Mama Regina Lowassa Leo

Mama Regina Lowassa Leo

kumfafanisha mama maria nyerere na mama regina lowassa ni sawa na kutaka kulazimisha mfanano wa mchezaji nyota wa fc barcelona ya nchini hispania lius suarez na mchezaji mchovu wa yanga fc ya nchini tanzania malimi busungu. Ukome kumfananisha mama yetu mama maria nyerere na huyo komwe na mdomo mpanuko wako.
unapigwa miti ...?
 
Huyu mama anamvuto japo muri umesha enda sipati picha alivyo kuwa at 25 age. Lowassa alionga sana inaonekana
 
Yani First Lady wetu bado yuko ngada kinyama!
Bahati mbaya sana akiwa CCM hatukumfahamu vizuri mama huyu, mazingira yalimbana CCM. Ukweli mama huyu amekuwa kivutio kikubwa kwa wanaomfutilia. Tumuombee awe First Lady hapo ndipo atavutia wengi zaidi.
 
Kama mmeipenda sura yake nendeni mkanywe nae chai.rais Dr Magufuli hapa kazi tu kuuza sura hakuna .
 
Imetokea kumpenda sana mama Lowassa yuko active sana, na anajua kujichanganya na kila kundi la jamii analokutana nalo. Liwe la vijijini, mjini, wasomi, vijana na wanawake. Ni aina ya mama wa kupigiwa mfano.
 
Lowassa alipata mke aisee sisi tunakaa na manawake ukiliambia chagua ukawa mtavyobishana utasema hawara yako

Nimecheka sana mkuu kwa hiki ulichoandika kumbe tuko wengi ila mimi nimepata njia mBADALA nitaficha Card yake hadi muda wakupiga Kura uishe
 
Nimecheka sana mkuu kwa hiki ulichoandika kumbe tuko wengi ila mimi nimepata njia mBADALA nitaficha Card yake hadi muda wakupiga Kura uishe

Ndio maana ndoa zetu hazidumu unakuta mwanamke ana maamuzi yake na ww mwanaume ya kwako ndani ya nyumba hakukariki
 
Back
Top Bottom