Mama Regina Lowassa Leo

Mama Regina Lowassa Leo

Kumfafanisha Mama Maria Nyerere Na Mama Regina Lowassa Ni Sawa Na Kutaka Kulazimisha Mfanano Wa Mchezaji Nyota Wa FC Barcelona Ya Nchini Hispania Lius Suarez Na Mchezaji Mchovu Wa Yanga FC Ya Nchini Tanzania Malimi Busungu. Ukome Kumfananisha Mama Yetu Mama Maria Nyerere Na Huyo KOMWE Na MDOMO MPANUKO Wako.

Mama maria mama ako toka lini kilaza wewe??????
 
Jibu mtalipata tarehe 25, mama Janet sio drama queen au mama mcharuko anajiheshimu, mcha Mungu na low profile. Vile vile still ni mtumishi wa umma na ukiwa mtumishi hutakiwi kujihusisha na siasa na Anaelewa hilo thus y anaingia kidogo. Msiojua ndio mnakaa midomo juu huyu mama Janet anamsupport mumewe asilimia 100 hata Dom alikuwa nae kwenye mtanange. Wakati wakina Lowasa wanahonga mapesa mama Janet alisimama na kumwambia mumewe asitoe hata tsh kumi kama ni kushinda Mungu ndie atakaye amua.... What a great woman indeed??, halafu hadi watoto wao wako hivyo hivyo very decent na low profile so guys msiongee msiyojua
 
Jibu mtalipata tarehe 25, mama Janet sio drama queen au mama mcharuko anajiheshimu, mcha Mungu na low profile. Vile vile still ni mtumishi wa umma na ukiwa mtumishi hutakiwi kujihusisha na siasa na Anaelewa hilo thus y anaingia kidogo. Msiojua ndio mnakaa midomo juu huyu mama Janet anamsupport mumewe asilimia 100 hata Dom alikuwa nae kwenye mtanange. Wakati wakina Lowasa wanahonga mapesa mama Janet alisimama na kumwambia mumewe asitoe hata tsh kumi kama ni kushinda Mungu ndie atakaye amua.... What a great woman indeed??, halafu hadi watoto wao wako hivyo hivyo very decent na low profile so guys msiongee msiyojua

Hahahahaha kupata vichekesho vingine kama hivyo andika neno "Kichekesho" kisha tuma kwenye namba 15567
 
Kama umama wa taifa unajumlisha mpaka wenye akili kama zako!!basi umama ni kazi sana.

Unamjumuisha Hata Yule Mgombea Wenu Urais Bingwa Wa Kutoa Haja Kubwa Majukwaani. Hakika Umama Ni Kazi Sana!
 
Huyu ndio Mama Maria wa pili....
attachment.php


LOWASSA
Kukampeni Kumemshinda Kwa Sababu Ya Kuwa Hoi Inabidi Amtume Mke Wake.

Kweli LOWASSA = JENEZA LINALOTEMBEA
 

LOWASSA
Kukampeni Kumemshinda Kwa Sababu Ya Kuwa Hoi Inabidi Amtume Mke Wake.

Kweli LOWASSA = JENEZA LINALOTEMBEA



Wee unafir•﹏•(・∀&#12539😉

Mmmmaamaeee...!!!

CCM wote mfu....!!! kazi wizi wa nchi hii tu, mmemaliza nchi na wachina, sasa mwisho wenu, tutawakata magovinda...!!! blalful...!!👊👊👌👌👌
 
Huyu ndie Our Next First Lady....!!!

Very clever mama.... Go.."!
 
Behind every successful man there is a woman, and dehind every failure man, there is a woman.

Hivi wa yule wa pushup anaitwa nani?
 
In every succesful man,there is a woman behind"ukimuangali huyu mama unaona kabisa mmewe akiwa rais lazima atajikita kwenye maswala ya uzazi wa wakina mama na tatizo la watoto wetu kukosa madawati mashulen.
 

LOWASSA
Kukampeni Kumemshinda Kwa Sababu Ya Kuwa Hoi Inabidi Amtume Mke Wake.

Kweli LOWASSA = JENEZA LINALOTEMBEA

Lowassa hata kama angeamua kukaa nyumbani kwake Monduli , Wana mabadiliko wangeendelea kufanya kampeni. Hayo ni maneno yako ya kashfa ambayo mwisho wa siku hayata kuwa yamekusaidia lolote zaidi ya kukuongezea stress kwani watanzania walio wengi wanaendelea kumpenda na kujali utu wake.
 
Back
Top Bottom