Huyu mama anataka nae mambo yako tuyaanike humu.
Huyu spika Ndugu Job Ndugai ati anamlazimisha waziri asema JF ni mbaya...kwa kweli namshukuru sana waziri ajaisema sana vibaya JF.Ila cha kushangaza watu wenye matatizo ndio wanaichukia sana JF.Huyu waziri ana shida na JF maana yeye ni msafi,wachafu ndio wanaiogopa JF.
Wana JF kutokana na mtandao huu wa kijamii kuibua na kueneza siri za Serikali Wabunge wa CCM wameridhia Mtandao huo ufungwe kama ilivyokuwa Ze Utamu na Mtoa Hoja ni Mchungaji Getrude Lwakatale, Leo pia kapeleka swali lake Bungeni.
Waziri kaitetea JF na kuwashauri wabunge kuwa ni chombo cha habari cha kijamii.
1 Co 16:22 "Mimi Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kama mtu ye yote hampendi Bwana Yesu Kristo na alaaniwe. Maran-atha. Bwana wetu, yu aja!
Gal 1:8-9 "Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!"
basiHata internet Caffee nazo zitawekewa mkwara kuhusu Jamii Forum