Mama Salma Kikwete, kutaka wake wa viongozi wakuu wapewe pension ni kumkufuru Mungu!

yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao
Stahiki za mavi?

Hawastahili stahiki zozote isipokuwa kupewa stahiki za mavi tu kwa mambo waliyoyafanya nchi hii!

Tena huyo salma na mwanae Rizi ni mabingwa wa kuuza madawa ya kulevya nchini na duniani.

Tutawafurumusha wakileta za kuleta tuwachape nakozi wajue hii nchi sio milki ya genge la msoga.
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
HII MIJITU HUWA HAIRIDHIKAGI JAMANI, BWANA ANALIPWA KODI ZETU 80% NA MAKOLOKOLO KIBAO NYUMBA,MAGARI,WALINZI,AFYA ELIMU EEH, YEYE ANATUZWA 40% YA MSHAHARA WA RAIS BWANA AKIFA...MASIKINI AKIPATA
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Elimu yake ndogo sana kukata ishues
 
Nilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao (kama wastaafu) na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu

Sasa hapo anadai mafao yao ya kazi zao baada tu ya kustaafishwa.

Nayeye hajasema anadai ila analenga kwa maslahi mapana ya vizazi vijavyo na sio tu wake bali pia inaweza kuwa ni wanaume wenye viongozi wakuu wanawake kama ilivyo sasa raisi ni mwanamke na anamume wake kama hapo awali alikuwa ana kazi yake na amestaafishwa alipwe mafao yake.

Sasa nyinyi mnadai kwamba yeye anataka mafao kwakuwa ni mke wa raisi mstaafu huoni utofauti hapo
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
 
HII MIJITU HUWA HAIRIDHIKAGI JAMANI, BWANA ANALIPWA KODI ZETU 80% NA MAKOLOKOLO KIBAO NYUMBA,MAGARI,WALINZI,AFYA ELIMU EEH, YEYE ANATUZWA 40% YA MSHAHARA WA RAIS BWANA AKIFA...MASIKINI AKIPATA
Kuna watu husingizia ohh wanawake uswahlinini wa hali ya chini pesa mbele

Uongo hata huko juu kuna wanawazidi wanawake wa uswahilini mfano ni huyo Salma Kikwete
 
Elimu yake ndogo sana kukata ishues
Angeongea na mumewe

Biblia kwa wakristo inaagiza kama kuna swala tata linakuchanganya mke lakonbinafsi uliyeolewa kamuulize mume wako kwanza kabla kwenda mbele kutafuta ushauri

Nina uhakika angeongea na mumewe Kikwete angeeleweshwa

Mzee Kikwete pole you have lost control.of your wife

Kustaafu tu uraisi anakuponda kuwa hata NGO hukumsaidia chochote aisee hivi Kikwete Raisi kustaafu tu mwanamke anamkana hivyo kuwa hakumsaidia .Kweli.baadhi ya wanawake mashetani akiwemo Salma Kikwete.
Kwa uroho Alionao wa hela aweza kuondoa mzee wetu Kikwete apate mafao ya kufiwa na mume

Kikwete aongezewe ulinzi

Huyu Salma hafai
 
Nilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu.

Sasa point yake ni haki ya mafao yao ya kazi walizokuwa wanafanya mwanzo ndo wanazitaka😎😎😎
Ile alilipwa mara moja na usikute hata fomu hakujaza wala barua ya kuajiriwa na barua ya cheo cha mwisho hakuombwa.
 
Kifupi huyo mama ni mlafi sana na h ata akipata hiyo pension inayomtoa utu bado ataona ni ndogo sana ataomba iongezwe
TUFANYE MAOMBI MAALUM KWA HAWA WANAOJIFIKIRIA WAO TU NA SIYO WANANCHI.WANGEJUWA TUNAVYOVUJA JASHO MTAANI WASINGETHUBUTU KUSEMA HAYO.
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
HUU NI UFISADI ULIOPITILIZA....
 
Huyu First Lady Mstaafu ana lake jambo. Akimaliza kipindi chake cha Ubunge atalipwa mamilioni ya pesa. Hizo bado anaziona ndogo, anataka alipwe na kiinua mgongo cha wakati alipokuwa Mwalimu. Ama kweli aliyenacho aongezewe na asiyekuwa nacho anyang'anywe hata kile kidogo alichonacho!
 
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
Kumbuka na nyumba wanajengewa na serikali
 
Hakika kabisa alieshiba hamjui mwenye njaa!

Hivi Katika dimbwi hili la umaskini linalotukabili mamilioni ya watanzania, hivi mwakikishi wetu Bungeni, ndiyo atoe mawazo yake binafsi ya kuomba Bunge lifikirie wake wa ma-Rais wastaafu, wake wa ma-Waziri wastaafu nao walipwe pension?
Utamlaumu huyo mama bure kimsingi akili yake ndio ilipoishia, sio kiongozi kwa uwezo, bali anabebwa na huu mfumo uliojaa upendeleo. Usitegemee wazo lolote la maana kutoka kwake, hapo ndio kamaliza.
 
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
Kwani hayo mafao ni yake au ya mume wake ?

Nadhani kama endapo huyo mume wake atakufa ndiyo yeye hupewa asilimia kadhaa

Sasa kama mestaafu kwanini asilipwe
 
Mimi naona kama ofisi ya first lady inatambulika kikatiba na inategewa bajeti, kwanini wasipewe pession? tuache ku waonea kisa wana pesa haki itendeke mbona maraisi wa bunge majaji wanapewa pension licha ya kua maisha na mishahara yao ilikua mizuri?

Kwanini mama Nyerere Mama Magufuri mama Mkapa wa sipewe pession, kwanini wabaki kupata msaada na zawadi wakati katiba ina watambua, hapana hapo kuna point, tusitangulize hali yetu ngumu ya maisha kufanya uamuzi
Mke wa Nyerere ,Mkapa na Magufuli wanapewa nadhani 70% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani kama pesa za matunzo
 
Back
Top Bottom