tu anaitwa Kamanda Sumaye ha ha ha ha...

Ndo maana Mkapa anatupa za uso..
Dah..nimecheka sana leo ha ha ha
Eti mgombea akipanda daladala na kuja kununua nyanya gengeni ndo anatufaaa...

Ha ha ha ha ha

Hawana lolote hawa, wapeni hizo kura muone,mie kwa mtazamo wangu ncgi ibwebwe na jeshi na iweke kila kitu kwenye mstari kisha irejeshwe kwa wananchi, hawa ccm wameharibu mno, tumekuwa vinara wa sembe, pembe za ndovu, umemsikia vicent nyerere alivyomlipua mkapa, sasa aje na akanushe tusikie na mengine, tunachohitaji na mabadiliko, hawa watu wataifishwe mali walizochuma kwa jasho letu, awe ukawa au ccm, hapo ndo haki itatendeka, lakini sio kudanganywa, ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya kwa kila mtz, kumbe ni kwa familia yake watu tunakufa na umaskini wetu
 
Hawana lolote hawa, wapeni hizo kura muone,mie kwa mtazamo wangu ncgi ibwebwe na jeshi na iweke kila kitu kwenye mstari kisha irejeshwe kwa wananchi, hawa ccm wameharibu mno, tumekuwa vinara wa sembe, pembe za ndovu, umemsikia vicent nyerere alivyomlipua mkapa, sasa aje na akanushe tusikie na mengine, tunachohitaji na mabadiliko, hawa watu wataifishwe mali walizochuma kwa jasho letu, awe ukawa au ccm, hapo ndo haki itatendeka, lakini sio kudanganywa, ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya kwa kila mtz, kumbe ni kwa familia yake watu tunakufa na umaskini wetu

Point.
Ila jeshi wakishaonja utamu huwa wanaleta shida kama za Preves Musharaf kule Pakstani au huyu jamaa yetu anayeongoza Misri sasa hivi
 
Point.
Ila jeshi wakishaonja utamu huwa wanaleta shida kama za Preves Musharaf kule Pakstani au huyu jamaa yetu anayeongoza Misri sasa hivi

Inabidi iwe hivyo mkuu, bora tupelekwe mpera mpera turejeshe heshima aliyoiacha mwalimu, bora tupelekwe hivyo ili kizazi kijacho kipate kufaidi matunda yetu sio sasa
 
Hakuna rafu yeyote hiyo. Wenye ufahamu wanajua jinsi ya kufanya kampeni. Sio yule jamaa anaye panda dala dala ili watu wamuonee huruma.

Eti leo kaenda kununua nyanya kwenye Genge la Tandale. Alikuwa wapi miaka yote hii/

Usanii mtupu mkuu
 
Hapo Moshi anapoteza muda ni bora angeambatana na kofuli
 
Tume hapa inasemaje na sheria zake...mgombea wakati huu wa kampeni kutembelea hospotali tena wodini....watumishi wa serikali...nurses, DR's na wagonjwa ku-keep attention na visit hii....mbona naona rafu za kijinga sana hizi.....

Ila Lowasa kutuvamia abiri kwenye daladala ndio sawa sawa. Pumbavu sana
 
CCM ni ile ile hata kwenye wimbo wao wamethibitisha. Wanayoyasema walishayasema mwka 2000-2010 lakini yameendelea kuwepo do haina jipya
 
CCM ni ile ile hata kwenye wimbo wao wamethibitisha. Wanayoyasema walishayasema mwka 2000-2010 lakini yameendelea kuwepo do haina jipya
Nyie ndio mnajipya, Maana FISADI sasa kawa Kiongozi wenu. Hamna sera sasa.
 
Samia unataka kura kwa wachagga ambao mnawaita maadui zenu? Si mmemtuma Diamond awatukane wachaga hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom