Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

chi chat tuhamie wapi? kanisani kwake au?
kwanza huyu mama hana madawa kweli?
 
Wana JF kutokana na mtandao huu wa kijamii kuibua na kueneza siri za Serikali Wabunge wa CCM wameridhia Mtandao huo ufungwe kama ilivyokuwa Ze Utamu na Mtoa Hoja ni Mchungaji Getrude Lwakatale, Leo pia kapeleka swali lake Bungeni.

Waziri kaitetea JF na kuwashauri wabunge kuwa ni chombo cha habari cha kijamii.

Watahangaika sana.....
 
Mjukuu wangu alisoma st.marys kwa kweli
shule iko loose ile mbaya, kwa hiyo yule mtoto wa kike
alikuwa anaruka ukuta kila siku kwenda anakojua
mwisho wa siku alianza hata kuvuta bangi, kula konyagi na
mambo yote mabaya aliyafanya yule mtoto, fainali alifeli vibaya
kwa kuwa alikuwa hata haandiki notes zozote.
 
Mimi sina uhakika sana na ukweli wa habari hii kwa sababu mletaji hakutaja source ili tupime credibility yake lakini kama ni kweli serikali ina mpango huo hautafanikiwa kwa sababu zifuatazo:

-1. Itakuwa inapambana na matokeo ya maendeleo ya technolojia na utandawazi kitu ambacho watu walioelimika kama waisrael, walio matajiri kama wachina na wamarekani wameshindwa kupingana navyo wakaamua kukubali yaishe.

2. Watumiaji wa mtandao huu siyo watu wajinga wajinga kama serikali inavyofikiri hivyo hata mtandao huu ukifungwa ni raisi sana wao kuwasiliana kwa njia nyingine ambayo hata mkono wa serikali houwezi hata kuufikia.

3. Kuhusu hoja ya mmiliki wa mtandao huu mimi kama mwanachama kipenzi sijawahi hata siku moja kuwaza wala kutamani kujua mwanzilishi wala mmiliki ila kwa sasa nafahamu kwamba wamiliki ni sisi wanachama na kwamba hata serikali.

Bunge au CCM wakianzisha mtandao unaokata contrutive issues kama huu mimi nitajiunga haraka na nipo tayari kuchangia ada za uendeshaji kila mwezi achilia mbali hii Jf ambayo maskini wa mungu sijawahi kuombwa mchango hata mbuni tangu nijiunge humu kulaaaaaleki !!!!!!.

Mtu msomi hatishiwi nyau bana!!!!

Mkuu usisubiri kuombwa msaada wako.
JF inaendeshwa na wana JF kwa kuchangia kidogo ulicho nacho.
Mchango wako una hitajika sana ingawa sio lazima uchangie.
Kama una moyo wa kuchangia m-PM any moderator utapata maelezo ingawa
humu kuna thread kuhusu kuichangia JF.
 
Ujinga wake apeleke uko na PHD fake, Kwanza angeanza na magazeti ya Udaku ya Ijumaana Risas na Kiu hawa uandika na kutoa picha zao uchafu ambao wanaoufanya, hata la miskule feki
 
sasa ameamua kuliwasha ......huyu mama ni mwizi mkubwa sana...amedhulumu viwanja kibao kule morogoro na igoma mwanza

Naskia ana kijana wake ana bwia unga kweli na kutia waumini mimba.
Huyo kijana aliwahi kuandikwa kwenye gazeti la ijumaa sijui aliwatishia pia wakakaa kimya
 
If you can get free milk..why keep a cow?
haya ni maneno ya mama rwakatare akiwaambia wateja wake kwenye ile biashara yake ya kanisa.
 
Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
Kama mtu unatenda mema kunahaja gani ya kuogopa JF..ukiona hivyo ujue hajiamini pamoja na kuwa mchungaji.
 
1 Co 16:22 "Mimi Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kama mtu ye yote hampendi Bwana Yesu Kristo na alaaniwe. “Maran-atha.” Bwana wetu, yu aja!
Gal 1:8-9 "Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!"

hyas hii mistari ina relation gani na hii thread?elezea tuelewe
 
If you can get free milk..why keep a cow?
haya ni maneno ya mama rwakatare akiwaambia wateja wake kwenye ile biashara yake ya kanisa.

Haya maneno mazito sana, yanahitaji uchambuzi...bora hata ya Mzee wa Upako "Watashindana lakini hawa...."
 
Kwa mtu yeyote asiyependa changamoto,kukosolewa na mengine mengi yanayoweza kumfunza au kumuadabisha mtu hata ipende JF hata kidogo.

Ni kweli zipo nyzkati inahitsaji moyo kusoma jambo hapa,lakini pamekuwa ni chuo cha mafunzo na elimu dunia kwa wengi nikiwamo na mimi.

Nachoweza kuwashahuri viongozi wote wanao pitia hapa wakubali yote yaliyomo na kuwa na roho ya uvumilivu lakini zaidi wawe na roho ya kujifunza zaidi kutokana na wanayoyasoma.
Kiongozi mzuri sifa yake kubwa ni kukubali kukosolewa bila kuambiwa mabaya na udhaifu wako huwezi kuwa kiongozi safi na salama,hasa ukizingatia binadamu huwezi kuyajua madhaifu yako.

Wana JF songeni mbeli.Ni kweli moto wenu ni mkali mnatupika kwelikweli.
mama nimeisoam hii post na nimejikuta nacheka tu mwenyewe. asante sana mama
 
Mama aliyeachika kwa ukaidi na kumnyanyasa mmewe eti kwa vile "alifanikiwa" ambaye ni mheshimiwa doctor mchungaji tapeli anaendeleza fani yake
 
Huyu mama ukimwita Mchungaji unamsifia.
Mimi huwa namfananisha na wale wanaonyofoa mikono ya albino. Dili zake kubwa ni kuwadhulumu maskini.
 
JF Founder/team ilienda bungeni mwaka jana kama uzee haujafuta kumbukumbu zangu, huyo Mh Mchungaji Dr Mama Rwakatare siku hiyo hakuwepo bungeni?
na spika aliwatambulisha kwa heshima na taadhima. Huyo mama anaogopa kivuli chake mwenyewe tu... labda ni laana ya ile mitambo ya Mang'ula aliyoifilisi
 
Uoga wa mabadiliko walionao ccm! Watafunga hadi fb,twitter haha na bado
 
Mama Rwakatare anatoka jimbo moja na marehemu mpendwa wetu Regia. Anajua JF ilimjenga na kumpaisha Regia kifikra. Lazima angetaka kujua chimbuko la JF. Kwa nini hakuuliza swali hili mojakwamoja humu JF? Tunamshukuru ametupaisha kidogo. Nawaomba Mods watuwekee jibu la swali lile Bungeni na nyongeza zake. Ndugai naye alionyesha hamu kubwa kuifahamu JF. Karibu Ndugai.
 
magamba cku zote hupingana na ukweli hawapendi chombo chochote cha habari kinachosema ukweli ila mwisho wenu utafika tu.na huyu mama hata vigezo vya kua mbunge hana hata sijui nani kampeleka bungeni!
 
Back
Top Bottom