Mama Regina Lowassa Leo

Mama Regina Lowassa Leo

Ndio maana ndoa zetu hazidumu unakuta mwanamke ana maamuzi yake na ww mwanaume ya kwako ndani ya nyumba hakukariki

Unajua nini Democrasia imeingia hadi kwenye NDOA unatumia ushawishi ikishindikana ndio hivyo unaamua kutumia njia mBADALA lkn huwezi kumlazimisha cz ni MTU mzima mwenye maamuzi yake
 
...Mkuu sina mbavu

Ha ha haaa.....unajua watu tuko Serious kung'oa maGAMBA lkn hawa waMAMA asee sijui wanafikiriaga nini nilikuwa nampa Semina kwa muda mrefu lkn haelewi baada yakuona Hoja zangu zinanguvu anasema km VP atachagua mMAMA wa ACT nikamstukia kwamba zuga tu ananiletea
 
  1. Kugombea Uraisi Sio Suala la Kiroho, Bali ni Suala la Kisiasa.
  2. Wasafi Wapo Wengi, MAGUFULI Ni Mfano Mzuri.
  3. Ni Vizuri Kuwa Umetambua Kuwa LOWASSA ni FISADI.
  4. Kwa Hiyo Tuachane na Huu Mzoga, LOWASSA, Ili Asisogelee Kabisa Ikulu Yetu Takatifu.

Nyie Gambaz mwaka huu km LOWASA hajawatagisha Mayai basi
 
  1. Kugombea Uraisi Sio Suala la Kiroho, Bali ni Suala la Kisiasa.
  2. Wasafi Wapo Wengi, MAGUFULI Ni Mfano Mzuri.
  3. Ni Vizuri Kuwa Umetambua Kuwa LOWASSA ni FISADI.
  4. Kwa Hiyo Tuachane na Huu Mzoga, LOWASSA, Ili Asisogelee Kabisa Ikulu Yetu Takatifu.

Nilidhani nachangia Topic ya Great Thinker kumbe ni mwana mipasho. Jumapili njema.
 
Reji she's beautiful, look at her smile!!! Amazing!! You can't even compare with her age. Mama you deserve to be our first lady.
 
Nilidhani nachangia Topic ya Great Thinker kumbe ni mwana mipasho. Jumapili njema.

Maneno Ya Mshindwa Hoja Hayo. Nimekurahisishia kwa kukupa vipengele 4, kama unaweza jibu angalau kimoja.
 
mama ana haiba ya uongozi ndio maana akina mama Tanzania wanampokea kwa mikono miwili hongera Bawacha
 
Ukisikia nepotism ndo hii, tunatafuta rais wa JMT sio laigwani, yaani baba huku mama kule mtoto anabeba furushi la hela, hivi hii nchi haina maadili ya uchaguzi? Au ndo kukosa kazi huko?

Mke wa lipumba haonekani jukwaani kwani kitendo cha kushiriki siasa kesho yake lazima atimuliwe kibarua. Sasa huyu kiguu na njia, kazi tunayo.
 
Mbona kiumri hawaendani na lowasa? Au ni bi mdogo?
 
Mwaka 1989.

Ikiwa tangu mwaka 1989 km nikweli mwaka huo ulikuwa umeshazaliwa hadi leo ni miaka zaidi ya 20 nabado mliendelea kuwa nae bila kumshtaki Kuna sababu gani yanyinyi kuomba Lidhaa watanzania..yakuongoza tena nchi hii Manake huyo ni LOWASA peke yake kuna wangapi mmeendelea kuwaacha watuibie Ujinga huu ulioandika ndio sababu ya cc tunataka tuwatoe madarakani sababu mmeitia Nchi umaskini kwa kufuga WEZI wapuuzi wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom