Dr Philosopher
Member
- Dec 13, 2016
- 38
- 49
superb!!!!cha muhimu ni kutokuoa kabisa, utaishi maisha marefu yasiyo na stress
superb!!!!cha muhimu ni kutokuoa kabisa, utaishi maisha marefu yasiyo na stress
Walimu wa kike, wako poah sana mkuu.Dah walimu wakike ingekuwa nibidhaa sokoni nahisi soko lao lingekuwa kubwa mno!
Mi niliambiwa nisioe Mchaga na Mrangi.
Sawa mkuu.Wako wachache sana mkuu! Mungu tuu atupe ujasiri...
Ila juzi kuna mzee kaniambia ukiona binti ana nusu ya vitu unavyotaka basi huyo huyo muoe...
kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mtu hawezi kuwa mkamilifu...kila mtu kazaliwa na mama yake na kila mtu amepata malezi kwa namna yake tena katika mazingira tofauti...
Naamini kuna vitu viko general ndo unatakiwa kuwa navyo makini tuu katika uchaguzi wa nani wa kuoa. Vingine ni sub-sidiary tuu hivi mnavumiliana na pengine vinarekebishika...
Ni mtazamo wangu tuu!