Jibu mtalipata tarehe 25, mama Janet sio drama queen au mama mcharuko anajiheshimu, mcha Mungu na low profile. Vile vile still ni mtumishi wa umma na ukiwa mtumishi hutakiwi kujihusisha na siasa na Anaelewa hilo thus y anaingia kidogo. Msiojua ndio mnakaa midomo juu huyu mama Janet anamsupport mumewe asilimia 100 hata Dom alikuwa nae kwenye mtanange. Wakati wakina Lowasa wanahonga mapesa mama Janet alisimama na kumwambia mumewe asitoe hata tsh kumi kama ni kushinda Mungu ndie atakaye amua.... What a great woman indeed??, halafu hadi watoto wao wako hivyo hivyo very decent na low profile so guys msiongee msiyojua