Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Huyu mama ni mjinga sn na hana huruma na wananchi hata kidogo
wanatamani TRA iwe inapeleka pesa yote kwao hawa wajingaBado pia wana biashara za kila namna
Hawa ni zaidi ya wauajiFact.Hawatosheki hawa.Wangejuwa wanamchi wengi huku kitaa tunaitisha siku kwa buku wasingesema uzembe huo.Kama hawajali hali zetu tunaendelea kuomba laana ziwe juu yao.
Tena aache kupewa na huku mumewe ni RaisUnataka kuniambia kuwa yeye mama Salma, hakupewa mafao yake ya kuacha Kazi yake ya ualimu baada ya mumewe kuwa Rais wa nchi?
Usipende kutetea Hawa viongozi wa CCM, wanyonya damu za watanzania masikini, ambao kwao, matumbo yao ndiyo wanayoyapa kipaumbele.
yani yule babu yangu wa msoga ana miaka zaidi ya 70 na more than billions in the account.
Hivi kweli mtu hutosheki kuwa umekula nchi kiasi hiko mpaka wife akaropoke huko kiwa anataka vimillion kadhaa vya pension ya utumishi aliokuwa anafanya ??
kwanini asielekeze ziende hata charity kwenye shule ambazo hazina madawati jimboni
Hapo kwa Mama mwinyi si double ma mwinyi's mafaoMama Salmin
Mama waryoba
Mama msuya
Mama kawawa
Mama lowasa
Mama pinda
Mama Malechela
Mama Maria
Mama Anna mkapa
Mama Mwinyi
Mama Janneth
Mama Salma
Mr Suluhu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifupi huyo mama ni mlafi sana na h ata akipata hiyo pension inayomtoa utu bado ataona ni ndogo sana ataomba iongezweFact.Hawatosheki hawa.Wangejuwa wanamchi wengi huku kitaa tunaitisha siku kwa buku wasingesema uzembe huo.Kama hawajali hali zetu tunaendelea kuomba laana ziwe juu yao.
Pascal Mayalla utanisamehe ila napenda kukukumbusha kuwa mpaka hapa tulipo ndio mmetufikisha hapa na bado mnatupeleka nchi ya ahadi.. asanteniNchi hii ni kama ina laana!!
Huyu anawakilisha upeo na mawazo wa mumewe! Wote wanaakili ndogo na wanajijali wao tu, ndio maana JK, mwanae na marafiki zake wanajulikana kwa sifa ya wapiga dili huo ni ubinafsi wa kiwango cha laana!
Nchi hii wazee wetu mjini navijijini wanaishi maisha magumu wengine hawana msaada wowote maana hawakuwahi kuajiriwa, walipokuwa vijana walikuwa wanalima...sasa hivi hawana nguvu tena, lkn wanatakiwa kula, kuvaa, kupata matibabu, kuishi kwenye nyumba n.k...
Haya mambo ndio ya kuyaongelea Salma, wewe tayari umeshiba unataka ule nini cha zaidi?
, kwa tafsiri nyingine uongozi hauna hela kama ajira za kudumuNilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu.
Sasa point yake ni haki ya mafao yao ya kazi walizokuwa wanafanya mwanzo ndo wanazitaka
Nilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao (kama wastaafu) na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuuTofauti iko wapi Mkuu?
Hebu wewe tufafanulie
Mkuu humu ndani wamejaa vichaa na watu wanaookoteza hoja ili mradi wamchafue mtu au kumdharilisha.Nilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao (kama wastaafu) na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu
Sasa hapo anadai mafao yao ya kazi zao baada tu ya kustaafishwa.
Nayeye hajasema anadai ila analenga kwa maslahi mapana ya vizazi vijavyo na sio tu wake bali pia inaweza kuwa ni wanaume wenye viongozi wakuu wanawake kama ilivyo sasa raisi ni mwanamke na anamume wake kama hapo awali alikuwa ana kazi yake na amestaafishwa alipwe mafao yake.
Sasa nyinyi mnadai kwamba yeye anataka mafao kwakuwa ni mke wa raisi mstaafu huoni utofauti hapo
msweleUKISKIA UPUMBAVU NA UPUNGUWANI NDO HUU SASA AU TEAM CHATO LABDA MAANA MNA KURUPUKA SANA HALF MKITULIZWA MNAONA MNAONEEWA...
KWAMZA MAMA SALMA A.K.A THE BEAUTIFUL FIRST LADY EVER IN THIS COUNTRY HISTORY ALIKUA AKICHANGIA MADA BUNGENI KUHUSU MASLAHI YA WAFANYAKAZI WA UMMA YY ALIKUA AKICHANGIA TU HOJA NA PIA ALIKUA AKIZUNGUMZIA PENSHEN YA KAZI ALOKUA AKIFANYA ZAMANI NI HAKI YAKE HATA KM HANA NJAA NAYO PENGINE KUNA MASKINI ANATAKA KUMPATIA HIYO PENSHEN IKAMFAE ACHENI KUDHANIA MABAYA TU
Ujuaji mwingi....We ni fala, nenda kamsikilize utaelewa, sio unaanzisha uzi kijinga kiasi hiki wakati hujamsikiliza, amesema wazi hawapewi hayo mafao pale wanapoachishwa kazi zao ambazo walikuwa wanafanya.
Mi nadhani hapa suluhu ni ndogo sana cha msingi kama umeolewa na ukaona mumeo kapanda cheo unatakiwa uache kazi yako ya awali na unaona uchungu utapoteza mafao yako cha msingi achika uendelee na kazi yako ya awali maana yale ma V8 na masafari ya nje na ma posho ya mzee na ma privilege yote ya mzee kua prezidaaa hayatoshi na ma ubunge ya mchongo basi we achika tu ungoje mafao na hapo uonbee Mungu asikumbuke kukuita katika makazi yake kabla hujastaafuNilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu.
Sasa point yake ni haki ya mafao yao ya kazi walizokuwa wanafanya mwanzo ndo wanazitaka😎😎😎